Mabikra 72 ni anasa kama anasa zingine, zinaa kuu..uko itakua ni mbingu ya ufuska..utumwa wa ngono.Ndo maana hawa jamaa wanafanyaga kuua tu bila kukoma, kwao ni maagizo.
Alafu ile ya mabikra 72 mbona haipo au maimam huwa wanatufunga kamba tu ili tutangulie tu ile kwetu
ungetuwekea hivo vifungu vinasemaje,ingekuwa boraView attachment 3067658
Amkeni wanangu, tunachofanya ni kufaidisha kwa kuenzi misingi ya watu waliokuwa nayo kutokana na imani na mtazamo waliokuwa nao.
Uko wapi mtazamo wako, ni kipi unachoamini?
Yani chuki za mtu binafsi ndio uzienzi na wewe hadi hii leo karne ya 21.
Mfia dini au mfia duni.
Kisichowezekana kwa binadamu kwa Mungu kinawezekana..kataaaaa sasa!Tafakari kila mwanaume akipewa bikra 72..atawatimizaje mahitaji yake. Hii ni uwongo
Mimi nina Quran nyumbani kwangu mwaka wa kumi huu. Ninaisoma ninavyotaka. Sijawahi kuyaona hayo majini.ungetuwekea hivo vifungu vinasemaje,ingekuwa bora
maana wengine hicho kitabu tunakiogopa, tunaogopa majini
Najua umeweka kishabiki ila kama ni hukumu hujui ufanyalo , jaribu kusoma sio rahisi maana hizo ayah zipo miaka kibao wanaosambaza kama wewe ila hamna kitu kwa sababu ni urongo na kukosa maarifa .
Naochokuambia leo usipate tabu , ingia kweny mfumo wa AI kama chagpt au google Gemini , halafu uliza hayo maswali .
Usikurupuke waislamu wanasoma kila kitu kweny Qur an kwamba wakubali ayah zeny chuki kiasi hico!? π
tuandikie vinasemaje hivo vifungu mkuuMimi nina Quran nyumbani kwangu mwaka wa kumi huu. Ninaisoma ninavyotaka. Sijawahi kuyaona hayo majini.
Aya zako zote umetunga na hao mashetani wenzako kwa ajili ya chuki zenu, mungu mwingi wa haki humlipa kila mtu kwa anachofanya apunguzi wala haongezi, tunamuachia mungu atakulipa unachostahili wewe na kizazi chako kwa kueneza uongoView attachment 3067658
Amkeni wanangu, tunachofanya ni kufaidisha kwa kuenzi misingi ya watu waliokuwa nayo kutokana na imani na mtazamo waliokuwa nao.
Uko wapi mtazamo wako, ni kipi unachoamini?
Yani chuki za mtu binafsi ndio uzienzi na wewe hadi hii leo karne ya 21.
Mfia dini au mfia duni.
Kwa hiyo akifanya mtu ndio uislamu ? Ndio mnaposhindwa kujua mshambulie wapi , mnaangalia mtu mmoja mmoja ..Wale viongozi wa dini wanaofanya miujuzi , kufanya mambo ya ovyo bado huwezi kuichafua dini husika ni mtu binafsi .