Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Banda ana kitu... anatakiwa afanye mazoezi ya kuongeza nguvu tuAtemwe Banda au Nyoni ila siyo Sakho. Mtakuja Kunikumbuka kwani Sakho ni Complete Footballer na atatufaa Ndani na Kimataifa.
Kweli! kweli! hapa nimekumbuka Kahabuka tumeenda kupiga game na Enyimba kwao.Jamaa kabla ya mechi alikuwa anapambwa kinoma sema sasa tulipoingia uwanjani mambo yalikuwa tofauti licha ya kwamba game ile tulicheza nadhani mvua ilikuwa imenyesha.Tatizo kassim dewji hana weledi wa kusajili, akiwa katibu mkuu simba alidanganya ramadhan wasso kapata timu ubelgiji kumbe kaishia airport kamuuza yanga. Baada ya kuwatoa zamalek na kuingia makundi alimsajili clement kahabuka toka uarabuni ambaye akiwa uwanjani anaishia kuanguka na hakuna cha maana alichoongeza.
Simba na wagana yanga na wakongomanMliuza mabasi na mmesajiri magarasa sasa mnataka kuyaacha.
Wenzenu yanga wamemchukua wonder kid Denis nkane kweli yanga wako juu
Sihitaji Kuheshimiwa na Wewe, hujui Mpira na tafadhali acha Kunipotezea muda sawa?Nakuheshimu brother,ila kumuheshimu mwalimu ni kitu kizuri.
Hizo imani za miba sijui nini,hazina ushahidi.
Kwa nini Luis na Chama hawakupigwa miba?
Sifurahishwi na upotoshaji mkubwa unaofanywa na watu wa mitandao kutoa sifa za kijinga kwa wachezaji kama vile Banda,Sakho n.k.
Tumwache mwalimu afanye kazi yake
Hivi Kiswahili fasaha ni 'Mmesajiri' au ni 'Mmesajili' Mkuu? Natamani uwe Mwalimu wangu wa Lugha hi adhimu kabisa ya Kiswahili.Mliuza mabasi na mmesajiri magarasa sasa mnataka kuyaacha.
Wenzenu yanga wamemchukua wonder kid Denis nkane kweli yanga wako juu
Hadi leo sijui kwanini Simba SC ilimuacha.Sijui kwanini Yanga tusimbebe uyu Chikwende, jamaa anajua kweli kweli huyu.
Mbona hata Mama yako Mzazi ananifahamu na wala hulishangai hilo Mpuuzi ( Hopeless ) Mkubwa Wewe?
Unategemea 'Nut' kama huyo ajue Soka?Uwa unaangalia mechi.au ndo unacomment tu
Tulirogwa Akili na Viongozi wetu kipindi hicho Mkuu ila baada ya Akili zetu Timamu kuturejea tumegundua kuwa tulilishwa tu Matango Pori na Kuyashiba.Hawa wakina Nyoni na Banda si mlisema mmelamba dume? [emoji1787][emoji1787]
Jina yanga logo simbaWageni wa kuachwa
Morrison
Wawa
Mugalu
Kagere
Wazawa wa kuachwa
Erasto Nyoni
Bocco
Ajibu
Dilunga
Mzamiru
Kibu
Kennedy
Mkude
Gadiel
Kakolanya
Niujinga kujitia umuch know mwingiiii ili kuimpress watu ambao hamjawai atakuwaona. Mara usalama wataifa mara mtoto wamjini kutukana watu Jus anything for cloutMbona hata Mama yako Mzazi ananifahamu na wala hulishangai hilo Mpuuzi ( Hopeless ) Mkubwa Wewe?
wonderkid 😂 jana kabwana na watoto wa tanga hata sijaona alichokifanya uwanjaniMliuza mabasi na mmesajiri magarasa sasa mnataka kuyaacha.
Wenzenu yanga wamemchukua wonder kid Denis nkane kweli yanga wako juu
Acha kunipotezea muda Pumbavu Wewe sawa? Leta hapa Ushahidi wa post yangu yoyote au Uzi wangu wowote ambao GENTAMYCINE nilijinasibu kuwa ni TISS AGENT ( USALAMA WA TAIFA ) ili wanikamate upesi sana kwa 'impersonation case' sawa?Niujinga kujitia umuch know mwingiiii ili kuimpress watu ambao hamjawai atakuwaona. Mara usalama wataifa mara mtoto wamjini kutukana watu Jus anything for clout
Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app