Dena Amsi
R I P
- Aug 17, 2010
- 13,080
- 4,273
ahaa sis pamoja na usharo wake huu ukatili hana bwana khaaaa
Si umeona sasa nilikwambia jana kuna hata wazee hovyo umemuona huyu sasa?? Nilkwambia mapemaaaa baki tu huyo sharobaro wako
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ahaa sis pamoja na usharo wake huu ukatili hana bwana khaaaa
Kuna wanaume wengine wanatuaibisha sana....
Hatuchakachui bana tunasalimiana tu usijali kuchakachua sio JF Rule
Si umeona sasa nilikwambia jana kuna hata wazee hovyo umemuona huyu sasa?? Nilkwambia mapemaaaa baki tu huyo sharobaro wako
mmmh ila masharo wanaudhi ila huyu mzee mwenzetu kazidiSi umeona sasa nilikwambia jana kuna hata wazee hovyo umemuona huyu sasa?? Nilkwambia mapemaaaa baki tu huyo sharobaro wako
mmmh wewe ujana wake ale na nani mimi nije kumlisha uzeeni afie mbele hukoMwambie maana asifikirie kila mzee anafaa kuwa wa maana
Wengine ndo hao kula kulala
Unajikuta kila kitu anakutegemea wewe
mmmh wewe ujana wake ale na nani mimi nije kumlisha uzeeni afie mbele huko
Mwambie maana asifikirie kila mzee anafaa kuwa wa maana
Wengine ndo hao kula kulala
Unajikuta kila kitu anakutegemea wewe
mmmh ila masharo wanaudhi ila huyu mzee mwenzetu kazidi
Angalia tuu wasije wakatuundia siredi wachakachuaji wa JF ni DA na MR
ndo wanaume wa siku hizi. Wanalelewa. Wananunuliwa mpaka nguo za ndani. Wapo ambao hawajui hata ada ya watoto inatoka wapi!
Vin Diesel acha tu kaka yangu but nasema pia kuna wanawake wana bahati! Jamani.
Khaaa!!! Huyu mwanaume kiboko sasa anamuandika email mke wake yenye hayo maneno ina maana mke wake amekuwa secretary siku hizi, halafu kudai hela uliyolipa umeme urudishiwe hii nayo kali sasa kama wana watoto si ajabu akilipa ada ya mtoto atadai mke wake pia amrudishie hela pia, ngoja niendelee kutafakari maana kuna ndoa zingine zina viroja kama sio vioja
linakusanya na bill eti ahahaaaaUmeona eehhh jitu zima kula kulala tu hata haya halina ha ha ha eehhh
wajameni dunia haiishi vituko hii
He he he kuna SL na Rejao sijui wako wapi wangekuwa washaichakachua mpaka basi
Dears,
Wakati MJ1 mie naomboleza na ya kwangu, leo asubuhi nakutana na simu ya rafiki yangu ambaye alikuwa analia simuni kiasi cha kumwomba anisms tatizo ni nini. Akaamua kuniandikia mail ya kilichomsibu;
Yeye na Mr wake wanaishi mbalimbali kutokana na kutafuta maisha. Dada Suzzy (Si jina lake halisi) anaishi nje ya nchi lakini within EAC na mumewe anaishi nchini.
Juzi jumapili Da Suzzy anasema kapigiwa simu na shemeji lakini kwa bahati mbaya alikuwa amejipumzisha hakuisikia (ilikuwa ni jioni kwenye saa kumi na mbili jioni). Lakini alipoamka na kukuta missed call, akataka kucall back, only to realize kuwa hana credit kwenye simu na huko anakokaa ni mbali na maduka. So hakuweza kupiga but akajihimu alfajiri kwenda mjini kununua voucher akampigia shemeji hakupokea, akatuma sms ya kuomba radhi ya kushindwa kuwasiliana hakupata majibu. Lakini baada ya masaa mawili, akiwa kazini akakutana na e-mail ilotoka kwa Mr wake ikisema-
kuanzia muda sasa hatokuwa anapokea simu za mkewe hovyo, na muda alioamua ni fridays mchana na mwisho saa nne tu.
Da Suzzy anasema amechanganyikiwa, hajui la kufanya maana anajiona kama anatumika tu kwani kwa muda wamekuwa na matatizo na Mr wake (Haya sikuwa nayajua hadi leo). Anasema mumewe kwa sasa anamdai pesa ambazo amezitumia kwa kulipia matumizi ya nyumbani huku TZ kama maji na umeme, Mama ni among ya wale ambao wanatake care kila kitu ndani ya familia, mf. matengenezo/insurances za gari la familia, chakula cha familia n.k.
Silaumu lakini ninayo mawazo juu ya hili, ila kabla sijamweleza lolote ninaomba tusaidiane, maana ninaweza kuwa ninachokifikiria sicho.
Peleka kwenye magazeti ya UDAKU
unaachosema ni kweli, wanawake wanayalea haya. Usikute toka wanaanza mahusiano mwanamke ndo analipa, labda kwa ujinga wa kudhania ndo anabembelezea ndoa wakifikiri kwenye ndoa watabadilika. Mwisho wa siku wanabeba mzigo wote wenyewe.
Hivi kwa nini umuhonge mwanaume? Kwa nini uwe na mwanaume asiyetambua wajibu wake?
linakusanya na bill eti ahahaaaa