EvilSpirit
JF-Expert Member
- Jun 15, 2017
- 10,576
- 16,644
Nawe ulifanya utafiti gani kubaini ni maneno tuNani huyu
Ni maneno tu, kama yana ukweli achukue hatua! Haukuona taarifa rasmi bali maneno ya jukwaani
Haiwezekani mtu afike ngazi ya uwaziri halafu useme uraia wake una mashaka, hiyo nchi itakuwa haiko serious. Waziri anaingia kwenye baraza la mawaziri halafu asiwe raia BILA USHAHIDI NI POROJO TU
Jamaa una akili wew [emoji1666]Watu kwasasa wanapenda mtu smart siyo fisadi, sioni ushawishi wa Makamba, angekuwa anajitambua angetumia vizuri fadhira anazopewa maana uwezo hana zaidi kubebwa tu.
Sijui kama ni kweliWatu wa geti jeusi wanazo taarifa zote na walishampelekea Rais muda mrefu tu uliopita.
πππ chaujanja. Anajua kula na kipofu. Watu wakitahamaki yuuuule kwenye goli!Mwigulu yeye ni Rangi Mbili Msoga yupo Gang ya Magufuli yupo
Hapa kafurahisha wengi sana. Kwa kweli ameupiga mwingi sana.Rais anakuwa na malengo ya kitaifa siku zote anaitazama picha pana inayokuwa mbele yake. Hawajaandikiwa watu fulani na familia zao eti ndio wawe viongozi wetu wa kudumu na bahati mbaya tabia hiyo inapoota mizizi inaleta dharau kwa watu walio wengi.
SSH kanifurahisha kuwaondoa hawa mawaziri wawili wazoefu.
Sijui kwa nini! Yani watu wengi kufurahia haya inaleta maswali sana. Wanaishije na watu kwani? Kwa nini wachukiwe kiasi hiki?! DuhNape na Makamba hawapendwi,kama ni upigaji wanasiasa wengi tu wapigaji ila hawachukiwi kama hawa jamaa.
January katoa maboko makubwa kashindwa kazi aliyokabidhiwa.Sijui kama ni kweli
Siasa ni kazi ngumuKuna Ukweli fikiria Bashite ndio Rais team msoga watakuwa na hali gani?
Kazi gani?January katoa maboko makubwa kashindwa kazi aliyokabidhiwa.
Uwaziri mambo ya nje.Kazi gani?
πππππ, Bashite anaweza kukushawishi mkuu?Kitaani Makonda ana ushawishi kuliko Makamba hilo liko wazi
Kwenye chama kuwa pekee tayari. Bado kuwa pekee kwa ngazi ya vyama vyoteNdo ninacho kiona kwa sasa mkuu kile cha magu kinajirudia
Ni vita juu ya vitaKwenye chama kuwa pekee tayari. Bado kuwa pekee kwa ngazi ya vyama vyote
,π€£π€£π€£πππππ, Bashite anaweza kukushawishi mkuu?
π€£π€£π€£π€£
Ngoja tuoneUwaziri mambo ya nje.
Kama waziri hana kazi kwanini hicho cheo kisiondolewe abaki katibu mkuuWaziri kimsingi hana kazi mwenye kazi ni Katibu Mkuu
Msoga mnawakuza tu huenda ni team moja...mbona wanaidhulumu sana hii nchisana