Kama ningekuwa na simu…………………

sasa hivi kila kijana amekaa na machale, na kumpa tu zawadi mpenzi anaogopa kuonekana buzi hata kama anayo nafasi ya kumspoil mwanamke wake na mapochopocho, kazi mnayo shosti
yaaani we acha tu.....mi hata siko huko kwenye kuchuna.....kijiji nilicho nkikaa vibaya nachunwa mie hahahahaaha!
 
Kama ukihitaji mzigo anakulete sidhani kama kuna haja ya kuwasiliana nae mara kwa mara.
 
cha maana hapa ni kanunua simu kampa demu walipoachana kampokonya
 

Longa mwanakwetu.....................
 
na ukinunua simu itakuja ya 'kama ningekua na bb,tungeweza kuchat fb bila gharama'
ila mkinunuliwa nyie mnaona sawa tu!mkinunulia mwanamke mmechunwa?
 
na ukinunua simu itakuja ya 'kama ningekua na bb,tungeweza kuchat fb bila gharama'
ila mkinunuliwa nyie mnaona sawa tu!mkinunulia mwanamke mmechunwa?

ha ha ha ha aaaaa............ hayo ya BB yameniacha hoi
 
Kama ukihitaji mzigo anakulete sidhani kama kuna haja ya kuwasiliana nae mara kwa mara.

we unadhan starehe ni kupeana mzigo tu!...ulifikaje uzee we mtu
 
Inaelezwa kwamba wanawake wa mjini ambao hawana simu, wanapoanzisha uhusiano na mwanaume ambaye ana simu, kauli ya, ‘kama ningekuwa na simu ingekuwa vizuri sana,' hujitokeza.

kama shida ni mawasiliano tu mtafutie fasta kitu cha promosheni hakizidi elfu 20
 
na ukinunua simu itakuja ya 'kama ningekua na bb,tungeweza kuchat fb bila gharama'
ila mkinunuliwa nyie mnaona sawa tu!mkinunulia mwanamke mmechunwa?

hahahaha! Ukishanunuliwa bb utaanza nikipata kivitz tutakuwa tunaonana kila siku. Lol!
Kifupi mahitaji hayaishi.
 
sasa je? kitu cha blackberry kinaboresha mapenzi banaa. unachat na kapicha ka mupenzi kana-pop up unacheka mwenyewe. simu ya tochi hainogi ujue!
ha ha ha ha aaaaa............ hayo ya BB yameniacha hoi

mkwe, umeona eeh? daladala za huku kwetu mabondeni zinaisha saa kumi na mbili. bora aninunulie ka-baby walker. na nikikapata inakuja 'baby,kavitz ukikajaza mafuta full tank unajua ntakuwa free kuzunguka nakuja kuku-kiss gnite ndo naenda home'
baada ya vitz kiwanja baharini .... hadi abaki mfupa!
hahahaha! Ukishanunuliwa bb utaanza nikipata kivitz tutakuwa tunaonana kila siku. Lol!
Kifupi mahitaji hayaishi.
 
sweetlady,chuna hiyo jamaa hadi ibaki skin tite! tumedhalilishwa vya kutosha,teh teh
afu mkwe,mbona mwanangu humchuni jamani?
kuna mtu kani PM umemchuna hadi amebaki na pensi nyanya tu.
 
umenikumbusha machungu

nilimnunulia mtu blackberry
sina hamu.......

mwanamke akisema sina simu,mwambie tu ukinunua tutawasiliana lol

The Boss wewe ni kifaa. Sasa huyo wa pili akisema umnunulie simu mwambie nakwend
a kumnyang'anya niliyemnunulia blackberry nitarudi baadae. moto wako.
 
Raha ya watu kama hao ni hii hapa, amenunua bb au tochi we kona yako!! umegharimia kwani? Ila sasa ili asikusumbue mara nimenunua tochi umeingia mitini, anza kubeep akipga tu mwambie naomba hela ya matumizi unajua etc. kesho yake beep tena mwambie atume voucher walau ya tsh. 5000.

Wanaume hawapendi kuombwa, hako ka simu ka tochi utakutumia vizuri bila masimango. Na jamaa atajuta kukupata na mchezo umeisha.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…