Upo kwenye daladala kuna sehemu labda unaelekea katika mihangaiko yako ya kila siku, unapofika sehemu husika unashuka na kuanza kutembea, katikati ya safari yako ukiwa huna hili wala lile unashtuliwa na kofi moja zito la uso linalokupelekea kufumba macho, kabla huja kaa sawa inakuja ngumi ya uso halafu unasikia sauti ya anaekupiga ikisema "NILIKWAMBIA IPO SIKU NITAKUKAMATA TU" Ile kuinua sura unakutana na sura usiyoifaham kabisaaa! Halafu na yeye anashtuka baada ya kukuona kisha anakwambia "SAMAHANI NIMEKUFANANISHA" Je, ni uamuzi gani utauchukua???
Hahahha nimecheka halafu nikapata picha mimi ndio yamenikuta hayo, nitamwambia naomba na mimi nikufanananishe aiseee
Upo kwenye daladala kuna sehemu labda unaelekea katika mihangaiko yako ya kila siku, unapofika sehemu husika unashuka na kuanza kutembea, katikati ya safari yako ukiwa huna hili wala lile unashtuliwa na kofi moja zito la uso linalokupelekea kufumba macho, kabla huja kaa sawa inakuja ngumi ya uso halafu unasikia sauti ya anaekupiga ikisema "NILIKWAMBIA IPO SIKU NITAKUKAMATA TU" Ile kuinua sura unakutana na sura usiyoifaham kabisaaa! Halafu na yeye anashtuka baada ya kukuona kisha anakwambia "SAMAHANI NIMEKUFANANISHA" Je, ni uamuzi gani utauchukua???