Kama ni hivi sasa itakuwaje rekodi ya kipekee ya Simba

Kama ni hivi sasa itakuwaje rekodi ya kipekee ya Simba

aya basi weka mkono hivi[emoji2772][emoji2772][emoji23][emoji23][emoji23]
3331851919_a8a1429011_b.jpg
 
Ndo kama mnavyojua derby alieroga vzr ndo atashinda...huo ndo ukweli hakuna cha zaidi...watu wanajisemesha hapa hakuna uchawi sijui nini...wapiiiiiii
Kolowizawrd mpaka useme mechi ijayo mnakufa 10 bila
 
Ni kweli kaka.
Yanga watakuwa salama sana kama wataanza na Back 3
Baka.
Mwamnyeto na
Job

Ila ukianza na Back 3 either kati ya Yao au pakome mmoja awe benchi.

Inonga atapandisha sana mashambulizi na kurelax pale hakuna Mayele wa kumsumbua kuna ka mzinze tu.......
Chakushangaza pacome na yao wote walianza hahahaha nikisema wewe ni mwehu unabisha
 
Ni kweli kaka.
Yanga watakuwa salama sana kama wataanza na Back 3
Baka.
Mwamnyeto na
Job

Ila ukianza na Back 3 either kati ya Yao au pakome mmoja awe benchi.

Inonga atapandisha sana mashambulizi na kurelax pale hakuna Mayele wa kumsumbua kuna ka mzinze tu.......
Umeuona moto wa Mzinze?
 
Back
Top Bottom