Kama Mwanasheria Mgongolwa ni makamu mwenyekiti wa kamati ya sheria na aliingia kikaoni, Yanga wameshinda kesi ya Feitoto

Watu wa Simba hili swala wamelishikia bango, wamesahahu hata kusajili, haya tunawakumbusha brother Kibu naye bado yupo yupo sana,yupo zake Dubai anakula upepo.

Dogo kashindwa kufuata taratibu anacho kipata anastahili.
 
Ndio maana sisi mashabiki wa simba tunaonekana oya oya na mambumbumbu
 
We kweli jamaa alikuwa ni sehemu ya wajumbe wa kamati walio sikiliza shauri la yanga ? Kama ni ivyo badi hapo lzm Fei aende aka appeal
 
Huyo Fee aende CAS kwa kigezo kipi?! Acheni kuetetea vitu msivyokuwa na upeo navyo....
 
nimekwambia hapo kabla maamuzi ya fei kuvunja mkataba kuna nafasi kwa timu yenye mkataba nae kujadiliana nae hilo swala la kuvunjwa kwa mkataba kwanza,hapo ndipo alipofeli fei na wapuuzi wenzie waliomshawishi huo ujinga,vipengele vya kuvunja mkataba vipo ktk mikataba ya wachezaji ila uvunji vile unavyojisikia wewe au klabu,nikwambie tu sheria za mpira zinawa favour sana wachezaji ila mchezaji unatakiwa ufanye jambo lako ki smart km vile alivyofanya morrison
 
barca walikiuka moja ya vipengele vya mkataba wa neymar,mojawapo km neymar kuwa top player klabuni ila barca walishindwa kufanya hivyo ilikuwa ngumu kufanya neymar kuwa top klabuni mbele ya messi,

kwa majadiliano neymar akataka auzwe psg,barca wakagoma huku mkataba ulikawa na kipengele cha timu itakayofikia pesa ya usajili kwa neymar basi ilikuwa lazma auzwe km neymar mweneyewe anataka auzwe,na psg walikuwa tayari kutoa ile signing fee barca wakaendelea kugoma kumuuza ndipo neymar akawa na uhuru wa kutumia kipengele cha kununua mkataba wake kwa kiwango walichokubaliana...so kubaliana na mm kwamba neymar hakununua mkataba wake ghafla km fei tuliona kwanza vuta nikuvute kati ya neymar na barca na huku tukijua psg washaweka mzigo mezani

kwa feisali mambo yapo tofauti,yanga hawakukiuka kipengele chochote kwenye mkataba wa fei,fei hajawasilisha malalamiko yoyote kwenye uongozi na km aliwasilisha je aseme alipewa majibu gani na viongozi,mbaya zaidi haijulikani timu gani fei anaenda au iliyoleta ofa mezani km walivyofanya psg kwa neymar...so dogo hakuwa timing nzuri kwenye hili jambo lake.
 
Kwani Wachezaji wangapi duniani wanagoma Hadi kwenda mazoezini kushinikiza wauzwe lakini timu zinagoma? Ndo mara ya Kwanza unaona Kwa Feitoto?
 
Kwani Wachezaji wangapi duniani wanagoma Hadi kwenda mazoezini kushinikiza wauzwe lakini timu zinagoma? Ndo mara ya Kwanza unaona Kwa Feitoto?
Wanagoma kwenda mazoezini na kushinikiza wauzwe ni tofauti kabisa na kununua/kuvunja mkatabaa. As if wee ndo huelewi.

Sorry shabiki wa yanga, sikua nakujibu wee. Naona povuu jingi lakutoka na sina nguo chafu mie. Poleeeeeeeh.
 
Sasa si washarudishaa pesa wanayotakiwa kutoa kulingana na mkataba unavodai, ingekua wanaondokaaa buree sawa, kumbe hela wanarudsha kwa account?? Wasepeeeee.
 
Sasa tukiwaambia hivi, mashabiki wa utopoloo wanasema mkataba una vipengele vingi, sasa Fei hakusoma hivyo vipengelee??
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Mashabiko wa utopoloooo ni hamnazoooo km alivyosepa Sope.
 
Binti unachokisema ww wala yanga haina shida nacho, alichokifanya fei ni uhuni na upumbavu.

Kwa mfano sisi yanga tumshawishi chama kisha tumpe pesa za kuvunjia mkataba na simba. Unafikri itakuwaje hapo?

Huyo fei yanga haimuihitaji tena ila yanga inachokifanya ni kuweka mambo sawa afuate utaratibu maana siku nyingine wachezaji wengine watarudiq kufanya huu upuuzi.

Ndioman Fifa walikataza hizi mambo za mchezaji kuvunja mkataba kienyeji kama fei maana walikua haya mambo lazima yatokee. Sio kwamba yanga inamng'an'ania fei acheze yanga ila yanga inatafuta haki yake ya kimkataba uheshimiwe
 
Mlishawahi kumshawishi Chama akawatolea nje au mmesahau mwakalebela alipoomba msamaha
 
Mkuu, kuondoka sio shida. Taratibu zifuatwe. Period.
 
Huyo unayemlalamikia alikuwepo kwenye kesi ya Morison na yanga hebu tuambie ni nani alishinda hiyo kesi ?
 
Yeye Fei Toto ndo ahame nchi achukue uraia wa uarabuni maana Bongo tuna nongwa...kipaji chake hawataki kimlipa vizuti..imepata pazuri wanamganda kama huu sio utumwa kwenye nchi yako ni nini ? Naongea kama shabiki wa Yanga....hii haikubaliki.
 
Ngassa ameooteana kiuchumi? Huyu sio mtu wa kwanza kuenjoy maisha ya soka la bongo kaimbwa kama Pepe Kale
 
Yanga mkataba waliompa Fei toto hauna hizo blabla za masharti ya majadiliano, Yanga wabovu sana wametengeneza mkataba usiofatq kanuni za FIFA wanajamba jamba tu.

Hilo sharti la kukaa mezani sio ishu Yanga wamempa Fei mkataba wa kichoko unaomruhusu Mwamba Fei kwenda kusaka ulaji kwingine.
 
Yanga hawana wanasheria nikumbushe kesi waliowahi kushinda wanasheria wa yanga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…