Queen Kan
JF-Expert Member
- Dec 26, 2012
- 5,226
- 8,961
Sasa mahusiano si ni tuition mkuu au?Nadhani mada inawahusu wadada ambao hawajaolewa bado
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa mahusiano si ni tuition mkuu au?Nadhani mada inawahusu wadada ambao hawajaolewa bado
Mafanikio kidogo tu anataka kuiga kuwa mwanaume, viumbe wa ajabu kabisa hawa...Wapo wa design hiyo ila ni wasagaji ma tomboy na hawapendi wanaume, wanataka mademu wenzao.
Na kama wakichukua mwanaume basi akubali kukokomekwa dildo ya kalio.
Na tuition, mwanafunzi yafaa ujiongeze. Ukishindwa kujiongeza kuna kufeliSasa mahusiano si ni tuition mkuu au?
Ndiposa aposto muwe mnawahudumia mashangazi jamanNa tuition, mwanafunzi yafaa ujiongeze. Ukishindwa kujiongeza kuna kufeli
Mashangazi sawa, maana hawaleti stress 😍. Ila hawa mabinti, watulie kwanzaNdiposa aposto muwe mnawahudumia mashangazi jaman
Uzuri mashangazi yanakua mengi tayari yanajiweza na ubaya ni kuwa hamuwezi Yaoa so na mabinti pia muwahudumieMashangazi sawa, maana hawaleti stress [emoji7]. Ila hawa mabinti, watulie kwanza
Tatizo ni pale wanapoamini, ni jukumu letu kuwahudumia kwa kila watakacho, ilhali wao hawako tayari kujitoa kwa ajili yetu. Hujakaa sawa, atakwambia "Hujanioa bado".Uzuri mashangazi yanakua mengi tayari yanajiweza na ubaya ni kuwa hamuwezi Yaoa so na mabinti pia muwahudumie
"Ukipenda kula kubali kuliwa".....ni jukumu ndiyo ila sasa kama ulivyosema inatakiwa kila mtu ajukumike, tatizo sikuhiz mambo yamekua mengi mnoo uaminifu na ukweli hakuna tenaTatizo ni pale wanapoamini, ni jukumu letu kuwahudumia kwa kila watakacho, ilhali wao hawako tayari kujitoa kwa ajili yetu. Hujakaa sawa, atakwambia "Hujanioa bado".
Lakini hapo hapo, anataka matunzo yote kama mke.
Tatizo wao hawaelewi 🤷♂️"Ukipenda kula kubali kuliwa".....ni jukumu ndiyo ila sasa kama ulivyosema inatakiwa kila mtu ajukumike, tatizo sikuhiz mambo yamekua mengi mnoo uaminifu na ukweli hakuna tena
Wapo wachache wataelewa tu mdogo mdogoTatizo wao hawaelewi [emoji2369]
Wabinafsi mno.Mafanikio kidogo tu anataka kuiga kuwa mwanaume, viumbe wa ajabu kabisa hawa...
🤣🤣🤣🤣🤣
[emoji1787][emoji1787]Nimewaita mtoe ushuhuda wanawake wa shoka[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Auntie mimi huyu kabisaaa!! Nijikute tu
🤣🤣🤣🤣[emoji1787][emoji1787]Nimewaita mtoe ushuhuda wanawake wa shoka
Hujakutana nao ila wapo.Ni hawahawa wa bongo ama Wazungu.
Nasema hivii hakunaaa