future lawyer
JF-Expert Member
- Jan 28, 2020
- 419
- 423
Ni.eona comments kadhaa zikiashiria dharau kwa Mzize. Nami nafurahi sana ila mkae mkujua kichwani kwa Inonga na Malonya haipo ivyo hata kidogo. Anaweza kuwa na nafasi ndogo ya kuwasumbua mabeki wa Simba ila anaqeza kuwa ndio ufunguo wa ushindi wa Yanga.
Unabii umetimiaNi.eona comments kadhaa zikiashiria dharau kwa Mzize. Nami nafurahi sana ila mkae mkujua kichwani kwa Inonga na Malonya haipo ivyo hata kidogo. Anaweza kuwa na nafasi ndogo ya kuwasumbua mabeki wa Simba ila anaqeza kuwa ndio ufunguo wa ushindi wa Yanga.
Njoo uandike tena6-0,
5-0,
4-1,
4-1,
Hivyo ni vipigo vitakatifu ambavyo Yanga hana hiyo rekodi [emoji16]
Dah ,we kibokoNimetumia Astrology kuangalia nani atakuwa mshindi wa hiyo mechi na matokeo yamekuja Yanga Atashinda.
Anayebisha Tuweke Dau.
Hahaha,mmemalizanaje na mzee mwenzioTukutane baada ya mechi..!!
We Kalpana, embu njoo hapaSimba anashinda ..tunzeni hii comment
Huyo Kalpana kala konaHahaha,mmemalizanaje na mzee mwenzio
Hongera sanaNimetumia Astrology kuangalia nani atakuwa mshindi wa hiyo mechi na matokeo yamekuja Yanga Atashinda.
Anayebisha Tuweke Dau.
Ahaha dah hongera sanaNimetumia elimu yangu ya unajimu.. nimeogopa mimi kama mzee wa lunyasi, matokeo si rafiki siku hiyo, lazima tupamane kiume kweli kweli
Malaika wa misukosukoNimetumia Astrology kuangalia nani atakuwa mshindi wa hiyo mechi na matokeo yamekuja Yanga Atashinda.
Anayebisha Tuweke Dau.
Sisi malaika huku tulishaiona hii Game kwahyo Tulitoa taarifa mapema kabsa, Sem tu hatukutaka kuvujisha taarifa ya Hizo Fimbo Tano ambazo zingemuangukia Ajiitaye Mnyama@
Malaika wa misukosuko
Asante sanaHongera sana
Ahaha dah hongera sana
Kama unga unacheza Azam FC angekua bingwaNi bahati mbaya tuu...mpira uligeuzwa matokeo...fam mchezo nini kwa ule unga mloumwaga pale uwanjani...
Ndo kama mnavyojua derby alieroga vzr ndo atashinda...huo ndo ukweli hakuna cha zaidi...watu wanajisemesha hapa hakuna uchawi sijui nini...wapiiiiiiiIkawaje tena boss[emoji2772][emoji2772]
Hahahahhah jifanye sasa hunielewi... 🤣 🤣 🐸 🐸Kama unga unacheza Azam FC angekua bingwa
Badoo hunajema, yaani mpaka useme, yaani hapo badoo..!!Ni bahati mbaya tuu...mpira uligeuzwa matokeo...fam mchezo nini kwa ule unga mloumwaga pale uwanjani...
aya basi weka mkono hivi[emoji2772][emoji2772][emoji23][emoji23][emoji23]Hahahahhah jifanye sasa hunielewi... [emoji1787] [emoji1787] [emoji196] [emoji196]
Hahahahhah jifanye sasa hunielewi... 🤣 🤣 🐸 🐸