Mpango mkakati huo wa chama tawala tuwe maskini ili watutawale, ndio kila kona figisu na wakiona sehemu kuna gape watu wameanza kulitumia kupata hela lazima watunge sheria kulidhibiti au wataleta figisu ya aina yoyote ili msifanikiwe na hii huwa wanaitumia sana kwenye mazaoTanzania kuna usumbufu sana yaani wanaonekana wapo kukwamisha watu wasipate bidhaa kutoka nje ya Nchi wakati wapo kwenye mlango wa Dunia mbaya sana kwa kweli...
Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app