Kama Nape, Mwigulu, January na sasa Kigwangalla wameathiriwa na siasa chafu basi "huyo" aliyeko nyuma ya Pazia ni mtaalamu haswa!

Kama Nape, Mwigulu, January na sasa Kigwangalla wameathiriwa na siasa chafu basi "huyo" aliyeko nyuma ya Pazia ni mtaalamu haswa!

Ivi wakina nani wanataka kumua Kihagwalla? Hafu uyu si anaitwa Dr. Hamis Kihagwalla na inaonekana amesoma sana.

Kwa nini watanzania wengi tunaachana na taaluma zetu na kukimbilia kwenye siasa.
Nchi yetu inahitaji wataalamu na wasomi wasaidie katika maendeleo.
Siasa zina madudu mengi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hapi, Gambo, Makonda, shilole, Harmonize, hawa wanaingia mjengoni na Bashe atakua waziri kamili wa kilimo huku tulia akiwa spika kamili wa Bunge na Ndugai atakua mwenyekiti wa bodi au mkuu wa chuo mark my words


Sent from my iPhone using JamiiForums
Bashe atakuwa Waziri wa Maliasili na Utalii kabla ya bunge la February 2020!
 
Ivi wakina nani wanataka kumua Kihagwalla? Hafu uyu si anaitwa Dr. Hamis Kihagwalla na inaonekana amesoma sana.

Kwa nini watanzania wengi tunaachana na taaluma zetu na kukimbilia kwenye siasa.
Nchi yetu inahitaji wataalamu na wasomi wasaidie katika maendeleo.
Siasa zina madudu mengi.

Sent using Jamii Forums mobile app
Bwashee hata kusoma sana ni siasa pia!
 
Hamis amekalia kuti kavu. Bashite kama anaweza angusha miamba kama Nape. Huyu Kingwa anakalia kusema tu anamfahamu mbaya wake. Si aseme tu Bashite. Ila kashikwa pabaya.
Alijifanya kutumia pesa kuwalipa kina Ebitoke eti wanatangaza utalii. Hivi ni Mtanzania yupi asiyejua kuna mlima Kilimanjaro?
 
Hao walitaka kusaliti harakati za wanyonge na wazalendo wa nchi hii na kutaka kushirikiana na mafisadi/mabepari CDM. Intelejensia makini ya chama cha wanyonge ikawabaini walipotaka kusaliti wanyonge wa Tanzania, CCM siku zote inalinda maslahi ya wanyonge na wazalendo.
 
Ana mabasi kigwangala express, ana ng’ombe kama 700, ana chuo cha afya nzega, hatokufa njaa huyo atulie tu lakini kurudi bungeni sijui maana nchi hii ukipishana na bashite lazima ile kwako


Sent from my iPhone using JamiiForums
Kuna wafanya biashara wana mali za mabilioni Kigwa ni cha mtoto lkn wanalilia kuingia bungeni,jiulize huko Bungeni hua kuna nini?

dodge
 
Watakao warudisha bungeni ni wananchi wa maeneo yao si vinginevyo
Ukiangalia kwa jicho la tatu kuna uwezekano mkubwa hao niliowataja hapo juu wasirudi bungeni baada ya uchaguzi mkuu ujao kutokana na majeraha makubwa ya kisiasa waliyonayo.

Wote kwa nyakati tofauti wamedai madhila yaliyowakuta yametokana na siasa chafu wanazotendewa ndani ya CCM.

Ndio Johnthebaptist nasema kama hawa almaaruf wanne wametendewa hivi huko CCM basi ni hakika huyo Producer aliyeko nyuma ya Pazia ni mtaalamu kweli kweli.

Maendeleo hayana vyama!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kigwangala anakurupuka sana kama mwanamke mjamzito. Juzi kaanza kuongelea maswala ya Dewji na simba, kama hana akili vile. Sasa waziri unaanza kuongelea mambo ya watu binafsi ambayo hayahusu wizara yako kwanini? Mara ajibizane na kina babu tale, debe tupu huyo jamaa. Mi nilimuona hamna kitu awamu ile ya Spika Makinda, akaanza kumnanga mama watu mitandaoni kama punguani. Akikosa ubunge yule ndo kwisha habari yake, mikopo itamuua. Kijana mdogo ameng'ang'ania mambo ya kizee. Ukiwa na mdomo sio lazima uongee. Hamna anaemtuhumu Kigwangala mdomoni, yanini yeye aanze kujibizana na watu na kutafuta ugomvi usio na maana?
 
Hamis amekalia kuti kavu. Bashite kama anaweza angusha miamba kama Nape. Huyu Kingwa anakalia kusema tu anamfahamu mbaya wake. Si aseme tu Bashite. Ila kashikwa pabaya.
Alijifanya kutumia pesa kuwalipa kina Ebitoke eti wanatangaza utalii. Hivi ni Mtanzania yupi asiyejua kuna mlima Kilimanjaro?
Huyu Bashite kweli ana nguvu kubwa, awali nilijua nguvu yake ni kubwa kuliko Majaliwa serikalini kumbe hata kwenye chama Bashiru naye anamgwaya?
Hicho anacho kitumia Bashite Ku win hakika ni cha kipekee
 
Kigwangala anakurupuka sana kama mwanamke mjamzito. Juzi kaanza kuongelea maswala ya Dewji na simba, kama hana akili vile. Sasa waziri unaanza kuongelea mambo ya watu binafsi ambayo hayahusu wizara yako kwanini? Mara ajibizane na kina babu tale, debe tupu huyo jamaa. Mi nilimuona hamna kitu awamu ile ya Spika Makinda, akaanza kumnanga mama watu mitandaoni kama punguani. Akikosa ubunge yule ndo kwisha habari yake, mikopo itamuua. Kijana mdogo ameng'ang'ania mambo ya kizee. Ukiwa na mdomo sio lazima uongee. Hamna anaemtuhumu Kigwangala mdomoni, yanini yeye aanze kujibizana na watu na kutafuta ugomvi usio na maana?
Hahahaaaa...... Alikuwa hataki Chenge awe mwenyekiti wa kamati ya bajeti!
 
Huyu Bashite kweli ana nguvu kubwa, awali nilijua nguvu yake ni kubwa kuliko Majaliwa serikalini kumbe hata kwenye chama Bashiru naye anamgwaya?
Hicho anacho kitumia Bashite Ku win hakika ni cha kipekee
Ujanja,ushawishi,sarakasi za maneno at any coast ili kupaint image yake,akikosea anaomba msamaha. Sasa maadui zake anajua jinsi ya kulala nao mbele,kudeal nao perpendiculaire. Issue ya Idris Hamis alijifanya kimbelembele.
Bashite alitulia tu maana anajua ni wapi atamkamatia.
Wiki ijayo gazeti ndo litatoa evidences kabisa..Hamis ajiandae.
 
Timu mandako na basimu wanaangalia wale viherehere kwa wa mkubwa
 
Back
Top Bottom