Kama ni kweli, ni picha gani unapata hapa??

Si umeona sasa nilikwambia jana kuna hata wazee hovyo umemuona huyu sasa?? Nilkwambia mapemaaaa baki tu huyo sharobaro wako

Mwambie maana asifikirie kila mzee anafaa kuwa wa maana
Wengine ndo hao kula kulala
Unajikuta kila kitu anakutegemea wewe
 
Mwambie maana asifikirie kila mzee anafaa kuwa wa maana
Wengine ndo hao kula kulala
Unajikuta kila kitu anakutegemea wewe
mmmh wewe ujana wake ale na nani mimi nije kumlisha uzeeni afie mbele huko
 
mbona hajaweka wazi matumizi ya nyumba gani mimi nashaka kuwa sio nyumba yake inawezekana kwa familia ya mkewe vipi adai gharama za nyumba yake? na kama ni hivyo inawezekana huyo mdada aliwahi olewa anawatoto lakini ndo anaishi nae kiaina
 
ndo wanaume wa siku hizi. Wanalelewa. Wananunuliwa mpaka nguo za ndani. Wapo ambao hawajui hata ada ya watoto inatoka wapi!

Wakati mwingine kina dada wanakosea kuendana na wanaume kwani pindi ukianza lipa bills na kadhalika yeye atajikausha na kufanya liwe jukumu lako...vitu vingine ni kuendekeza tu ndio maana vinakua na mwisho vyaleta taabu....

Vin Diesel acha tu kaka yangu but nasema pia kuna wanawake wana bahati! Jamani.

My sisy...heri yake yule atakaepata mume bora...ukilamba garasa utaishia kuwa philosopher....
 

Mwanaume lazima uwe na msimamo.
Nitajuaje huyo Suzzy alipitiwa na usingizi? Kama ndo hivyo basi tuwe tunajuliana khali ijumaa basi
 
Yani kuna watu wengine ndoa zao utadhani walilazimishana!
 

Peleka kwenye magazeti ya UDAKU
 

Ajabu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…