Kama Nape, Mwigulu, January na sasa Kigwangalla wameathiriwa na siasa chafu basi "huyo" aliyeko nyuma ya Pazia ni mtaalamu haswa!

Kama Nape, Mwigulu, January na sasa Kigwangalla wameathiriwa na siasa chafu basi "huyo" aliyeko nyuma ya Pazia ni mtaalamu haswa!

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Ukiangalia kwa jicho la tatu kuna uwezekano mkubwa hao niliowataja hapo juu wasirudi bungeni baada ya uchaguzi mkuu ujao kutokana na majeraha makubwa ya kisiasa waliyonayo.

Wote kwa nyakati tofauti wamedai madhila yaliyowakuta yametokana na siasa chafu wanazotendewa ndani ya CCM.

Ndio Johnthebaptist nasema kama hawa almaaruf wanne wametendewa hivi huko CCM basi ni hakika huyo Producer aliyeko nyuma ya Pazia ni mtaalamu kweli kweli.

Maendeleo hayana vyama!
 
Ana mabasi kigwangala express, ana ng’ombe kama 700, ana chuo cha afya nzega, hatokufa njaa huyo atulie tu lakini kurudi bungeni sijui maana nchi hii ukipishana na bashite lazima ile kwako


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Ana mabasi kigwangala express, ana ng’ombe kama 700, ana chuo cha afya nzega, hatokufa njaa huyo atulie tu lakini kurudi bungeni sijui maana nchi hii ukipishana na bashite lazima ile kwako


Sent from my iPhone using JamiiForums
Bungeni atakuja Happi!
 
Mzee Lowassa alitangazwa nchi nzima na kuhukumiwa kwa kitu ambacho hakufanya tena wanaCCM. Aliumizwa moyo wake na alichafuliwa sana kisiasa lakini hakusita kumlilia Mungu.

Sioni Cha wao kulalamika kwa sababu walihusika huko nyuma kwa namna moja au nyingine kuchafua watu na wakaasisi siasa chafu.
 
CCM ni nyoka!anatotoa watoto anawalea wakikua anawadonoa waende zao!!!Hao wameshakua wakubwa wameshachuma vya kutosha waende zao huko!!!
 
Back
Top Bottom