Kama Mwanasheria Mgongolwa ni makamu mwenyekiti wa kamati ya sheria na aliingia kikaoni, Yanga wameshinda kesi ya Feitoto

Kama Mwanasheria Mgongolwa ni makamu mwenyekiti wa kamati ya sheria na aliingia kikaoni, Yanga wameshinda kesi ya Feitoto

Hakika ujinga wa uzeen lazma utakufa nao tu pole sana
Hivi nyie mikia hamna issue nyingine za kufanya? Mbona mnazidisha uchawa kwa Fri, tunajua kabisa Holi suala aliyeponyuma yake Wala si Azam Kama tunavyoaminishwa, Ni klabu flani hivi yenye tabia za kupenda vya dezo Kama Malaya. Anyway so far Fei Hana nafasi Tena klabuni kwetu, mchukueni Kama mlivyofanya kwa BM, Gardiel nk, sisi klabu yetu tutajipanga na tutapata mbadala wake. Ila punguzeni kupenda vya bure Kama Malaya, siku si nyingi vitawaua siku si zenu. Haya machawa endeleeni kufungua nyuzi zingine kuhusu Fei.
 
Haihitaji kwenda chuo kikuu kujua, Alex Mgongolwa wakili maarufu nchini na mwanachama kindakindaki wa Yanga aliingia kwenye kikao cha kujadili suala la Feitoto wakati akijua kabisa kuwa kuna conflict of interest, Mgongolwa ni makamu mwenyekiti wa kamati ya sheria TFF
Hivi ulishawahi kujiuliza ingekuwaje kwa Jemedari endapo Mgongolwa angekuwa kwenye hiyo kamati?! Nadhani Mgongolwa yupo kwenye Kamati ya Rufani na sio hii ya akina Fei. Hii kamati ilikuwa inaongozwa na Dr Wanjala ambae nakumbuka alikuwa na matatizo na TFF kwahiyo sina hakika kama bado yupo. Makamu wake alikuwa Said Soud.
 
Huyo unayemlalamikia alikuwepo kwenye kesi ya Morison na yanga hebu tuambie ni nani alishinda hiyo kesi ?
Kwenye kesi ya Morison na yanga hakuwepo ila baada ya hukumu ya Morison iliyotolewa na kamati ya TFF alizungumza sana na kukosoa maamuzi na alikuwa moja ya mawakili waliowakilisha yanga cas
 
TFF wameshindwa kabisa kulisimamia hili suala kiuweledi, wapo kiswahili sana, wanaonesha walivyo dhaifu na wasio huru kusimamia haki za wachezaji.
Waliwezaje la Morrison washindwe na hili?
 
Sasa mchezaji km hataki team, hata akitakiwa kurudi na akaenda kufanya tofauti na matarajio ya waliomrudisha sasa ndo nn inakua?

Bora wamuachee aende anako taka, Dogo anatafuta maslahi yake.
Upenzi wa team leo Ngasa anashindia mihogo ya mama aziza Magomeni mikumi.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kusema kwamba sasa hivi mchezaji akiwa haitaki team basi avunje tu mkataba bila kuzingatia taratibu eti kwakuwa anafuata maslahi yake kwingineko?
 
Sasa si washarudishaa pesa wanayotakiwa kutoa kulingana na mkataba unavodai, ingekua wanaondokaaa buree sawa, kumbe hela wanarudsha kwa account?? Wasepeeeee.
pesa ya kuvunja mkataba haina nafasi kabla ya majadiliano
 
Kusema kwamba sasa hivi mchezaji akiwa haitaki team basi avunje tu mkataba bila kuzingatia taratibu eti kwakuwa anafuata maslahi yake kwingineko?
Ndo maaana yake anavunja mkatabaa,
 
Ngassa ameooteana kiuchumi? Huyu sio mtu wa kwanza kuenjoy maisha ya soka la bongo kaimbwa kama Pepe Kale
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kaishiwaaaaaa mnoooo.
 
Wakifikia hatua hiyo hakuna kugeuka nyuma ni mkono wa kwaheri waelekee wanakotaka, mtu had kuamua kuvunja mkataba hajakurupuka kadhamiria na anajua anacho kifanyaa.

Hivi hata akirud tena huko yanga huyo Fei bado atakua na imani hapo? Au yanga itakua na imani nae?
Unaona inaleta mantiki?
 
pesa ya kuvunja mkataba haina nafasi kabla ya majadiliano
Kamati ileile iliyoamua kesi ya Morrison na Yanga ndio ileile inaonekana kutotenda haki kwenye kesi ya Feisal na Yanga.

Hii ni tangu iamue kuwa Feisal bado angali na mkataba na klabu yake[emoji23]
 
Uzoefu Umeonyesha Wakienda Huko Yanga Anaangukia Pua ,Ama Chali Cha Mende
Uzoefu unasema.

Maamuzi yeyote yanayoamuliwa na kamati ya maamuzi ya TFF hayajawahi kubatilishwa pale kesi inapopelekwa katika ngazi ya CAS.

remember hilo pia.
 
Kamati ileile iliyoamua kesi ya Morrison na Yanga ndio ileile inaonekana kutotenda haki kwenye kesi ya Feisal na Yanga.

Hii ni tangu iamue kuwa Feisal bado angali na mkataba na klabu yake
emoji23.png
sawa ila la morrison na fei ni tofauti sana
 
Haihitaji kwenda chuo kikuu kujua, Alex Mgongolwa wakili maarufu nchini na mwanachama kindakindaki wa Yanga aliingia kwenye kikao cha kujadili suala la Feitoto wakati akijua kabisa kuwa kuna conflict of interest, Mgongolwa ni makamu mwenyekiti wa kamati ya sheria TFF inayojadili suala la Feitoto lakini ni mwanachama wa yanga, mawakili wa Feitoto walimwekea pingamizi lkn bado aliingia kikaoni.

Sasa mnadhani Utopolo itashindwa hapo? Mnaokaa kudhani kuwa Feitoto atashinda kesi mnapoteza muda wenu bure, cha msingi suala hilo liende CAS, huku bongo kumejaa ubabaishaji mno, ujanja ujanja, unafiki, mapenzi na uhuni
Wa kufa mtu.

Feitoto akishinda kesi ntahama nchi hii


Sent from my SM-F916B using JamiiForums mobile app

Tusubiri CAS waamue tofauti lkn ikiwa km TFF basi ww utakuwa na matatizo
 
Kamati ileile iliyoamua kesi ya Morrison na Yanga ndio ileile inaonekana kutotenda haki kwenye kesi ya Feisal na Yanga.

Hii ni tangu iamue kuwa Feisal bado angali na mkataba na klabu yake[emoji23]
Kama to ile mwenyekiti alikuwa Mwanjala Yanga kindakindaki saizi napo tena wanataka Kusema Mgongolwa yaani hakuna mahali itaenda nchi hii ukakosa mtu wa Yanga
 
Back
Top Bottom