Mpetde
JF-Expert Member
- Sep 5, 2022
- 3,955
- 6,546
aya basi weka mkono hivi[emoji2772][emoji2772][emoji23][emoji23][emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
aya basi weka mkono hivi[emoji2772][emoji2772][emoji23][emoji23][emoji23]
Hahahahhah jifanye sasa hunielewi... 🤣 🤣 🐸 🐸
Bado hujasema mpaka ushonwe mdomo huoNi bahati mbaya tuu...mpira uligeuzwa matokeo...fam mchezo nini kwa ule unga mloumwaga pale uwanjani...
😆😆😆😆 Kolowizard huyo anawaza unga tuKama unga unacheza Azam FC angekua bingwa
Kolowizawrd mpaka useme mechi ijayo mnakufa 10 bilaNdo kama mnavyojua derby alieroga vzr ndo atashinda...huo ndo ukweli hakuna cha zaidi...watu wanajisemesha hapa hakuna uchawi sijui nini...wapiiiiiii
Hayo ni marudio bwana...tushaweka sana...na 6 juu...aya basi weka mkono hivi[emoji2772][emoji2772][emoji23][emoji23][emoji23]
Kumi nini au kumi maandazi...UtopoooolooooKolowizawrd mpaka useme mechi ijayo mnakufa 10 bila
Kono la nyani limemuondoa RoberthinyoKumi nini au kumi maandazi...Utopooooloooo
Ww ndo utakua huyo nyuma hapo..Kono la nyani limemuondoa RoberthinyoView attachment 2806939
Nyuma wapi? Nyuma mwiko daima MbeleWw ndo utakua huyo nyuma hapo..
Ila hili kono kama mnaendana hivi hahaaaNyuma wapi? Nyuma mwiko daima MbeleView attachment 2806944
Pigwa Kono hadi mnafukuza Makocha 😆🤪Ila hili kono kama mnaendana hivi hahaaa
🐸 🐸 🐸 😊 😊 🐸 🐸 🐸 🐸Pigwa Kono hadi mnafukuza Makocha 😆🤪
TANO
Chakushangaza pacome na yao wote walianza hahahaha nikisema wewe ni mwehu unabishaNi kweli kaka.
Yanga watakuwa salama sana kama wataanza na Back 3
Baka.
Mwamnyeto na
Job
Ila ukianza na Back 3 either kati ya Yao au pakome mmoja awe benchi.
Inonga atapandisha sana mashambulizi na kurelax pale hakuna Mayele wa kumsumbua kuna ka mzinze tu.......
Umeuona moto wa Mzinze?Ni kweli kaka.
Yanga watakuwa salama sana kama wataanza na Back 3
Baka.
Mwamnyeto na
Job
Ila ukianza na Back 3 either kati ya Yao au pakome mmoja awe benchi.
Inonga atapandisha sana mashambulizi na kurelax pale hakuna Mayele wa kumsumbua kuna ka mzinze tu.......