Kama Mwanasheria Mgongolwa ni makamu mwenyekiti wa kamati ya sheria na aliingia kikaoni, Yanga wameshinda kesi ya Feitoto

Kama Mwanasheria Mgongolwa ni makamu mwenyekiti wa kamati ya sheria na aliingia kikaoni, Yanga wameshinda kesi ya Feitoto

Haihitaji kwenda chuo kikuu kujua, Alex Mgongolwa wakili maarufu nchini na mwanachama kindakindaki wa Yanga aliingia kwenye kikao cha kujadili suala la Feitoto wakati akijua kabisa kuwa kuna conflict of interest, Mgongolwa ni makamu mwenyekiti wa kamati ya sheria TFF inayojadili suala la Feitoto lakini ni mwanachama wa yanga, mawakili wa Feitoto walimwekea pingamizi lkn bado aliingia kikaoni.

Sasa mnadhani Utopolo itashindwa hapo? Mnaokaa kudhani kuwa Feitoto atashinda kesi mnapoteza muda wenu bure, cha msingi suala hilo liende CAS, huku bongo kumejaa ubabaishaji mno, ujanja ujanja, unafiki, mapenzi na uhuni
Wa kufa mtu.

Feitoto akishinda kesi ntahama nchi hii


Sent from my SM-F916B using JamiiForums mobile app
Naomba ufafanuzi wako wa kisheria juu ya sakati hili la Feisal dhidi ya Dar Young African.
 
Kamati ileile iliyoamua kesi ya Morrison na Yanga ndio ileile inaonekana kutotenda haki kwenye kesi ya Feisal na Yanga.

Hii ni tangu iamue kuwa Feisal bado angali na mkataba na klabu yake
emoji23.png
Kamati Ile haikuwa na mgongolwa ambaye alipoenda maamuzi yake na kwenda kuiwakilisha yanga kwenye kesi ya cas.
 
Back
Top Bottom