Naby Keita
JF-Expert Member
- Oct 20, 2011
- 12,893
- 20,089
Labda huko kwa wala vinono wenzie ila mtaani hapanaHapana January anaushawishi mkubwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Labda huko kwa wala vinono wenzie ila mtaani hapanaHapana January anaushawishi mkubwa
Hapo nimekuelewaNdio ushawishi wenyewe huo ndg yangu
Sawa sawa ndg yanguHapo nimekuelewa
Ya Mungu ni Mengi sanaMwanadamu unapanga kugombea nafasi ya uraisi na MUNGU anapanga uwe diwani, ni nani alijua mama SAMIA atakuja kuwa raisi?
Mtaani Makamba hata na Makonda anamgaragaza vibaya sanaLabda huko kwa wala vinono wenzie ila mtaani hapana
Kweli Jf ni great thinkersWanabodi,
Baada ya team moja ya wasaka Urais iliyotumia muda mwingi kujiandaa kuangushwa ni dhahiri kabisa team hii haitakaa kimya kwani hata hivyo team hii pia kama zilivyo team zingine inamtandao mpana ndani na nje ya Tanzania naamini tunaufahamu.
Kitendo Cha team hii kuangushwa wataamini kabisa ni team kinzani ndio zimefanya uchochezi kwa Rais ili kuiangusha team yao hiyo iliyomteua Mhe January Makamba kama kinara wa team.
Nikitazama ukwasi na ushawishi ilionao team hii ya kinara January Makamba nashawishika kuamini si Mwigulu, Biteko, Makonda, Tulia, Mwinyi, Mchengerwa, Jaffo, Bashe, Kikwete wala Majaliwa wataunusa Urais 2025 wala 2030.
Kuna ule usemi maarufu wa kiswahili unaosema "Ukimwaga Mboga Mimi na mwaga Ugali" tutarajie miangushano mikubwa kati ya sasa na 2030 kwani hizi team ni hakika na hii vita ni ukweli pia.
Baada ya mtifuano huu Rais wa 2030 atakuwa ni mtu mpya mwenye kuchukia kabisa Matendo ya Rushwa na Ufisadi na hayuko kwenye team yoyote kati ya hizo kwani Kila team haitakuwa tayari kuona ikifukuzwa kama sio kutoroka kabisa Tanzania baada ya team kinzani kushinda nafàsi hiyo.
Mungu ibariki Tanzania,
Mungu mbariki Rais Samia
Haiwezekani mkuuMtaani Makamba hata na Makonda anamgaragaza vibaya sana
Kitaani Makonda ana ushawishi kuliko Makamba hilo liko waziHaiwezekani mkuu
Nani huyo sio fisadi na smart?🤣🤣Watu kwasasa wanapenda mtu smart siyo fisadi, sioni ushawishi wa Makamba, angekuwa anajitambua angetumia vizuri fadhira anazopewa maana uwezo hana zaidi kubebwa tu.
Msoga hawawezi kumwacha adui yao aongoze nchi kwani wataishia magerezaniKitaani Makonda ana ushawishi kuliko Makamba hilo liko wazi
Kwa sasa sio ishu ya kumuacha,,kwa sasa kuna rimoti zingine zenye betri mpya,,,,,,bimkubwa alishawachoka msoga muda tu, ishu ilikua timing na backup ya kuwapunguzaMsoga hawawezi kumwacha adui yao aongoze nchi kwani wataishia magerezani
Ngoja tuone kama huko mbeleni itakuwaje ila msoga ni dude kubwa sanaKwa sasa sio ishu ya kumuacha,,kwa sasa kuna rimoti zingine zenye betri mpya,,,,,,bimkubwa alishawachoka msoga muda tu, ishu ilikua timing na backup ya kuwapunguza
Team strong si sababu ya zile pesa za kukwapua,,,hizo pesa zikauke hana kituAnaweza asiwe na ushawishi ila anateam strong lazima ulijue hili pia
Sijui kama ni kweli za kukwapua ila sasa zinakauka lini sasa,,🤣🤣Team strong si sababu ya zile pesa za kukwapua,,,hizo pesa zikauke hana kitu
Ushawíshi wake uko kwenu aliyewahinga tablet.Hapana January anaushawishi mkubwa
Wanaushawishi gani hao, huyo Nape kubinya Uhuru wa vyombo vya habari kuna mtafuna. Wote pamoja na Mwigulu wana taswira ya majivuno, ubabe na ulevi wa madaraka.Wanabodi,
Baada ya team moja ya wasaka Urais iliyotumia muda mwingi kujiandaa kuangushwa ni dhahiri kabisa team hii haitakaa kimya kwani hata hivyo team hii pia kama zilivyo team zingine inamtandao mpana ndani na nje ya Tanzania naamini tunaufahamu.
Kitendo Cha team hii kuangushwa wataamini kabisa ni team kinzani ndio zimefanya uchochezi kwa Rais ili kuiangusha team yao hiyo iliyomteua Mhe January Makamba kama kinara wa team.
Nikitazama ukwasi na ushawishi ilionao team hii ya kinara January Makamba nashawishika kuamini si Mwigulu, Biteko, Makonda, Tulia, Mwinyi, Mchengerwa, Jaffo, Bashe, Kikwete wala Majaliwa wataunusa Urais 2025 wala 2030.
Kuna ule usemi maarufu wa kiswahili unaosema "Ukimwaga Mboga Mimi na mwaga Ugali" tutarajie miangushano mikubwa kati ya sasa na 2030 kwani hizi team ni hakika na hii vita ni ukweli pia.
Baada ya mtifuano huu Rais wa 2030 atakuwa ni mtu mpya mwenye kuchukia kabisa Matendo ya Rushwa na Ufisadi na hayuko kwenye team yoyote kati ya hizo kwani Kila team haitakuwa tayari kuona ikifukuzwa kama sio kutoroka kabisa Tanzania baada ya team kinzani kushinda nafàsi hiyo.
Mungu ibariki Tanzania,
Mungu mbariki Rais Samia
Mkuu upigaji upo kila mahali kwa mwanaCCM yeyote yule bila kujali cheo chake na nafasi aliyo nayo serikalini. Kwa ufupi CCM wote ni ukoo wa panya.. ...babu mwizi, baba mwizi, mtoto mwizi, mjukuu mwizi, kitukuuu mwizi na kilembwe mwiziMakamba kwa miaka mingi anayo sifa ya upigaji. Samia kumpa uwaziri ni katika kulipa fadhila kwa kundi zima la Msoga. Hata huyo Nape kupewa uwaziri ni mwendelezo wa kumheshimu JK aliyemtoa Zanzibar na kumleta huku bara na kumpa cheo.
Kuna muda unafika hayo malipo ya fadhila yanapitwa na wakati na kupoteza nguvu na uhalali. Makamba anaweza kurudishwa baadae katika uwaziri lakini tayari analo doa la upigaji tena ule mkubwa.
Mkurugenzi mmoja wa mamlaka kubwa serikalini aliniambia kuhusu kuondolewa kwa Makamba karibu miezi saba iliyopita, lilikuwa ni suala la muda tu.
Joined Sunday. Siku ya tukio. Wewe utakuwa ndiye au wewe umetumwaWanabodi,
Baada ya team moja ya wasaka Urais iliyotumia muda mwingi kujiandaa kuangushwa ni dhahiri kabisa team hii haitakaa kimya kwani hata hivyo team hii pia kama zilivyo team zingine inamtandao mpana ndani na nje ya Tanzania naamini tunaufahamu.
Kitendo Cha team hii kuangushwa wataamini kabisa ni team kinzani ndio zimefanya uchochezi kwa Rais ili kuiangusha team yao hiyo iliyomteua Mhe January Makamba kama kinara wa team.
Nikitazama ukwasi na ushawishi ilionao team hii ya kinara January Makamba nashawishika kuamini si Mwigulu, Biteko, Makonda, Tulia, Mwinyi, Mchengerwa, Jaffo, Bashe, Kikwete wala Majaliwa wataunusa Urais 2025 wala 2030.
Kuna ule usemi maarufu wa kiswahili unaosema "Ukimwaga Mboga Mimi na mwaga Ugali" tutarajie miangushano mikubwa kati ya sasa na 2030 kwani hizi team ni hakika na hii vita ni ukweli pia.
Baada ya mtifuano huu Rais wa 2030 atakuwa ni mtu mpya mwenye kuchukia kabisa Matendo ya Rushwa na Ufisadi na hayuko kwenye team yoyote kati ya hizo kwani Kila team haitakuwa tayari kuona ikifukuzwa kama sio kutoroka kabisa Tanzania baada ya team kinzani kushinda nafàsi hiyo.
Mungu ibariki Tanzania,
Mungu mbariki Rais Samia