Uhalali na kutokuwa na uhalali wa jambo inategemeana na perceptions za jamii husika na pia maadili ya jamii.dah nimejaribu fikiria sana kuhuusu hii kitu ,,, kuonga mwanamke au kumpa hela ili ulale nAE WEWE mwanaume si halali bali kutoa posa au mahari ili kujiakikishia unakuwa na mbususu maisha yakjo yote kuichakata ni halali
iweje ile ya kutongoza mdada mtaaani then una mpa hela na kumtia si halali ??????????????????????
PointUhalali na kutokuwa na uhalali wa jambo inategemeana na perceptions za jamii husika na pia maadili ya jamii.
Kama unachokifanya hakivunji sheria za nchi na unakiona ni halal, fanya, ni uamuzi wako. Usiforce sisi tuone kama unavyotaka kuona.
Sex in exchange of money is equal to prostitutiondah nimejaribu fikiria sana kuhuusu hii kitu ,,, kuonga mwanamke au kumpa hela ili ulale nAE WEWE mwanaume si halali bali kutoa posa au mahari ili kujiakikishia unakuwa na mbususu maisha yakjo yote kuichakata ni halali
iweje ile ya kutongoza mdada mtaaani then una mpa hela na kumtia si halali ??????????????????????
kwani tafauti ya kuzini na ndoa ni nini?. Ukizini unazaa na ukioa unazaa. Jiulize tafauti iko wapi?. Lazima uwe muumini kuweza kutafautisha. Vyenginevo tutakula visivo liwa. Tafauti ya kuchinja au kunyonga ndio ile ile tafauti ya ndoa na kulalana.. Tumia akili kidogo, maadili yapo wapi?.dah nimejaribu fikiria sana kuhuusu hii kitu ,,, kuonga mwanamke au kumpa hela ili ulale nAE WEWE mwanaume si halali bali kutoa posa au mahari ili kujiakikishia unakuwa na mbususu maisha yakjo yote kuichakata ni halali
iweje ile ya kutongoza mdada mtaaani then una mpa hela na kumtia si halali ??????????????????????
kutongozana mitaani na kulalana ni kuzini. Drasa la dini ya uislamu inatafautisha Zina na kitendo halali kwa hiyo sio rahisi kufahamu ikiwa humo katika kundi.Dah nimejaribu fikiria sana kuhusu hii kitu. Kuhonga mwanamke au kumpa hela ili ulale naye wewe mwanaume si halali bali kutoa posa au mahari ili kujiakikishia unakuwa na mbususu maisha yako yote kuichakata ni halali.
Iweje ile ya kutongoza mdada mtaaani then unampa hela na kufanya naye mapenzi si halali?