Yes huu ni ukweli mchungu ambao lazima Kila kijana wa kiume anayetaka kuingia kwenye ndoa aujue..........huyu ni mdogo wetu,ndugu yetu,jamaa yeti,alioa kwa mbwembwe mwanamke daktari,ndoa ina miezi nane sasa,mke ameenda masomoni mkoa mwengine kilomita zaidi ya 800,yupo busy na masomo
Jamaa analalamika kua hapati unyumba,hapati mawasiliano,Kila kitu anajifanyia mwenyewe,nyege zipo pale pale kama mtu ambaye hajaoa😃😄
Ukweli ni huu vijana masimp,musiotaka kuambiwa ukweli:-
Mungu alimuumba mwanamke kwa ajili ya kuishi na mwanaume,hii hata kwenye biblia ipo wazi,yaani mwanaume anaweza kuishi mwenyewe,Adam aliishi mwenyewe,lengo la kuumbwa mwanamke ni kumsaidia mwanamume,.....mwanamke hakuumbwa kusearch purpose/goals kama mwanamume,goals namba Moja la mwanamke ni mwanaume
Yaani umelipa mahali,umeoa,umejaza watu ukumbini ,ili mwanamke wako asubuhi awahi kazini kumtumikia bosi,huku wewe ukipikiwa chai na housegirl,huu ni ufala,ukatae ukubali.
Umesoma,umetafuta pesa kwa shida,umetoa mahali,unamlisha na kumvisha mke wako,.......kisha usiku unamsubiri atoke kazini akiwa amechoka ili tu akunyime ku.ma😁😅😅
Hapaaana,hili sio lengo la ndoa.
Waulize wataalamu wa psychology na psychiatry, pale MNH,matatizo mengi ya magonjwa ya akili yanasabishwa na migogoro kati ya uhuru wa mwanamke na mahusiano,wanaume wengi wanapata stress,magonjwa ya moyo etc sababu za kupokwa,Ile power Yao ya uanaume,......yaani umeoa ili uje uishi Kwa stress?😃😆🤣
Bisha,jifunze,kataa,kubali,lengo la kwanza la mwanamke/mke unayemuoa lazima liwe ni mwanaume/mume,.......nje ya hapa tegemea migogoro,ubishi,kiburi,usaliti na vifo vitokanavyo na migogoro ya ndoa.
Sasa kwa nini ujitese?,sababu ya kuishi nje ya mfumo wa uumbaji,ambao mungu aliuweka.
Learn or Perish
Jamaa analalamika kua hapati unyumba,hapati mawasiliano,Kila kitu anajifanyia mwenyewe,nyege zipo pale pale kama mtu ambaye hajaoa😃😄
Ukweli ni huu vijana masimp,musiotaka kuambiwa ukweli:-
Mungu alimuumba mwanamke kwa ajili ya kuishi na mwanaume,hii hata kwenye biblia ipo wazi,yaani mwanaume anaweza kuishi mwenyewe,Adam aliishi mwenyewe,lengo la kuumbwa mwanamke ni kumsaidia mwanamume,.....mwanamke hakuumbwa kusearch purpose/goals kama mwanamume,goals namba Moja la mwanamke ni mwanaume
Yaani umelipa mahali,umeoa,umejaza watu ukumbini ,ili mwanamke wako asubuhi awahi kazini kumtumikia bosi,huku wewe ukipikiwa chai na housegirl,huu ni ufala,ukatae ukubali.
Umesoma,umetafuta pesa kwa shida,umetoa mahali,unamlisha na kumvisha mke wako,.......kisha usiku unamsubiri atoke kazini akiwa amechoka ili tu akunyime ku.ma😁😅😅
Hapaaana,hili sio lengo la ndoa.
Waulize wataalamu wa psychology na psychiatry, pale MNH,matatizo mengi ya magonjwa ya akili yanasabishwa na migogoro kati ya uhuru wa mwanamke na mahusiano,wanaume wengi wanapata stress,magonjwa ya moyo etc sababu za kupokwa,Ile power Yao ya uanaume,......yaani umeoa ili uje uishi Kwa stress?😃😆🤣
Bisha,jifunze,kataa,kubali,lengo la kwanza la mwanamke/mke unayemuoa lazima liwe ni mwanaume/mume,.......nje ya hapa tegemea migogoro,ubishi,kiburi,usaliti na vifo vitokanavyo na migogoro ya ndoa.
Sasa kwa nini ujitese?,sababu ya kuishi nje ya mfumo wa uumbaji,ambao mungu aliuweka.
Learn or Perish