Kama mzazi utajisikiaje?

Kama mzazi utajisikiaje?

Ubuyuu ganiiii?? App inazingua kwanguu miee aaaah.
Nipee huo umbeaaa.
Mishy na James walikuwa wnashare dyudyu
Mishy amepewa notice ahamishe duka
Mishy amepelekwa polisi arudishe mali za James alizozing'ang'ania
 
Kipindi wakati nakua nakumbuka mabro ndo walikuwa kama walinzi. Wakikuona tu na kajamaa iwe chocho ama hadharani, utatimuliwa mpaka nyumbani na hapo jamaa anachimbwa mkwala mzito balaa. Ukirudia unapigwa (sister wangu alishapigwa)
Hivi makaka wa hivi waliendaga wapi? Siku hizi wengi wapo kidigitali sana!
Nice name

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom