Kwanza naomba nieleweke kwamba, Huu uzi hauongelei chama chochote, isipokuwa unaangazia makosa ambayo yakifanyika ndani ya chama chochote, na nani ndani ya chama endapo atafanya makosa yanayopita uwezo wa kustiliwa hadi kupelekea kufutwa kwa Chama,
Kama M/kiti wa chama husika, anajihusisha na mambo ya kigaidi na bado chama hakuwezi kufutwa, Je, ni kosa lipi lingine ambalo linaweza kupelekea chama cha siasa kufutwa?
Kama kosa doogo kabisa la mgombea Urais kuanza kampeni kabla ya kipyenga rasimi kupulizwa, anaweza kuondolewa kwenye nafasi ya ugombea Uraisi au kuadhibiwa vikali.
Je, Ili chama kifutwe, ni makosa gani ambayo yakitendeka ndani ya chama, yanayompa nafasi Msajili wa vyama kukifuta chama hiko kupitia sheria na kanuni za usajili nchini!
Karibuni wadau na wajuzi wa mambo ili hata likitokea, wote tunakuwa tunafahamu
Kama M/kiti wa chama husika, anajihusisha na mambo ya kigaidi na bado chama hakuwezi kufutwa, Je, ni kosa lipi lingine ambalo linaweza kupelekea chama cha siasa kufutwa?
Kama kosa doogo kabisa la mgombea Urais kuanza kampeni kabla ya kipyenga rasimi kupulizwa, anaweza kuondolewa kwenye nafasi ya ugombea Uraisi au kuadhibiwa vikali.
Je, Ili chama kifutwe, ni makosa gani ambayo yakitendeka ndani ya chama, yanayompa nafasi Msajili wa vyama kukifuta chama hiko kupitia sheria na kanuni za usajili nchini!
Karibuni wadau na wajuzi wa mambo ili hata likitokea, wote tunakuwa tunafahamu