Frank Wanjiru
JF-Expert Member
- Apr 12, 2012
- 22,719
- 40,739
Unajua English vizuri, wapi hayo magoli mengi ya Simba kumfunga Yanga?Ina maana Simba imeifunga Yanga magoli mengi kuliko timu nyingine yoyote hapa nchini [emoji16]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unajua English vizuri, wapi hayo magoli mengi ya Simba kumfunga Yanga?Ina maana Simba imeifunga Yanga magoli mengi kuliko timu nyingine yoyote hapa nchini [emoji16]
Hao ni mbumbumbu bin ngumbaruTakwimu unaisomaje? Yanga kaifunga Simba magoli 173 huku Simba wakiifunga Yanga magoli 154 hivyo Simba anadaiwa magoli 19 na Yanga.
Ndiyo hivyo inawezekana tukafugwa goli la offside refa akawapaNdio atafungwa weekend hii, Tanga tuliwafunga goli la halali kabisa refa akawabeba
AiseeVyovyote itavyokua Yanga atashinda hii game....
This time atakufa mtuNdiyo hivyo inawezekana tukafugwa goli la offside refa akawapa
Kweli hawakukosea kuwaiteni mbumbumbu FCIna maana Simba imeifunga Yanga magoli mengi kuliko timu nyingine yoyote hapa nchini [emoji16]
6-0,Unajua English vizuri, wapi hayo magoli mengi ya Simba kumfunga Yanga?
Takwimu unaisomaje? Yanga kaifunga Simba magoli 173 huku Simba wakiifunga Yanga magoli 154 hivyo Simba anadaiwa magoli 19 na Yanga.
6-0,Unajua English vizuri, wapi hayo magoli mengi ya Simba kumfunga Yanga?
Haya umeyawaza wewe pekee, sidhani mtu professional kama Gamond na benchi lote la ufundi wasijue haya.Ugumu wa hii game iko hivi, Yanga inaonekana ni bora kuliko Simba, lakini takwimu za Simba zinaibeba simba, Simba haijafungwa hata mechi moja toka Robertinho awe kocha wa Simba.
Ikumbumbikwe pia Simba imetuadhibu mara mbili, kwenye ligi na ngao ya Hisani, kwa rekodi hizi huenda simba wakaja more confidence than Yanga wakajikuta hawafanyi makosa mengi wakishinda hivi game.
Yanga hatuna rekodi nzuri za hivi karibuni, tunakuja tukiamini kikosi chetu ni bora kuliko cha simba, tukajikuta tunashindwa kuwaheshimu then tukaadhibiwa
Achana nae mbumbumbu huyo.Takwimu unaisomaje? Yanga kaifunga Simba magoli 173 huku Simba wakiifunga Yanga magoli 154 hivyo Simba anadaiwa magoli 19 na Yanga.
[emoji736][emoji736][emoji736]Nimetumia Astrology kuangalia nani atakuwa mshindi wa hiyo mechi na matokeo yamekuja Yanga Atashinda.
Anayebisha Tuweke Dau.
[emoji2772][emoji2772][emoji2772]Simba anashinda ..tunzeni hii comment
Mhhhh huna kazi???[emoji2772][emoji2772][emoji2772]
6-0,
5-0,
4-1,
4-1,
Hivyo ni vipigo vitakatifu ambavyo Yanga hana hiyo rekodi [emoji16]
Ikawaje tena boss[emoji2772][emoji2772]Mhhhh huna kazi???
Hii mechi ilikua tushinde ila basi tuu
[emoji3] [emoji3] [emoji196] [emoji196] [emoji196]
Watanzania sasa tupelekwe Gaza au Ukraine tufe wote, akili hatuna.Akili ya kipuuzi imetumika kuandika huu uzi.
Hawakupata ujumbe, wange press kuanzia juu mngeshinda. 😊Mechi ngumu Sana ila simba tukiwa press kuanzia juu tunashinda