Kama Nape, Mwigulu, January na sasa Kigwangalla wameathiriwa na siasa chafu basi "huyo" aliyeko nyuma ya Pazia ni mtaalamu haswa!

Kama Nape, Mwigulu, January na sasa Kigwangalla wameathiriwa na siasa chafu basi "huyo" aliyeko nyuma ya Pazia ni mtaalamu haswa!

Ujanja,ushawishi,sarakasi za maneno at any coast ili kupaint image yake,akikosea anaomba msamaha. Sasa maadui zake anajua jinsi ya kulala nao mbele,kudeal nao perpendiculaire. Issue ya Idris Hamis alijifanya kimbelembele.
Bashite alitulia tu maana anajua ni wapi atamkamatia.
Wiki ijayo gazeti ndo litatoa evidences kabisa..Hamis ajiandae.
Huyu Idris ana issue gani?!
 
Tatizo kigwangala akili hana. Yaani hapo tu ndo napopata shida hata ya kumtetea. Mtu kama kigwangala hata ukimkuta anapigwa na shetani unamwacha tu unajiendea unasema "hao wanajuana wenyewe"
Duh.......Bwashee acha ukauzu!
 
Huyu Bashite kweli ana nguvu kubwa, awali nilijua nguvu yake ni kubwa kuliko Majaliwa serikalini kumbe hata kwenye chama Bashiru naye anamgwaya?
Hicho anacho kitumia Bashite Ku win hakika ni cha kipekee
Kwani anatumia nini mzee?. Kuna mtu naona amewahipost nahisi ni hapa JF. Kwamba alimtafuta mtaalamu wa kuremove majini white house yaliyoachwa na mtangulizi . Tokea hapo muheshimiwa anamkubali kinoma. ?

Ni kweli?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ukiangalia kwa jicho la tatu kuna uwezekano mkubwa hao niliowataja hapo juu wasirudi bungeni baada ya uchaguzi mkuu ujao kutokana na majeraha makubwa ya kisiasa waliyonayo.

Wote kwa nyakati tofauti wamedai madhila yaliyowakuta yametokana na siasa chafu wanazotendewa ndani ya CCM.

Ndio Johnthebaptist nasema kama hawa almaaruf wanne wametendewa hivi huko CCM basi ni hakika huyo Producer aliyeko nyuma ya Pazia ni mtaalamu kweli kweli.

Maendeleo hayana vyama!
chama chetu CCM sasa hivi kimejaa uhuni na wahuni tu!
 
Ujanja,ushawishi,sarakasi za maneno at any coast ili kupaint image yake,akikosea anaomba msamaha. Sasa maadui zake anajua jinsi ya kulala nao mbele,kudeal nao perpendiculaire. Issue ya Idris Hamis alijifanya kimbelembele.
Bashite alitulia tu maana anajua ni wapi atamkamatia.
Wiki ijayo gazeti ndo litatoa evidences kabisa..Hamis ajiandae.
Aiseee kuna haja ya kumpa umuhimu na kumwangalia kwa jicho la kipekee huyu Bashite.

Naona hajawahi kushindwa vita vya watesi wake wa kisiasa.
 
!
!
hao hata wakifa sishtuki ndio kwaaanza naagiza kvant ya kati na balimi tatu baridi


Ukiangalia kwa jicho la tatu kuna uwezekano mkubwa hao niliowataja hapo juu wasirudi bungeni baada ya uchaguzi mkuu ujao kutokana na majeraha makubwa ya kisiasa waliyonayo.

Wote kwa nyakati tofauti wamedai madhila yaliyowakuta yametokana na siasa chafu wanazotendewa ndani ya CCM.

Ndio Johnthebaptist nasema kama hawa almaaruf wanne wametendewa hivi huko CCM basi ni hakika huyo Producer aliyeko nyuma ya Pazia ni mtaalamu kweli kweli.

Maendeleo hayana vyama!
di
 
Kigwangala anakurupuka sana kama mwanamke mjamzito. Juzi kaanza kuongelea maswala ya Dewji na simba, kama hana akili vile. Sasa waziri unaanza kuongelea mambo ya watu binafsi ambayo hayahusu wizara yako kwanini? Mara ajibizane na kina babu tale, debe tupu huyo jamaa. Mi nilimuona hamna kitu awamu ile ya Spika Makinda, akaanza kumnanga mama watu mitandaoni kama punguani. Akikosa ubunge yule ndo kwisha habari yake, mikopo itamuua. Kijana mdogo ameng'ang'ania mambo ya kizee. Ukiwa na mdomo sio lazima uongee. Hamna anaemtuhumu Kigwangala mdomoni, yanini yeye aanze kujibizana na watu na kutafuta ugomvi usio na maana?
ndio ujiulize doctor anawezaje kufanya upuuzi huo?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom