Mtukutu wa Nyaigela
JF-Expert Member
- Sep 4, 2018
- 8,013
- 14,263
wanafiki sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bashite??Mtu mwenye akili timamu unaweza vipi fikiria BASHITE AWE RAIS WA NCHI HII??Kuna Ukweli fikiria Bashite ndio Rais team msoga watakuwa na hali gani?
Weka ushahidi siyo unachukua story zako kutoka PAROKIA YA MCHAMBA WIMA UNATULETEA HAPA JF,MARUFUKU..!!Unasema nini mkuu? Unafahamu jinsi Samia alivyowajaza ndugu zake ikulu na serikalini na pia jinsi alivyowajaza wazanzibar na wapemba ktk sehemu nyeti hapa Tanganyika? Wewe hili hulioni?
Yaan ww ndiWanabodi,
Baada ya team moja ya wasaka Urais iliyotumia muda mwingi kujiandaa kuangushwa ni dhahiri kabisa team hii haitakaa kimya kwani hata hivyo team hii pia kama zilivyo team zingine inamtandao mpana ndani na nje ya Tanzania naamini tunaufahamu.
Kitendo Cha team hii kuangushwa wataamini kabisa ni team kinzani ndio zimefanya uchochezi kwa Rais ili kuiangusha team yao hiyo iliyomteua Mhe January Makamba kama kinara wa team.
Pia soma: Uteuzi na Utenguzi: Nape, January na Byabato out! Jerry Silaa ahamishiwa Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari
Nikitazama ukwasi na ushawishi ilionao team hii ya kinara January Makamba nashawishika kuamini si Mwigulu, Biteko, Makonda, Tulia, Mwinyi, Mchengerwa, Jaffo, Bashe, Kikwete wala Majaliwa wataunusa Urais 2025 wala 2030.
Kuna ule usemi maarufu wa kiswahili unaosema "Ukimwaga Mboga Mimi na mwaga Ugali" tutarajie miangushano mikubwa kati ya sasa na 2030 kwani hizi team ni hakika na hii vita ni ukweli pia.
Baada ya mtifuano huu Rais wa 2030 atakuwa ni mtu mpya mwenye kuchukia kabisa Matendo ya Rushwa na Ufisadi na hayuko kwenye team yoyote kati ya hizo kwani Kila team haitakuwa tayari kuona ikifukuzwa kama sio kutoroka kabisa Tanzania baada ya team kinzani kushinda nafàsi hiyo.
Mungu ibariki Tanzania, Mungu mbariki Rais Samia.
Mungu hawezi kuwaacha watanzania waibiwe, na pia waongozwe na wajinga na wapumbavu na pia majambaz kama hao, miaka yote.Enough is enough.Wanabodi,
Baada ya team moja ya wasaka Urais iliyotumia muda mwingi kujiandaa kuangushwa ni dhahiri kabisa team hii haitakaa kimya kwani hata hivyo team hii pia kama zilivyo team zingine inamtandao mpana ndani na nje ya Tanzania naamini tunaufahamu.
Kitendo Cha team hii kuangushwa wataamini kabisa ni team kinzani ndio zimefanya uchochezi kwa Rais ili kuiangusha team yao hiyo iliyomteua Mhe January Makamba kama kinara wa team.
Pia soma: Uteuzi na Utenguzi: Nape, January na Byabato out! Jerry Silaa ahamishiwa Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari
Nikitazama ukwasi na ushawishi ilionao team hii ya kinara January Makamba nashawishika kuamini si Mwigulu, Biteko, Makonda, Tulia, Mwinyi, Mchengerwa, Jaffo, Bashe, Kikwete wala Majaliwa wataunusa Urais 2025 wala 2030.
Kuna ule usemi maarufu wa kiswahili unaosema "Ukimwaga Mboga Mimi na mwaga Ugali" tutarajie miangushano mikubwa kati ya sasa na 2030 kwani hizi team ni hakika na hii vita ni ukweli pia.
Baada ya mtifuano huu Rais wa 2030 atakuwa ni mtu mpya mwenye kuchukia kabisa Matendo ya Rushwa na Ufisadi na hayuko kwenye team yoyote kati ya hizo kwani Kila team haitakuwa tayari kuona ikifukuzwa kama sio kutoroka kabisa Tanzania baada ya team kinzani kushinda nafàsi hiyo.
Mungu ibariki Tanzania, Mungu mbariki Rais Samia.
Sasa Broo PascoWanabodi,
Baada ya team moja ya wasaka Urais iliyotumia muda mwingi kujiandaa kuangushwa ni dhahiri kabisa team hii haitakaa kimya kwani hata hivyo team hii pia kama zilivyo team zingine inamtandao mpana ndani na nje ya Tanzania naamini tunaufahamu.
Kitendo Cha team hii kuangushwa wataamini kabisa ni team kinzani ndio zimefanya uchochezi kwa Rais ili kuiangusha team yao hiyo iliyomteua Mhe January Makamba kama kinara wa team.
Pia soma: Uteuzi na Utenguzi: Nape, January na Byabato out! Jerry Silaa ahamishiwa Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari
Nikitazama ukwasi na ushawishi ilionao team hii ya kinara January Makamba nashawishika kuamini si Mwigulu, Biteko, Makonda, Tulia, Mwinyi, Mchengerwa, Jaffo, Bashe, Kikwete wala Majaliwa wataunusa Urais 2025 wala 2030.
Kuna ule usemi maarufu wa kiswahili unaosema "Ukimwaga Mboga Mimi na mwaga Ugali" tutarajie miangushano mikubwa kati ya sasa na 2030 kwani hizi team ni hakika na hii vita ni ukweli pia.
Baada ya mtifuano huu Rais wa 2030 atakuwa ni mtu mpya mwenye kuchukia kabisa Matendo ya Rushwa na Ufisadi na hayuko kwenye team yoyote kati ya hizo kwani Kila team haitakuwa tayari kuona ikifukuzwa kama sio kutoroka kabisa Tanzania baada ya team kinzani kushinda nafàsi hiyo.
Mungu ibariki Tanzania, Mungu mbariki Rais Samia.
Kumbuka team ile ina mbadala wengi, wenye kujulikana na wasio dhahiri, akina MwinguluAnaweza asiwe na ushawishi ila anateam strong lazima ulijue hili pia
Samia hakurupuki hayati JPM alikuwa anakurupuka. Ufisadi wa Makamba umekuwa ukifuatiliwa kwa muda mrefu michakato haikuanza jana wala juzi.Pambaneni na Ufisadi nda ya ccm na serikali yake.
Swala la Makamba kupaya au kukosa Uwaziri haina Tija kwa Watanzania zaidi ya Chuki binafsi tu na kuendelea kujazana ujinga.
Makamba yupo nyuma ya kila uzi unaouna humu jukwaani ukiushambulia Uzanzibari wa SSH, alitaka kumtisha ili afanye kazi kwa uoga na yeye aweze kuwa huru na kutanua zaidi.Anaweza asiwe na ushawishi ila anateam strong lazima ulijue hili pia
Akijibu nishtueWeka ushahidi siyo unachukua story zako kutoka PAROKIA YA MCHAMBA WIMA UNATULETEA HAPA JF,MARUFUKU..!!
Mara 100 biteko japo naona Biteko ndio PM ajaye..Wanabodi,
Baada ya team moja ya wasaka Urais iliyotumia muda mwingi kujiandaa kuangushwa ni dhahiri kabisa team hii haitakaa kimya kwani hata hivyo team hii pia kama zilivyo team zingine inamtandao mpana ndani na nje ya Tanzania naamini tunaufahamu.
Kitendo Cha team hii kuangushwa wataamini kabisa ni team kinzani ndio zimefanya uchochezi kwa Rais ili kuiangusha team yao hiyo iliyomteua Mhe January Makamba kama kinara wa team.
Pia soma: Uteuzi na Utenguzi: Nape, January na Byabato out! Jerry Silaa ahamishiwa Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari
Nikitazama ukwasi na ushawishi ilionao team hii ya kinara January Makamba nashawishika kuamini si Mwigulu, Biteko, Makonda, Tulia, Mwinyi, Mchengerwa, Jaffo, Bashe, Kikwete wala Majaliwa wataunusa Urais 2025 wala 2030.
Kuna ule usemi maarufu wa kiswahili unaosema "Ukimwaga Mboga Mimi na mwaga Ugali" tutarajie miangushano mikubwa kati ya sasa na 2030 kwani hizi team ni hakika na hii vita ni ukweli pia.
Baada ya mtifuano huu Rais wa 2030 atakuwa ni mtu mpya mwenye kuchukia kabisa Matendo ya Rushwa na Ufisadi na hayuko kwenye team yoyote kati ya hizo kwani Kila team haitakuwa tayari kuona ikifukuzwa kama sio kutoroka kabisa Tanzania baada ya team kinzani kushinda nafàsi hiyo.
Mungu ibariki Tanzania, Mungu mbariki Rais Samia.
Naona umekuja huku.. kwa new ID ukiendelea nitakutajaUshahidi upo wapi?
Una ushahidi wa hicho unachokiandka tukija kukuuliza?Makamba yupo nyuma ya kila uzi unaouna humu jukwaani ukiushambulia Uzanzibari wa SSH, alitaka kumtisha ili afanye kazi kwa uoga na yeye aweze kuwa huru na kutanua zaidi.
Mtetezi wa SSH ni kazi zake kwa wananchi na ameshatambua hilo na analiwekea msisitizo kila siku anayokuwa pale ikulu.
Bosi TRA si mzanzibari.Watu hawaoni, boss TRA -zenji
Gangs zipo mbili tu mkuu, hakuna zingine?Madelu Siyo sukuma gang, yupo msoga gang
Kinachokufanya uamini Samia hakurupuki ni kipi mkuu?Samia hakurupuki hayati JPM alikuwa anakurupuka. Ufisadi wa Makamba umekuwa ukifuatiliwa kwa muda mrefu michakato haikuanza jana wala juzi.
Amekuwa mtoto hadi aogope kutajwa?Naona umekuja huku.. kwa new ID ukiendelea nitakutaja