DIVISHENI FOO
JF-Expert Member
- Jan 31, 2023
- 1,440
- 3,142
Kweli naweza kukamatwa baada ya kujaribu mara tano au sita lakini madhara tayari yameshatokea.Mkuu, We anza hiyo biashara ya madawa uwe unatoa laki mbili uone itachukua muda gani kabla ya kukutana na nyapara.
Wewe ndio mnafiki unaponda kitu ambacho umeshakifanya mbaya zaidi unatembea na gari haina kibandiko namba. Ukiambiwa ulikuwa unaenda kufanya jaribio la ujambazi utakataa?Mimi na wewe nani mnafki?
Ona sasa.Kuna jamaa namjua yeye anauza bagi anatoa mkuranga njiani anaacha 150k kila siku na anapiga Hela kila siku na kila siku anafata mzigo
Achana na huyo kuna mwingine anafata mirungi Kenya njiani full rushwa unasema Nini wewe
Mnafiki huyukwani hauujui msoto wa maisha ya bongo? au umetua leo kutoka state!
Mkuu ahsante Sana Kwa ushauri wako nitaufanyia Kazi ahsante Sana Kwa positive commentsMkuu ushauri wa bure: usipende kushindana na polisi, ni watu wanaweza kukufanya chochote na kesi ikakugeukia.
We kama una kakitu wape, be humble. Usirudie kuwarekodi. Litakukuta jambo zito ukiendeleza ubishi mara nyingi. Mi wakinidaka niwe na kosa nisiwe nalo nawaambia afande nipe maelekezo....
Mkuu, kuna jambo huelewi ila ungeelewa ungemshukuru huyo askari kwa Kakuepusha na kufunguliwa jalada polisi. Askari wetu wamepewa nguvu kubwa mno, kama wewe ni wa kawaida huna pesa wala channel jitahidi kukaa nao mbali mno.😂Sasa unafki wangu Nini hapo??
Ni bora kuchangia Hela serikalini kuliko kuchangia Jitu moja. Vipi kaka upo Huko mbona Unaongea Kwa hisia kali
Hahaha nashukuru Sana brotherKama umekubali kutoa hela na wamekuachia kausha tu. Wangeweza kukuzingua kiasi kwamba hata huu uzi usingeandika leo
Sawa nashukuru brotherMkuu, kuna jambo huelewi ila ungeelewa ungemshukuru huyo askari kwa Kakuepusha na kufunguliwa jalada polisi. Askari wetu wamepewa nguvu kubwa mno, kama wewe ni wa kawaida huna pesa wala channel jitahidi kukaa nao mbali mno.
Unaweza shangaa swali linaulizwa hii sio ile gari iliyotupotea jana ikiwa na wahamiaji wa kisomali? Mpaka unachomoka hapo ushasumbuka mno tu.
Wewe unaiona hiyo laki na nusu ila nyuma ya hiyo pengine kuna ulinzi kutoka humo humo ndani. Kama huamini anza hiyo biashara upige pesa na wewe.Kuna jamaa namjua yeye anauza bagi anatoa mkuranga njiani anaacha 150k kila siku na anapiga Hela kila siku na kila siku anafata mzigo
Achana na huyo kuna mwingine anafata mirungi Kenya njiani full rushwa unasema Nini wewe
Huko serikalini pia watu wanapiga vilevile.😂Sasa unafki wangu Nini hapo??
Ni bora kuchangia Hela serikalini kuliko kuchangia Jitu moja. Vipi kaka upo Huko mbona Unaongea Kwa hisia kali
Mhurumie ni njaa tuLeo kuna polisi Fulani wamenikamata kwasababu Chombo changu cha usafiri hakina plate number (kilikatika kikawa hakiwezi kufungika)
Sasa jamaa wamenikamata mmoja akapanda twende kituoni mmoja akaanza kunambia unashingapi ili tusifike polisi nikasema sina Hela we twende polisi.
Akasema kama una 30k nipe nikuachie nikasema sina brother twende polisi uzuri aliponikamata nilianza kumrecord kila anachoongea.
Nikafika nje ya polisi nikamwambia bro tusipotezeane Muda chukua 10k nikafanye Kazi akasema poa poa nipe nikampa Sasa hapa Nina full voice ya kuomba Hela natamani nikareport TAKUKURU Ila namuonea huruma kijana mwenzangu.
Sasa kama Hela ndio wanazipata Kwa namna hii Kwa kupitia jasho la wengine Raha yake IPO wapi??
Ndio maana wengi wao wakistaafu wanahangaika na mgonjwa kwasababu ya dhurma walizofanya wakati wa kazi zao.
Polisi kama ndio mnaidshi Kwa namna hii badilikeni msitafute Hela Kwa watafutaji wengine
Unaweza kukamatwa hata mara moja. Hii nchi mashushushu ni wengi. Huyo huyo anayekupa mzigo anaweza kukuanika.Kweli naweza kukamatwa baada ya kujaribu mara tano au sita lakini madhara tayari yameshatokea.
Unakiri umefanya kosa la jinai la kutoa rushwa na unamuonea huruma mpokeaje,ukienda TAKUKURU nawewe ndani.Leo kuna polisi Fulani wamenikamata kwasababu Chombo changu cha usafiri hakina plate number (kilikatika kikawa hakiwezi kufungika)
Sasa jamaa wamenikamata mmoja akapanda twende kituoni mmoja akaanza kunambia unashingapi ili tusifike polisi nikasema sina Hela we twende polisi.
Akasema kama una 30k nipe nikuachie nikasema sina brother twende polisi uzuri aliponikamata nilianza kumrecord kila anachoongea.
Nikafika nje ya polisi nikamwambia bro tusipotezeane Muda chukua 10k nikafanye Kazi akasema poa poa nipe nikampa Sasa hapa Nina full voice ya kuomba Hela natamani nikareport TAKUKURU Ila namuonea huruma kijana mwenzangu.
Sasa kama Hela ndio wanazipata Kwa namna hii Kwa kupitia jasho la wengine Raha yake IPO wapi??
Ndio maana wengi wao wakistaafu wanahangaika na mgonjwa kwasababu ya dhurma walizofanya wakati wa kazi zao.
Polisi kama ndio mnaidshi Kwa namna hii badilikeni msitafute Hela Kwa watafutaji wengine
Lengo Sio kumpa lengo nimdakeUnakiri umefanya kosa la jinai la kutoa rushwa na unamuonea huruma mpokeaje,ukienda TAKUKURU nawewe ndani.
Lengo hilo ulipanga na takukuru au.Lengo Sio kumpa lengo nimdake