Kama ni kweli hawa wasanii wanapelekwa Dubai kwa mission maalum Dubai Port, hakika inafikirisha!

Kuanguka ndiyo nini?

Sijakuelewa binti.
 
Wewe bwabwaj na uhororoje mpaka uzimie.


Unafahamu kuwa DP World wapo bandarini tayari?
 
Nilikuuliza ufanye reflection tuu lakini umejibu siyo shida. Shida ni majibu yako yanalalia ktk dini yako wakati swali linahusu mdtabali mzima wa bandari za Tanzania main land.
Hivi wewe mwenyewe siyo mpiga fitna kwa upande mmoja?
 
Msigwa huyo ndo anahandisi huu ujinga,kweli wametuona Watanganyika ni wajinga sana hadi wanatupelekea vilaza hawa ili watushawishi kuhusu DP.Hawa ambao hata mkataba hawajasoma.Hata kingereza hawajui.
 
Ila haya mambo mbona yanafanana na yale yale ya akina Mangungo? Hivi hatuoni kama tunadhalilishwa na watu wetu wenyewe?

Ukijiuliza hivi raia wa nchi zilizoendelea wanaweza kufanywa makatuni hivi na mataifa yao yakakubali?


God help us!
Uko sahihi kabisa
 
Nilikuuliza ufanye reflection tuu lakini umejibu siyo shida. Shida ni majibu yako yanalalia ktk dini yako wakati swali linahusu mdtabali mzima wa bandari za Tanzania main land.
Hivi wewe mwenyewe siyo mpiga fitna kwa upande mmoja?
Sana tena, nnafuraha Waarabu wako bandarini.

Wamesema kitu cha kwanza wanaweka Masjid mule ndani. Ma sha Allah.
 
Ila haya mambo mbona yanafanana na yale yale ya akina Mangungo? Hivi hatuoni kama tunadhalilishwa na watu wetu wenyewe?

Ukijiuliza hivi raia wa nchi zilizoendelea wanaweza kufanywa makatuni hivi na mataifa yao yakakubali?


God help us!
Nchi imefikia kwenye level nyingine hii. And God cannot help if the wananchi are fast asleep. Ila kwa upande mwingine naona ni kama uongozi wa juu unapigwa na maluweluwe mapka kufikia kufanya vitu vya kijinga kabisa! Inawezekana pengine ni new era inaanza kwa nchi yetu? Pengine.
 
Sasa Hawa hawana madhara yeyote,wao ni machawa TU,hizi propaganda zao,zinasikika kwa asilimia 20 tu ya watu,wengi waishio vijijini,hawajuhi hatq hiyo mitandao ya kijamii,
Na Hawa ni victim TU wa mfumo,huwezi kukuta mtoto wa Karume,Nyerere,makamba,au wajukuu zao wanatumika kama hv kupiga Domo kwa ajili ya wawekezaji.
Wajukuu wa mwinyi,Nyerere,Samia,warioba,SITA,Kinana,huwezi kuwakuta wanajiita chawa!kama Hawa mburukenge!!
Watoto na wajukuu wa wakubwa wapo ulayq,au kwenye makampuni makubwa,wanatayarishwa kuja kuitawala Dunia,sio Hawa kenge,wanapewa vipande thelathini vya pesa,wanatingisha makalio,
Ni WA kuonea huruma,
 
Kwahiyo hawa wananguvu ya kulikemea taifa lenye watu million 60 nakuwaaminisha hayo! Au ndio wanaliwakilisha taifa sasa!
Ingependeza wangechukua hata watoto wanaosomea sheria na uchumi!
 
Nafikiri huu ndio mwisho wa chama cha mapinduzi hawana nafasi tena ya kuendelea kutawala Tz. Tanzania ni kubwa kuliko fisiemu. 2025 tunawatoa madarakani
Tanzania ipii?? Labda sio hii ya muasisi Nyerere.
 

Hando zembwela na kitenge nao wako huko tangu juzi wanakula maisha tuu
 
kuuza nchi sio jambo halali, bibi kauza bandari....

kama anawapenda sana waarabu akauze kule kwao mchamba wima!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…