Zemanda
JF-Expert Member
- Jan 10, 2021
- 8,323
- 18,051
Sio Huba ni Uber.Mwanamke anashindwa hata kujilipia pesa ya daladala ama huba..
Siku ukikwama mmekwama wote.
Wahaya bwana sijui mpoje kwenye matamshi ya H na yasiyo na H.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio Huba ni Uber.Mwanamke anashindwa hata kujilipia pesa ya daladala ama huba..
Siku ukikwama mmekwama wote.
Ila umeelewa?Sio Huba ni Uber.
Wahaya bwana sijui mpoje kwenye matamshi ya H na yasiyo na H.
Hawapo. Wote wadangaji tuu humu.
Kama hawawezi kujigharamia mbona tunapigana nao vikumbo kwenye fursa mbalimbali zikiwemo ajira huku wakitokwa povu kutaka usawa wa 50/50.....kama vipi warudi kukaa nyumbani na kulea watoto badala ya kukomalia fursa na hawataki kuchangia chochote.
Uzi wao huu waje kama wapo. Wengi wao humu ni wauzaji.Wewe ni Muongo kweli kweli walahi
KabisaMara nyingi huwa wanakimbiwa mana huwa wanajiona na confidence fulani hivi kwa kila kitu, Ila hata haipendezi kuhudumiwa rahaaa bana japo sio ndo izidi kihivooooo[emoji4]
😂😂jaman,si ndo tunapambana tuzipate....tunasubiri samia atupandishe madaraja😎Hawapo. Wote wadangaji tuu humu.
Ww itakua ni MC wakitchen party 🤣🤣🤣Njoo ujishaue kama upo hivi,
~ Mwanamke usiyeomba hela.
~ Njoo mwanamke unayependa na kula utakavyo kwa pesa yako bila kuhongwa wala kubegi mtu.
~ Njoo kama ni mwanamke anayefanya juhudi kuonekana unaweza kujifanyia shopping, kulipa chochote bila a guy.
~ Njoo jishaue kama humtegemei mtu kwa juhudi uliyopo, njoo uringe hapa jukwaani njoo.
~ Njooo kama unaendesha ndinga kali wala hujaongwa, wala hujasaka hela kwa a guy, ni juhudi yako wewe, njoo uje uongee hapa.
Unazo bibieWw itakua ni MC wakitchen party 🤣🤣🤣
Unakumbuka fungu la kumi kweli??😂😂jaman,si ndo tunapambana tuzipate....tunasubiri samia atupandishe madaraja😎
EeUnazo bibie
Sema basi ??
Nonono!Sema basi ??
Ndiyo cuteUnakumbuka fungu la kumi kweli??