Mtoto wa Shule
JF-Expert Member
- Nov 16, 2014
- 15,133
- 11,914
Taarifa alitoa Rais!Comrade Kinana hakwenda India kutibiwa. Yeye alitumwa kwenye matibabu India. Na iliandikwa FENT FORD kabisa kwenye magazeti..ALITUMWA kwenye matibabu India
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Taarifa alitoa Rais!Comrade Kinana hakwenda India kutibiwa. Yeye alitumwa kwenye matibabu India. Na iliandikwa FENT FORD kabisa kwenye magazeti..ALITUMWA kwenye matibabu India
Kuna matatizo makubwa ya fikra miongoni mwetu watanzania. Wengine hatujitambui n.a. yuko busy kujaribu kuwaambukiza wengineMbona sioni tatizo lolote....
Mmeumbuka kwenye ndege na huyo mpiga picha wenu sasa mmeibuka na non issue kuhusu mzee Kinana....
Bado nacheka kuhusu mpiga picha Woody....😀