Kama mwanaume anatoa mahari au posa ili kumuoa mwanamke kindoa ni sheria, iweje kuhonga mwanamke kwaajili ya mapenzi si halali?

Lexus SUV

JF-Expert Member
Joined
Sep 16, 2016
Posts
4,493
Reaction score
5,591
Dah nimejaribu fikiria sana kuhusu hii kitu. Kuhonga mwanamke au kumpa hela ili ulale naye wewe mwanaume si halali bali kutoa posa au mahari ili kujiakikishia unakuwa na mbususu maisha yako yote kuichakata ni halali.

Iweje ile ya kutongoza mdada mtaaani then unampa hela na kufanya naye mapenzi si halali?
 
Uhalali na kutokuwa na uhalali wa jambo inategemeana na perceptions za jamii husika na pia maadili ya jamii.

Kama unachokifanya hakivunji sheria za nchi na unakiona ni halal, fanya, ni uamuzi wako. Usiforce sisi tuone kama unavyotaka kuona.
 
Sex in exchange of money is equal to prostitution
 
kwani tafauti ya kuzini na ndoa ni nini?. Ukizini unazaa na ukioa unazaa. Jiulize tafauti iko wapi?. Lazima uwe muumini kuweza kutafautisha. Vyenginevo tutakula visivo liwa. Tafauti ya kuchinja au kunyonga ndio ile ile tafauti ya ndoa na kulalana.. Tumia akili kidogo, maadili yapo wapi?.
 
kutongozana mitaani na kulalana ni kuzini. Drasa la dini ya uislamu inatafautisha Zina na kitendo halali kwa hiyo sio rahisi kufahamu ikiwa humo katika kundi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…