Kama na wewe unataka kuujaza Uwanja wa Mkapa, kuaminika na kuabudiwa na wengi tembelea nchi hizi

Kama na wewe unataka kuujaza Uwanja wa Mkapa, kuaminika na kuabudiwa na wengi tembelea nchi hizi

Cognizant

JF-Expert Member
Joined
Aug 13, 2022
Posts
626
Reaction score
1,409
Nenda nchini Msumbiji hasa ile miji yenye madini mengi kisha mtafute Mganga wa hapo atakupika vyema Nyota na Utaujaza Mkapa Stadium.

au nenda nchini Congo DR mtafute Msanii Kofi Olomide au Mwanafunzi wake kimuziki Fally Ipupa kisha waombe wakukutanishe na Waganga wao Hatari na Nyota yako itang"aa, utakubalika na Utaujaza Uwanja wa Mkapa.

Usipoteze muda wako kwenda tena Mji wa Kanu nchini Nigeria kwani huko Siku hizi hamna Kitu na sasa mambo yote ni Kuchanganya Ndumba (Uchawi) wa Mozambique na Congo DR.

Maji mengi yanayogombaniwa hadi Watu Kuumizana ni Matokeo ya Maji ya Kuoshea Maiti za Siku kati ya Tatu hadi Saba.

Mafuta yanayogawiwa kokote pale mnayoita ni ya Upako ni yale ambayo yanatolewa katika ngozi za maeneo maalum ya mwanadamu.

Hata hivyo kutoa kafara ni lazima!
 
Kwa hiyo na Mwamposile na kapita huko? Maana nasikia kaujaza uwanja
 
Shida ipo wapi watu wameenda kumuabudu Mungu wanaemwamini...sema Tanzania wale wanaowaamini Waganga ni wengi sana na masharti mengi wakisikia mambo ya Mungu iwe kwa Waislamu au Ukristo wao wanastuka maana dhamira inawasuta na hawawezi tena kutoka kwenye mnyororo wa masharti magumu ya waganga ya pia kutotoa pesa wala hata kusaidia ndugu wakati hii sehemu ya pili haina masharti ila wao wameshindwa kufata...
 
Mind you, ukiona Mtu hasa mwanaume anaabudu haya makanisa ya watu binafsi akina Zumarid na hao wengine sjui Caterpillar kaa nae kwa akili. Wengi wao ni Mental Case na akili zao haziko 100% tena umweleweshe kwa tahadhari hachelewi kurusha ngumi maaana akili zao zishaharibiwa. Tuwaaache waangamie maaana hawana maarifa IQ yao inaelekea zero.
 
Mashambuliza kwa Mwamposa yamezidi. Kwa moto unaowaka kule lazima mawakala wa shetani watie akili. Hata humu wapo
 
Kuna mtu alinisimulia namna wanavyowapika watu wanaokubalika mbele za watu na wenye sauti asee ni noma

Kuna sjui mafuta ya vile vitoto vilivyokufa wakati vinazaliwa.. Vile vinakaangwa na mafuta yake ndo hayo unamix na unga wa ulimi wa misukule(inasadikika misukule wanakatwa ulimi)

Kwa iyo unachanjiwa kwenye ulimi wako na unaambiwa unatakiwa ukae wiki hujala kitu dadeq... Ila mzee ukitoka hapo unajaza al bayt
 
Mind you, ukiona Mtu hasa mwanaume anaabudu haya makanisa ya watu binafsi akina Zumarid na hao wengine sjui Caterpillar kaa nae kwa akili. Wengi wao ni Mental Case na akili zao haziko 100% tena umweleweshe kwa tahadhari hachelewi kurusha ngumi maaana akili zao zishaharibiwa. Tuwaaache waangamie maaana hawana maarifa IQ yao inaelekea zero.
Mkuu kwa hiyo IQ inakua kubwa akiabudu wapi?
 
To each their own.....

Comments nyingi za humu zinanikumbusha huu msemo..... "A Kettle calling a Pot Black"

images
images
 
Mind you, ukiona Mtu hasa mwanaume anaabudu haya makanisa ya watu binafsi akina Zumarid na hao wengine sjui Caterpillar kaa nae kwa akili. Wengi wao ni Mental Case na akili zao haziko 100% tena umweleweshe kwa tahadhari hachelewi kurusha ngumi maaana akili zao zishaharibiwa. Tuwaaache waangamie maaana hawana maarifa IQ yao inaelekea zero.
Mimi huwa naenda kwa mganga. Na biashara zangu zinapata nguvu kwq mganga wa mkoani. Mimi unaniweka kundi gani
 
Back
Top Bottom