Kama NEC iliyokaa kikao cha dharura imejadili suala la Bandari na DP World, nini kimefanya iwe dharura? Bandari ipo salama?

Kama NEC iliyokaa kikao cha dharura imejadili suala la Bandari na DP World, nini kimefanya iwe dharura? Bandari ipo salama?

Namkumbuka Ndugai pamoja na wehu wake wote nakumbuka kuna siku aliwahi kusema ipo siku tutapigwa mnada.
 
Maku ya maza wako kwa huu utumbo ulioandika
Huyo usimchukulie serious, ni kamanda mpambania HAKI mwenye nyota zake kabisa,

Anavaa uhusika tu, akiongea katika angle nyingine. Amebadili ID, aliitwa "Bei elekezi" before .
 
Kuna taarifa kwenye magazeti kwamba katika kikao cha dharura cha NEC hoja kuu ni mkataba wa bandari. Lakini nijuavyo mimi hii siyo dharura wala hoja yakujadili kwa masaa kadhaa ikafungwa au kutolewa maamuzi bali ni hoja inayohitaji muda wa kutosha.

Nini kimepelekea iwekwe kwenye kikao cha dharura? Je katika kikao hicho aliyeipeleka kwa Dhararu amelenga mema au mabaya? Kwa udharura huu tunaamini bandari itakuwa salama chini ya TPA au imekabidhiwa DP world na NEC?
CCM ni janga la taifa hapa Tanzania, sijawahi kuwaamini hata siku moja.....kidogo nilikuwa na imani nao chini ya Magufuli ila huko tuendako ajuaye ni Muumba tu.
 
Back
Top Bottom