Njemba Soro.
JF-Expert Member
- Oct 5, 2013
- 3,732
- 6,561
Nikajuwa niko peke yangu mwenye hayo mawazo!Wasilogwe wamuache Sakho..... SITAIFANYIA CHOCHOTE SIMBA.. Banda hamna kitu, Duncan Nyoni hamna kitu, Wawa na Kagere umri umeenda..... SAKHO AKIACHWA SIFUATILII SIMBA TENA..... cha mwisho itakuwa hiyo hela niliyochangia ujenzi wa uwanja.
Agiza K Vant nakujaNaunga hoja sakho na Banda wale Ni hazina kwa Simba ,hata wanaosema atemwe Banda hawana jicho la mbali ,hao wote wawil Ni talented pia umri wao unaruhusu Sana ,wapewe muda wa kutosha watatusaidia mbelen , hata Duncan sio mchezaj wa kuachwa kizembe.
Wakutemwa hapa Ni Hawa
Wawa
Kagere
Hawa Ni kimataifa .
Kibongo bongo wakutemwa Ni
Bocco
Nyoni
Gadiel
Kakolanya
Hao ndio hawana msaada kwa Simba ya Sasa yenye malengo ya kimataifa ,wengine wote wako fresh kabisa isipokua Kibu apewe program maalum kumfanyia councelling apunguze pupa akipata mpira awe mtulivu ,hii program imhusu na Mugalu pia.
Bench la ufundi toa yule Mrundi Hitmana maana anakula pesa ya bure tu pale msimbazi.
Wahamasishaji toa Mwijaku Tena akae mbali na Simba kabisa.
Msemaji wa Timu atafutwe mwenye Busara Simba ya Sasa sio ya kuwa na msemaji dizain ya manara ,mchukueni hata Masaubwire yule bro Ana busara Sana .
Upande wa viongoz ,Mangungu apewe semina ya Nini maana ya kiongoz mkubwa kwenye club kubwa Kama Simba ,apunguze kuharisha hovyo hovyo mbele ya kamera pia aache habar za kuwawazia wapinzan pind anapofafanua Jambo.
Kwa Leo Ni hayo tu
Hujui mpira! Period!Ousmane Sakho ni takataka tu hakuna mchezaji hapo, kiufupi sajili zote za Simba msimu huu ni magarasa tupu
Duuuh alafu wakiondoka hao ndio nn Sasa au unataka kuwavuruga Wana Simba ,hao ndio injin za Simba Wana msaada mkubwa sanaMorison,Banda na bwalya mm naona ndio Vimeo.
Poti wangu Mshauri Mkuu wa Mwekezaji Crescetius Magori huwa ananisoma mno kama si sana tu hapa JamiiForums hivyo naamini atakuwa ameshanisoma na kufuata huu Ushauri wangu.Genta nunakuunga mkono.
Simba wasifanye makosa ya kumtema Sakho.
Viongozi kama wapo mnaopitia mada za humu, wekeni akilini juu ya mada hii na kuifanyia kazi.
GENTAMYCINE sijawahi Kukosea nikimpenda na Kumkubali Mtu kwani nina Jicho la Uhakika na la Kuona mbali pamoja na Ubora wa Mtu / Kitu.
Simba SC koseeni kote ila msithubutu Kumuacha ( Kumtema ) Mchezaji Raia wa Senegal Ousmane Papi Sakho kwani mtakuja Kujuta na Kunikumbuka hadi Kumkubuka na Yeye pia.
Sakho ni Mshambuliaji na Winga aliyekamilika karibia 90% ya Mtu ambaye Simba SC inamuhitaji ila tu Majeruhi na 'Miba' anayopigwa na Wachezaji Wawili Wazawa ndiyo vinamtesa na Kumkwamisha kutupa kile ambacho Wadau na 'Scouts' tulikiona Kwake.
Chonde Chonde Uongozi wangu wa Simba SC msimteme ( msimuache ) huyu Sakho bali mpeni mwaka Mmoja zaidi wa kuwa nae na naamini mtakuja kunipigia 'Salute' GENTAMYCINE hapa JamiiForums.
Huyu Sakho ni zaidi ya Jose Luis Miquissone ndiyo maana hata wakati anakuja Simba SC 'African Football Pundits' wengi waliipongeza Simba SC kwa Kumsajili kwani tayari alikuwa njiani kuelekea nchini Ufaransa kusajiliwa na moja ya Vilabu Shindani katika Ligi Daraja la Pili huko.
Ninasisitiza Ousmane Sakho asiachwe!!!
Sijui kwanini Yanga tusimbebe uyu Chikwende, jamaa anajua kweli kweli huyu.Simba inapata wachezaji wazuri alafu wanawaweka benchi au kuwaacha.
Ibrahim Amme.
Kahata.
Shiboob"Zizou".
Fraga.
Abdullswamad.
Chikwende.
Sakho.
Simba inakosa utulivu kwa wachezaji wa kubaki na wakuacha.
GENTAMYCINE sijawahi Kukosea nikimpenda na Kumkubali Mtu kwani nina Jicho la Uhakika na la Kuona mbali pamoja na Ubora wa Mtu / Kitu.
Simba SC koseeni kote ila msithubutu Kumuacha ( Kumtema ) Mchezaji Raia wa Senegal Ousmane Papi Sakho kwani mtakuja Kujuta na Kunikumbuka hadi Kumkubuka na Yeye pia.
Sakho ni Mshambuliaji na Winga aliyekamilika karibia 90% ya Mtu ambaye Simba SC inamuhitaji ila tu Majeruhi na 'Miba' anayopigwa na Wachezaji Wawili Wazawa ndiyo vinamtesa na Kumkwamisha kutupa kile ambacho Wadau na 'Scouts' tulikiona Kwake.
Chonde Chonde Uongozi wangu wa Simba SC msimteme ( msimuache ) huyu Sakho bali mpeni mwaka Mmoja zaidi wa kuwa nae na naamini mtakuja kunipigia 'Salute' GENTAMYCINE hapa JamiiForums.
Huyu Sakho ni zaidi ya Jose Luis Miquissone ndiyo maana hata wakati anakuja Simba SC 'African Football Pundits' wengi waliipongeza Simba SC kwa Kumsajili kwani tayari alikuwa njiani kuelekea nchini Ufaransa kusajiliwa na moja ya Vilabu Shindani katika Ligi Daraja la Pili huko.
Ninasisitiza Ousmane Sakho asiachwe!!!
Uwa unaangalia mechi.au ndo unacomment tuOusmane Sakho ni takataka tu hakuna mchezaji hapo, kiufupi sajili zote za Simba msimu huu ni magarasa tupu