Chizi Maarifa
JF-Expert Member
- Jul 29, 2013
- 10,931
- 24,816
Bado hamjasemaHili tatizo nadhani tunalo muda mrefu. La uswahili, kijicho, wivu na uzumbukuku wa baadhi ya watu. Kama anayosema huyu Prof ni kweli sisi Yanga ni watu wa ajabu sana.
Lazima watu watakuwa wanatucheka, wanatushangaa sana. Msikilize mwenyewe ingawa kaongea kwa lugha ya Kikristo.
View attachment 2766631
We umezaliwa lini?Kumbe mwaka 1995 Yanga walikuwa wana raisi?
Hata wao hawakupendi na hawahitaji uwapendeWe umezaliwa lini?
Humjui Gulamali?
Hata hivyo kwa yanga wanategemea sana mambo ya fitna ndiyo maana siwapendi.
Ulikuwa shahawa wakati simba wanawapokea wapinzani wa yanga?Na ile Tabia ya Kuwapokea Wageni naona Imepotea.....! Yanga walikuwa Wanatùtia Aibu Kweli Kweli..!
Nikikumbuka wanasimba walipokuwa wanaibeza Yanga kuwa hawajui kufanya fitina kimataifa nabaki nashangaa na hii kauli yako ya sasa.We umezaliwa lini?
Humjui Gulamali?
Hata hivyo kwa yanga wanategemea sana mambo ya fitna ndiyo maana siwapendi.
NA badoHili tatizo nadhani tunalo muda mrefu. La uswahili, kijicho, wivu na uzumbukuku wa baadhi ya watu. Kama anayosema huyu Prof ni kweli sisi Yanga ni watu wa ajabu sana.
Lazima watu watakuwa wanatucheka, wanatushangaa sana. Msikilize mwenyewe ingawa kaongea kwa lugha ya Kikristo.
View attachment 2766631