Abul Aaliyah
JF-Expert Member
- Nov 8, 2016
- 7,718
- 5,899
Hivi nyie mikia hamna issue nyingine za kufanya? Mbona mnazidisha uchawa kwa Fri, tunajua kabisa Holi suala aliyeponyuma yake Wala si Azam Kama tunavyoaminishwa, Ni klabu flani hivi yenye tabia za kupenda vya dezo Kama Malaya. Anyway so far Fei Hana nafasi Tena klabuni kwetu, mchukueni Kama mlivyofanya kwa BM, Gardiel nk, sisi klabu yetu tutajipanga na tutapata mbadala wake. Ila punguzeni kupenda vya bure Kama Malaya, siku si nyingi vitawaua siku si zenu. Haya machawa endeleeni kufungua nyuzi zingine kuhusu Fei.
Hivi ulishawahi kujiuliza ingekuwaje kwa Jemedari endapo Mgongolwa angekuwa kwenye hiyo kamati?! Nadhani Mgongolwa yupo kwenye Kamati ya Rufani na sio hii ya akina Fei. Hii kamati ilikuwa inaongozwa na Dr Wanjala ambae nakumbuka alikuwa na matatizo na TFF kwahiyo sina hakika kama bado yupo. Makamu wake alikuwa Said Soud.Haihitaji kwenda chuo kikuu kujua, Alex Mgongolwa wakili maarufu nchini na mwanachama kindakindaki wa Yanga aliingia kwenye kikao cha kujadili suala la Feitoto wakati akijua kabisa kuwa kuna conflict of interest, Mgongolwa ni makamu mwenyekiti wa kamati ya sheria TFF
Kwenye kesi ya Morison na yanga hakuwepo ila baada ya hukumu ya Morison iliyotolewa na kamati ya TFF alizungumza sana na kukosoa maamuzi na alikuwa moja ya mawakili waliowakilisha yanga casHuyo unayemlalamikia alikuwepo kwenye kesi ya Morison na yanga hebu tuambie ni nani alishinda hiyo kesi ?
Waliwezaje la Morrison washindwe na hili?TFF wameshindwa kabisa kulisimamia hili suala kiuweledi, wapo kiswahili sana, wanaonesha walivyo dhaifu na wasio huru kusimamia haki za wachezaji.
Kusema kwamba sasa hivi mchezaji akiwa haitaki team basi avunje tu mkataba bila kuzingatia taratibu eti kwakuwa anafuata maslahi yake kwingineko?Sasa mchezaji km hataki team, hata akitakiwa kurudi na akaenda kufanya tofauti na matarajio ya waliomrudisha sasa ndo nn inakua?
Bora wamuachee aende anako taka, Dogo anatafuta maslahi yake.
Upenzi wa team leo Ngasa anashindia mihogo ya mama aziza Magomeni mikumi.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
pesa ya kuvunja mkataba haina nafasi kabla ya majadilianoSasa si washarudishaa pesa wanayotakiwa kutoa kulingana na mkataba unavodai, ingekua wanaondokaaa buree sawa, kumbe hela wanarudsha kwa account?? Wasepeeeee.
Ndo maaana yake anavunja mkatabaa,Kusema kwamba sasa hivi mchezaji akiwa haitaki team basi avunje tu mkataba bila kuzingatia taratibu eti kwakuwa anafuata maslahi yake kwingineko?
Majadiliano yapi? Unadhan kwan Fei hakuwahi jadiliana na yanga kabla ya kuvunja mkatabaa?pesa ya kuvunja mkataba haina nafasi kabla ya majadiliano
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kaishiwaaaaaa mnoooo.Ngassa ameooteana kiuchumi? Huyu sio mtu wa kwanza kuenjoy maisha ya soka la bongo kaimbwa kama Pepe Kale
Unaona inaleta mantiki?Wakifikia hatua hiyo hakuna kugeuka nyuma ni mkono wa kwaheri waelekee wanakotaka, mtu had kuamua kuvunja mkataba hajakurupuka kadhamiria na anajua anacho kifanyaa.
Hivi hata akirud tena huko yanga huyo Fei bado atakua na imani hapo? Au yanga itakua na imani nae?
Si ndo kafuata taratibu, kuvunja mkataba na kurudishaa pesaMkuu, kuondoka sio shida. Taratibu zifuatwe. Period.
wasingefika hapa km walijadiliana...Majadiliano yapi? Unadhan kwan Fei hakuwahi jadiliana na yanga kabla ya kuvunja mkatabaa?
Uzoefu Umeonyesha Wakienda Huko Yanga Anaangukia Pua ,Ama Chali Cha MendeYeyote atakayeshindwa lazima ataenda CAS.
Kulingana na kamati ya maamuzi ya TFF je Feisal amevunja mkataka kwa taratibu zinazofahamika/sahihi?Ndo maaana yake anavunja mkatabaa,
Kamati ileile iliyoamua kesi ya Morrison na Yanga ndio ileile inaonekana kutotenda haki kwenye kesi ya Feisal na Yanga.pesa ya kuvunja mkataba haina nafasi kabla ya majadiliano
Uzoefu unasema.Uzoefu Umeonyesha Wakienda Huko Yanga Anaangukia Pua ,Ama Chali Cha Mende
sawa ila la morrison na fei ni tofauti sanaKamati ileile iliyoamua kesi ya Morrison na Yanga ndio ileile inaonekana kutotenda haki kwenye kesi ya Feisal na Yanga.
Hii ni tangu iamue kuwa Feisal bado angali na mkataba na klabu yake
Haihitaji kwenda chuo kikuu kujua, Alex Mgongolwa wakili maarufu nchini na mwanachama kindakindaki wa Yanga aliingia kwenye kikao cha kujadili suala la Feitoto wakati akijua kabisa kuwa kuna conflict of interest, Mgongolwa ni makamu mwenyekiti wa kamati ya sheria TFF inayojadili suala la Feitoto lakini ni mwanachama wa yanga, mawakili wa Feitoto walimwekea pingamizi lkn bado aliingia kikaoni.
Sasa mnadhani Utopolo itashindwa hapo? Mnaokaa kudhani kuwa Feitoto atashinda kesi mnapoteza muda wenu bure, cha msingi suala hilo liende CAS, huku bongo kumejaa ubabaishaji mno, ujanja ujanja, unafiki, mapenzi na uhuni
Wa kufa mtu.
Feitoto akishinda kesi ntahama nchi hii
Sent from my SM-F916B using JamiiForums mobile app
Kama to ile mwenyekiti alikuwa Mwanjala Yanga kindakindaki saizi napo tena wanataka Kusema Mgongolwa yaani hakuna mahali itaenda nchi hii ukakosa mtu wa YangaKamati ileile iliyoamua kesi ya Morrison na Yanga ndio ileile inaonekana kutotenda haki kwenye kesi ya Feisal na Yanga.
Hii ni tangu iamue kuwa Feisal bado angali na mkataba na klabu yake[emoji23]
Tunaomba uelewa wako wakisheria juu ya sakata ili la Feisal na Yanga.TFF wameshindwa kabisa kulisimamia hili suala kiuweledi, wapo kiswahili sana, wanaonesha walivyo dhaifu na wasio huru kusimamia haki za wachezaji.