Pre GE2025 Kama Nape na Makamba wamewekwa kando, si Mwigulu, Biteko, Tulia, Mwinyi, Makonda wala Majaliwa watamrithi kiti Rais Samia

Pre GE2025 Kama Nape na Makamba wamewekwa kando, si Mwigulu, Biteko, Tulia, Mwinyi, Makonda wala Majaliwa watamrithi kiti Rais Samia

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Nani huyu
Ni maneno tu, kama yana ukweli achukue hatua! Haukuona taarifa rasmi bali maneno ya jukwaani

Haiwezekani mtu afike ngazi ya uwaziri halafu useme uraia wake una mashaka, hiyo nchi itakuwa haiko serious. Waziri anaingia kwenye baraza la mawaziri halafu asiwe raia BILA USHAHIDI NI POROJO TU
Nawe ulifanya utafiti gani kubaini ni maneno tu
 
Rais anakuwa na malengo ya kitaifa siku zote anaitazama picha pana inayokuwa mbele yake. Hawajaandikiwa watu fulani na familia zao eti ndio wawe viongozi wetu wa kudumu na bahati mbaya tabia hiyo inapoota mizizi inaleta dharau kwa watu walio wengi.

SSH kanifurahisha kuwaondoa hawa mawaziri wawili wazoefu.
Hapa kafurahisha wengi sana. Kwa kweli ameupiga mwingi sana.
 
Back
Top Bottom