Kama mwanamke upo hivi njoo uringe

Kama mwanamke upo hivi njoo uringe

Mashangazi sawa, maana hawaleti stress [emoji7]. Ila hawa mabinti, watulie kwanza
Uzuri mashangazi yanakua mengi tayari yanajiweza na ubaya ni kuwa hamuwezi Yaoa so na mabinti pia muwahudumie
 
Uzuri mashangazi yanakua mengi tayari yanajiweza na ubaya ni kuwa hamuwezi Yaoa so na mabinti pia muwahudumie
Tatizo ni pale wanapoamini, ni jukumu letu kuwahudumia kwa kila watakacho, ilhali wao hawako tayari kujitoa kwa ajili yetu. Hujakaa sawa, atakwambia "Hujanioa bado".

Lakini hapo hapo, anataka matunzo yote kama mke.
 
Tatizo ni pale wanapoamini, ni jukumu letu kuwahudumia kwa kila watakacho, ilhali wao hawako tayari kujitoa kwa ajili yetu. Hujakaa sawa, atakwambia "Hujanioa bado".

Lakini hapo hapo, anataka matunzo yote kama mke.
"Ukipenda kula kubali kuliwa".....ni jukumu ndiyo ila sasa kama ulivyosema inatakiwa kila mtu ajukumike, tatizo sikuhiz mambo yamekua mengi mnoo uaminifu na ukweli hakuna tena
 
"Ukipenda kula kubali kuliwa".....ni jukumu ndiyo ila sasa kama ulivyosema inatakiwa kila mtu ajukumike, tatizo sikuhiz mambo yamekua mengi mnoo uaminifu na ukweli hakuna tena
Tatizo wao hawaelewi 🤷‍♂️
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Auntie mimi huyu kabisaaa!! Nijikute tu
[emoji1787][emoji1787]Nimewaita mtoe ushuhuda wanawake wa shoka
 
Back
Top Bottom