Abul Aaliyah
JF-Expert Member
- Nov 8, 2016
- 7,718
- 5,899
Hakika ujinga wa uzeen lazma utakufa nao tu pole sana
Hivi nyie mikia hamna issue nyingine za kufanya? Mbona mnazidisha uchawa kwa Fri, tunajua kabisa Holi suala aliyeponyuma yake Wala si Azam Kama tunavyoaminishwa, Ni klabu flani hivi yenye tabia za kupenda vya dezo Kama Malaya. Anyway so far Fei Hana nafasi Tena klabuni kwetu, mchukueni Kama mlivyofanya kwa BM, Gardiel nk, sisi klabu yetu tutajipanga na tutapata mbadala wake. Ila punguzeni kupenda vya bure Kama Malaya, siku si nyingi vitawaua siku si zenu. Haya machawa endeleeni kufungua nyuzi zingine kuhusu Fei.