Wasanii watamrarua sana
Na hawa binti zetu wakishasikia msanii,k anampa bureee
Ova
Mimi mwenyewe niliwahi kujifanya hamza kalala nikararua manzi za tabora
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wasanii watamrarua sana
Na hawa binti zetu wakishasikia msanii,k anampa bureee
Ova
Kwamba kila mtu ajipambanie atajua mwenyewe mbele ya safari au sio?Hivi mtu anasomeshwa kwa mamilioni ya shs alafu bado hajui jinsi ya kufanya maamuzi kwa mambo madogo kama haya si ni hasara aiseeee
Mbona single mazaz mnawaonea sana?!matunda ya malezi ya singo maza
Kama masuala ya mapenzi ni mambo madogo kwa mtu kufanya maamuzi hata mwenyewe kama ubongo wake unafikiri sawa sawaKwamba kila mtu ajipambanie atajua mwenyewe mbele ya safari au sio?
Wameonewa kivipi? Wewe unaangalia comment yangu kwa side ipi? Chunguza ndipo urudi hapa.Mbona single mazaz mnawaonea sana?!
Mishy na James walikuwa wnashare dyudyuUbuyuu ganiiii?? App inazingua kwanguu miee aaaah.
Nipee huo umbeaaa.
Kule kwenu kondoa (urangini) mbona huyo ni mkubwa sana??hivi kama mzazi yaani baba,mama
Au kaka,ndugu kwa kuona tukio la huyu mtoto utajisiaje??
Any way naona kabinti ana kachura fulani .....
Ova
Mshana Jr
cocastic
King Kong III
Nakadori
anasbo View attachment 2564067
Hahahaha Dah mtoto ataliwa kimaskhara huyu ujue... Brother hapo huna la kufanya zaidi ya kumpa nasaha tuu . katika hali hiyo haambiliki hakisiihivi kama mzazi yaani baba, mama au kaka, ndugu kwa kuona tukio la huyu mtoto utajisiaje?
Any way naona binti ana kachura fulani.
Ova
Mshana Jr
cocastic
King Kong III
Nakadori
anasbo View attachment 2564067
Nice nameKipindi wakati nakua nakumbuka mabro ndo walikuwa kama walinzi. Wakikuona tu na kajamaa iwe chocho ama hadharani, utatimuliwa mpaka nyumbani na hapo jamaa anachimbwa mkwala mzito balaa. Ukirudia unapigwa (sister wangu alishapigwa)
Hivi makaka wa hivi waliendaga wapi? Siku hizi wengi wapo kidigitali sana!