Kubali ulikuwa nyani, tena watu weusi bado Evolution haijakamilika...Nyani wasasa hawabadiliki kwasababu ya kimazingira
Ndio maana Dinosaureus hawapo tena, mazingira yalisababisha wafe, kuna aina ya Buffallo wenye manyoyq shingoni nao walikuwepo zamani sasahv hawapo tena
Kuna Simba wale wa mapangoni maarufu Caves Lion hawapo tena na walikuwa wakubwa kuliko hawa wa sasa
Kuna ndege pia walikuwepo sasa hawapo tena
Na hata Vifaru, Tembo na wanayama wakubwa karibu wote wapo mbioni kupotea
Hii hutokea hata kwa mimea