M Mtoto wa Shule JF-Expert Member Joined Nov 16, 2014 Posts 15,133 Reaction score 11,914 May 6, 2017 #181 ndyoko said: Comrade Kinana hakwenda India kutibiwa. Yeye alitumwa kwenye matibabu India. Na iliandikwa FENT FORD kabisa kwenye magazeti..ALITUMWA kwenye matibabu India Click to expand... Taarifa alitoa Rais!
ndyoko said: Comrade Kinana hakwenda India kutibiwa. Yeye alitumwa kwenye matibabu India. Na iliandikwa FENT FORD kabisa kwenye magazeti..ALITUMWA kwenye matibabu India Click to expand... Taarifa alitoa Rais!
Mavipunda JF-Expert Member Joined Jun 27, 2012 Posts 7,072 Reaction score 7,891 May 6, 2017 #182 kwani kinana ni muislam?
Ndahani Platinum Member Joined Jun 3, 2008 Posts 18,160 Reaction score 9,151 May 6, 2017 #183 Nyani Ngabu said: Mbona sioni tatizo lolote.... Mmeumbuka kwenye ndege na huyo mpiga picha wenu sasa mmeibuka na non issue kuhusu mzee Kinana.... Bado nacheka kuhusu mpiga picha Woody....😀 Click to expand... Kuna matatizo makubwa ya fikra miongoni mwetu watanzania. Wengine hatujitambui n.a. yuko busy kujaribu kuwaambukiza wengine
Nyani Ngabu said: Mbona sioni tatizo lolote.... Mmeumbuka kwenye ndege na huyo mpiga picha wenu sasa mmeibuka na non issue kuhusu mzee Kinana.... Bado nacheka kuhusu mpiga picha Woody....😀 Click to expand... Kuna matatizo makubwa ya fikra miongoni mwetu watanzania. Wengine hatujitambui n.a. yuko busy kujaribu kuwaambukiza wengine