Loading failed
JF-Expert Member
- Sep 14, 2023
- 2,603
- 7,501
- Thread starter
-
- #181
Kuna wadau huku wanasema nasisi tutabadilika mamilioni ya miaka ijayo huko sasa najiuliza tukibadilika kutoka binadamu kama tulivyoaminishwa tulikua masokwe tutakua viumbe wa aina gani tena?Hahahaaaa
Na wewe lini utakua sokwe?
Kubali ulikuwa nyani, tena watu weusi bado Evolution haijakamilika...Nyani wasasa hawabadiliki kwasababu ya kimazingiraNdugu zangu.
1: Tukiachana na maswala ya kidini, historia inatuambia binadamu wa kwanza alikua ni nyani / sokwe /chipanze, sasa kama kweli binadamu tulikua ni manyani ni kwanini nyani / sokwe tunaowaona sasa hivi hawabadiliki kua binadamu na wala hawakatiki tena mikia na kua na mwili na utashi wa binadamu kama historia ilivyokua huko awali?
2: Je, kama kweli tulikua nyani na tukabadilika kua binadamu ni kwanini sahivi haiwezekani tena binadamu kubadikika na kurudia kua nyani kama wanasayansi wanavyodai?
wewe umeshaishi mpaka future?Hii ndio sababu inayoifanya ''Darwin's law of evolution'' kuwa incompetent na pia ''total nonsense''
unapozungumzia kidogokidogo tunamaanisha miaka milioni 100 badiliko moja, milioni 100 badiliko lingine.... hivyohivyo! it's a slow processKama nyani wa sasa wanabadilika kidogo kidogo kua kama binadamu ni kwanini basi na sisi binadamu tusibadilike kidogo kidogo kua nyani ?
Humanoids - Robot like humanKuna wadau huku wanasema nasisi tutabadilika mamilioni ya miaka ijayo huko sasa najiuliza tukibadilika kutoka binadamu kama tulivyoaminishwa tulikua masokwe tutakua viumbe wa aina gani tena?
Siku.Kama tulifikia miaka 730M kwanini sahivi tupo 2024 . Ule mwaka wa kwanza (1) halali ni upi na kwanini walipunguza miaka?
Kwani nyani wa sasa wamefikisha miaka milioniNdugu zangu.
1: Tukiachana na maswala ya kidini, historia inatuambia binadamu wa kwanza alikua ni nyani / sokwe /chipanze, sasa kama kweli binadamu tulikua ni manyani ni kwanini nyani / sokwe tunaowaona sasa hivi hawabadiliki kua binadamu na wala hawakatiki tena mikia na kua na mwili na utashi wa binadamu kama historia ilivyokua huko awali?
2: Je, kama kweli tulikua nyani na tukabadilika kua binadamu ni kwanini sahivi haiwezekani tena binadamu kubadikika na kurudia kua nyani kama wanasayansi wanavyodai?
Kuna uwezekano watu hawatakula nyama na watashangaa kuwa mababu zao walikuwa wanaua wanyama na kuwala.Humanoids - Robot like human
Ingawa binadamu ana undugu mkubwa wa kibiolojia na sokwe na viumbe vingine, ustawi wake hauna mfano, kiasi cha kufanya wengi waamini kwamba tofauti iliyopo inadai kuelezwa kwa uwemo wa roho ndani ya mwili wake; roho ambayo dini hizo zinasadiki imetiwa na Mungu moja kwa moja.Kubali ulikuwa nyani, tena watu weusi bado Evolution haijakamilika...Nyani wasasa hawabadiliki kwasababu ya kimazingira
Ndio maana Dinosaureus hawapo tena, mazingira yalisababisha wafe, kuna aina ya Buffallo wenye manyoyq shingoni nao walikuwepo zamani sasahv hawapo tena
Kuna Simba wale wa mapangoni maarufu Caves Lion hawapo tena na walikuwa wakubwa kuliko hawa wa sasa
Kuna ndege pia walikuwepo sasa hawapo tena
Na hata Vifaru, Tembo na wanayama wakubwa karibu wote wapo mbioni kupotea
Hii hutokea hata kwa mimea
total nonsense🤣🤣Hii ndio sababu inayoifanya ''Darwin's law of evolution'' kuwa incompetent na pia ''total nonsense''
Hilarious 😂.Miaka inahesibiwa kuanzia siku au miaka hiyo walipofanya huo utafiti/ugunduzi/ dating.
Pia mwaka namba 1 ni insignificant unapoongelea scale ya miaka laki au milioni kadha.
Kama hujalielewa swali langu basi utakuwa na kichwa kigumu sana.Haueleweki. "Miaka 200,000 iliyopita ilianza kuhesabiwa lini ?" ndiyo swali gani?
Ndugu zangu.
1: Tukiachana na maswala ya kidini, historia inatuambia binadamu wa kwanza alikua ni nyani / sokwe /chipanze, sasa kama kweli binadamu tulikua ni manyani ni kwanini nyani / sokwe tunaowaona sasa hivi hawabadiliki kua binadamu na wala hawakatiki tena mikia na kua na mwili na utashi wa binadamu kama historia ilivyokua huko awali?
2: Je, kama kweli tulikua nyani na tukabadilika kua binadamu ni kwanini sahivi haiwezekani tena binadamu kubadikika na kurudia kua nyani kama wanasayansi wanavyodai?
Neno la Mungu katika bilblia ni zaidi ya evolution, kumbuka kitabu cha mwanzo kimeandikwa zaidi ya miaka 6000 iliyopita, je sayansi ulikiwa inasemaje wakati huo? VitukoHuu uzi nimesoma maoni yote herufi baada ya herufi.
Kuhusu Evolution sikuwa naielewa sana hii nadharia.
Walau sasa nimepata mwanga zaidi kutokana na maswali na majibu ambayo yametolewa humu.
Mwisho naweza kusema Nadharia ya Evolution inaingia akilini kuliko nadharia ya kuumbwa na Mungu kutoka mavumbini.
hahahahahahahahahahahahahahahahaha.....View attachment 3163254 View attachment 3163257
Darwin na nadharia yake ya mageuzi ya spishi nadhani hutajaielewa vizuri, viumbe wenye tabia moja ambao wanaweza kuzalishana ndiyo wanaweza kubadilika kutokana na visababishi vya mazingira yao n.k. Siyo kubadilika kutoka spishi moja kwenda spishi nyingine. Uteuzi wa kiasili ndiyo unawafanya viumbe kuweza kuwepo hapa duniani.
au kwanini sisi binafamu hatugeuki kuwa nyani?Ndugu zangu.
1: Tukiachana na maswala ya kidini, historia inatuambia binadamu wa kwanza alikua ni nyani / sokwe /chipanze, sasa kama kweli binadamu tulikua ni manyani ni kwanini nyani / sokwe tunaowaona sasa hivi hawabadiliki kua binadamu na wala hawakatiki tena mikia na kua na mwili na utashi wa binadamu kama historia ilivyokua huko awali?
2: Je, kama kweli tulikua nyani na tukabadilika kua binadamu ni kwanini sahivi haiwezekani tena binadamu kubadikika na kurudia kua nyani kama wanasayansi wanavyodai?
Kwanini hawa nyani wa sasa hawakubadilika?Ku evolve inachukua mamilioni ya miaka