Huyu Idris ana issue gani?!Ujanja,ushawishi,sarakasi za maneno at any coast ili kupaint image yake,akikosea anaomba msamaha. Sasa maadui zake anajua jinsi ya kulala nao mbele,kudeal nao perpendiculaire. Issue ya Idris Hamis alijifanya kimbelembele.
Bashite alitulia tu maana anajua ni wapi atamkamatia.
Wiki ijayo gazeti ndo litatoa evidences kabisa..Hamis ajiandae.
Duh.......Bwashee acha ukauzu!Tatizo kigwangala akili hana. Yaani hapo tu ndo napopata shida hata ya kumtetea. Mtu kama kigwangala hata ukimkuta anapigwa na shetani unamwacha tu unajiendea unasema "hao wanajuana wenyewe"
Kwani anatumia nini mzee?. Kuna mtu naona amewahipost nahisi ni hapa JF. Kwamba alimtafuta mtaalamu wa kuremove majini white house yaliyoachwa na mtangulizi . Tokea hapo muheshimiwa anamkubali kinoma. ?Huyu Bashite kweli ana nguvu kubwa, awali nilijua nguvu yake ni kubwa kuliko Majaliwa serikalini kumbe hata kwenye chama Bashiru naye anamgwaya?
Hicho anacho kitumia Bashite Ku win hakika ni cha kipekee
kwani sio waziri tena?Kigwa arudie kazi yake ya kusikiliza vifua na mapafu kwa stethoscope
chama chetu CCM sasa hivi kimejaa uhuni na wahuni tu!Ukiangalia kwa jicho la tatu kuna uwezekano mkubwa hao niliowataja hapo juu wasirudi bungeni baada ya uchaguzi mkuu ujao kutokana na majeraha makubwa ya kisiasa waliyonayo.
Wote kwa nyakati tofauti wamedai madhila yaliyowakuta yametokana na siasa chafu wanazotendewa ndani ya CCM.
Ndio Johnthebaptist nasema kama hawa almaaruf wanne wametendewa hivi huko CCM basi ni hakika huyo Producer aliyeko nyuma ya Pazia ni mtaalamu kweli kweli.
Maendeleo hayana vyama!
PhD kama ya chi'panda hawezi kuwa nayo uyo.Kwani Kigwa siyo PhD?
Aiseee kuna haja ya kumpa umuhimu na kumwangalia kwa jicho la kipekee huyu Bashite.Ujanja,ushawishi,sarakasi za maneno at any coast ili kupaint image yake,akikosea anaomba msamaha. Sasa maadui zake anajua jinsi ya kulala nao mbele,kudeal nao perpendiculaire. Issue ya Idris Hamis alijifanya kimbelembele.
Bashite alitulia tu maana anajua ni wapi atamkamatia.
Wiki ijayo gazeti ndo litatoa evidences kabisa..Hamis ajiandae.
diUkiangalia kwa jicho la tatu kuna uwezekano mkubwa hao niliowataja hapo juu wasirudi bungeni baada ya uchaguzi mkuu ujao kutokana na majeraha makubwa ya kisiasa waliyonayo.
Wote kwa nyakati tofauti wamedai madhila yaliyowakuta yametokana na siasa chafu wanazotendewa ndani ya CCM.
Ndio Johnthebaptist nasema kama hawa almaaruf wanne wametendewa hivi huko CCM basi ni hakika huyo Producer aliyeko nyuma ya Pazia ni mtaalamu kweli kweli.
Maendeleo hayana vyama!
wewe hakuna kipanga hapoKumbe basi ni kipanga. Maana hiyo MD si ya kitoto, nilikuwa nawaona maPCB walivyokuwa wanakesha na mabuku yao makubwamakubwa
Sasa huyu anatupika vipi vijana ili tuwe viongozi bora. Mana hapo si alikuwa anafanya ujangili.Hahah Meli yake ilikamatwa ikisafirisha ndovu mkuu.
dodge
ndio ujiulize doctor anawezaje kufanya upuuzi huo?Kigwangala anakurupuka sana kama mwanamke mjamzito. Juzi kaanza kuongelea maswala ya Dewji na simba, kama hana akili vile. Sasa waziri unaanza kuongelea mambo ya watu binafsi ambayo hayahusu wizara yako kwanini? Mara ajibizane na kina babu tale, debe tupu huyo jamaa. Mi nilimuona hamna kitu awamu ile ya Spika Makinda, akaanza kumnanga mama watu mitandaoni kama punguani. Akikosa ubunge yule ndo kwisha habari yake, mikopo itamuua. Kijana mdogo ameng'ang'ania mambo ya kizee. Ukiwa na mdomo sio lazima uongee. Hamna anaemtuhumu Kigwangala mdomoni, yanini yeye aanze kujibizana na watu na kutafuta ugomvi usio na maana?
Alaaah! Kumbe!Kwani anatumia nini mzee?. Kuna mtu naona amewahipost nahisi ni hapa JF. Kwamba alimtafuta mtaalamu wa kuremove majini white house yaliyoachwa na mtangulizi . Tokea hapo muheshimiwa anamkubali kinoma. ?
Ni kweli?
Sent using Jamii Forums mobile app
Watatupika tuwe wezi tu mkuu.Sasa huyu anatupika vipi vijana ili tuwe viongozi bora. Mana hapo si alikuwa anafanya ujangili.
Sent using Jamii Forums mobile app
Atakuwa shahidi kwenye ile kesi mahakamani.Bwashee unaweza kuthibitisha?!
Live ndo mana vijana wengi siku izi ni wezi.Watatupika tuwe wezi tu mkuu.
dodge