Habari za kusadikika?Yaani unamsema huyu makonda akiwa RC tuliweza kusikia matukio kama
1.watu kutekwa kama Moo, Roma ben sanane
2.kituo cha clouds kuvamiwa
3.kifo cha akwilinaa pale kinondoni
4.kituo cha stakishari maaskari wetu kuteswa na kuwawa
5.panya road
Na matukio mengi infact makonda ktk swala la security alishafeliii
Au mchepuko wake anakuja kulialia kimahaba huku..!Kama wewe si makonda basi ni mkewe 😡 😡 😡 😡 😡 😡 😡 😡 😡 😡 😡 😡 😡 😡
Ni starehe kama sigaraWe unaonaje?
Mpeleke kijijini kwenu awe MwenyekitiMsingi wa jeshi la polisi imara ni operation ili kudhibidi uhalifu. Ndio maana Makonda kama mkuu wa masuala ya usalama aliamini kwenye operation.
Makonda alimsimamia vyema Igp Sirro wakati huo ni kamanda wa kanda maalumu kuhakikisha uhalifu wa kila aina unatoweka Dar.
Vibaka, wahuni, majambazi walipotea kabisa Dar.
Jeshi la polii lilikuwa na utayari wakati wote na hata yeye kama mkuu wa mkoa alihakikisha linapata vifaa kama magari.
Kwa mantiki hii kama Dar ingekuwa na Rc kama makonda matukio ya ajabuajabu yasingetokea.
Angekuwa RC hadi April tu kwani tayari naye angekuwa amemfuata baba yake ku RIP kupitia divine intervention.Msingi wa jeshi la polisi imara ni operation ili kudhibidi uhalifu. Ndio maana Makonda kama mkuu wa masuala ya usalama aliamini kwenye operation.
Makonda alimsimamia vyema Igp Sirro wakati huo ni kamanda wa kanda maalumu kuhakikisha uhalifu wa kila aina unatoweka Dar.
Vibaka, wahuni, majambazi walipotea kabisa Dar.
Jeshi la polii lilikuwa na utayari wakati wote na hata yeye kama mkuu wa mkoa alihakikisha linapata vifaa kama magari.
Kwa mantiki hii kama Dar ingekuwa na Rc kama makonda matukio ya ajabuajabu yasingetokea.
umeandika kitu gani we tahira!!Ondoa cheko za kikahaba
Makonda akiwa mkuu kamandi hiyo ya majambazi! Aisee?! Hii nchi ilifikia pabaya sana.Clouds ilivamiwa na majambazi Makonda akiwa mkuu wa mkoa
Huna akili wewe,huyo mtu wako alichokuwa anajua ni kutisha watu na wengine kuwasingizia tuhuma za madawa ya kulevya na kuwapora mali zao,kama unampenda sana nenda mkaoane.Msingi wa jeshi la polisi imara ni operation ili kudhibidi uhalifu. Ndio maana Makonda kama mkuu wa masuala ya usalama aliamini kwenye operation.
Makonda alimsimamia vyema Igp Sirro wakati huo ni kamanda wa kanda maalumu kuhakikisha uhalifu wa kila aina unatoweka Dar.
Vibaka, wahuni, majambazi walipotea kabisa Dar.
Jeshi la polii lilikuwa na utayari wakati wote na hata yeye kama mkuu wa mkoa alihakikisha linapata vifaa kama magari.
Kwa mantiki hii kama Dar ingekuwa na Rc kama makonda matukio ya ajabuajabu yasingetokea.
1. Kubumba na kubambikiza watu kesi.Tuandike achievements "mafanikio" kama tano za Makonda akiwa mkuu wa mkoa
Na yule mzungu aliyeuwawa kule masaki alikuwa anajishughulisha na mambo ya kitalii..Makonda aendelee na majukumu yake mengine, Dar tayari tunaye RC.
Chini ya utawala wa Makonda Dar ilikuwa kituo cha kuteka, kutesa na kupoteza watu..
Sijui unamuongelea Makonda yupi