Kama polisi ndio wanaishi Maisha haya ya kuombaomba hivi, acha nitafute hela Kazi nyingine hazina heshima

Kama polisi ndio wanaishi Maisha haya ya kuombaomba hivi, acha nitafute hela Kazi nyingine hazina heshima

Umeandika
Leo kuna polisi Fulani wamenikamata kwasababu Chombo changu cha usafiri hakina plate number (kilikatika kikawa hakiwezi kufungika)

Sasa jamaa wamenikamata mmoja akapanda twende kituoni mmoja akaanza kunambia unashingapi ili tusifike polisi nikasema sina Hela we twende polisi.

Akasema kama una 30k nipe nikuachie nikasema sina brother twende polisi uzuri aliponikamata nilianza kumrecord kila anachoongea.

Nikafika nje ya polisi nikamwambia bro tusipotezeane Muda chukua 10k nikafanye Kazi akasema poa poa nipe nikampa Sasa hapa Nina full voice ya kuomba Hela natamani nikareport TAKUKURU Ila namuonea huruma kijana mwenzangu.

Sasa kama Hela ndio wanazipata Kwa namna hii Kwa kupitia jasho la wengine Raha yake IPO wapi??

Ndio maana wengi wao wakistaafu wanahangaika na mgonjwa kwasababu ya dhurma walizofanya wakati wa kazi zao.

Polisi kama ndio mnaidshi Kwa namna hii badilikeni msitafute Hela Kwa watafutaji wengine
Ujinga tupu.sasa unalalamika kuombwa pesa alafu umetoa pesa f
 
Kwanini utembee na gari haina plate number, imetoka hairekebishiki? .
Tatizo linaanzia kwako, ni bora wanachukua hata hizo ten ten we unafikiri kama kila mtu angekuwa anapelekwa polisi kisha mahakamani huko vituoni wangejaa watu wengi sana.
Hakuna cha ajabu wala kipya ni maisha ya ku balance mzani kotekote.
Unasema jasho lako kwani kakupora? Si umempa mwenyewe.
Acha unafiki.
 
Kwanini utembee na gari haina plate number, imetoka hairekebishiki? .
Tatizo linaanzia kwako, ni bora wanachukua hata hizo ten ten we unafikiri kama kila mtu angekuwa anapelekwa polisi kisha mahakamani huko vituoni wangejaa watu wengi sana.
Hakuna cha ajabu wala kipya ni maisha ya ku balance mzani kotekote.
Unasema jasho lako kwani kakupora? Si umempa mwenyewe.
Acha unafiki.
😂Sasa unafki wangu Nini hapo??
Ni bora kuchangia Hela serikalini kuliko kuchangia Jitu moja. Vipi kaka upo Huko mbona Unaongea Kwa hisia kali
 
Maisha ya namna hii mabaya sana!
Ndiyo maana polisi wakiwa nje ya uniform utawaonea huruma yani wapo hovyo unashindwa kumtofautisha na muokota makopo yani waanza kupata laana kabla ya kustaafu, kati ya kazi zenye laana nahisi polisi namba moja. Mbona askari wenzao wa Jwtz nje ya uniform wapo vizur tu.
 
😂Sasa unafki wangu Nini hapo??
Ni bora kuchangia Hela serikalini kuliko kuchangia Jitu moja. Vipi kaka upo Huko mbona Unaongea Kwa hisia kali
Ndio maana nasema mnafiki, unasema ni bora kuchangia serikalini kuliko kuchangia jitu moja. Halafu umechangia jitu moja😂😂
FB_IMG_1719595671672.jpg
 
Leo kuna polisi Fulani wamenikamata kwasababu Chombo changu cha usafiri hakina plate number (kilikatika kikawa hakiwezi kufungika)

Sasa jamaa wamenikamata mmoja akapanda twende kituoni mmoja akaanza kunambia unashingapi ili tusifike polisi nikasema sina Hela we twende polisi.

Akasema kama una 30k nipe nikuachie nikasema sina brother twende polisi uzuri aliponikamata nilianza kumrecord kila anachoongea.

Nikafika nje ya polisi nikamwambia bro tusipotezeane Muda chukua 10k nikafanye Kazi akasema poa poa nipe nikampa Sasa hapa Nina full voice ya kuomba Hela natamani nikareport TAKUKURU Ila namuonea huruma kijana mwenzangu.

Sasa kama Hela ndio wanazipata Kwa namna hii Kwa kupitia jasho la wengine Raha yake IPO wapi??

Ndio maana wengi wao wakistaafu wanahangaika na mgonjwa kwasababu ya dhurma walizofanya wakati wa kazi zao.

Polisi kama ndio mnaidshi Kwa namna hii badilikeni msitafute Hela Kwa watafutaji wengine
Mtoa rushwa na mpokea rushwa wote wana makosa. Tambua kuwa wewe pia una makosa kwa kutoa hiyo elfu 10. Wangekupeleka tu kituoni ili ukatoe zaidi ya hiyo.
 
Kwanini utembee na gari haina plate number, imetoka hairekebishiki? .
Tatizo linaanzia kwako, ni bora wanachukua hata hizo ten ten we unafikiri kama kila mtu angekuwa anapelekwa polisi kisha mahakamani huko vituoni wangejaa watu wengi sana.
Hakuna cha ajabu wala kipya ni maisha ya ku balance mzani kotekote.
Unasema jasho lako kwani kakupora? Si umempa mwenyewe.
Acha unafiki.
Afande umekuwa mkali kama pilipili.
 
Ndiyo maana polisi wakiwa nje ya uniform utawaonea huruma yani wapo hovyo unashindwa kumtofautisha na muokota makopo yani waanza kupata laana kabla ya kustaafu, kati ya kazi zenye laana nahisi polisi namba moja. Mbona askari wenzao wa Jwtz nje ya uniform wapo vizur tu.
Hakika wewe umenielewa
 
Leo kuna polisi Fulani wamenikamata kwasababu Chombo changu cha usafiri hakina plate number (kilikatika kikawa hakiwezi kufungika)

Sasa jamaa wamenikamata mmoja akapanda twende kituoni mmoja akaanza kunambia unashingapi ili tusifike polisi nikasema sina Hela we twende polisi.

Akasema kama una 30k nipe nikuachie nikasema sina brother twende polisi uzuri aliponikamata nilianza kumrecord kila anachoongea.

Nikafika nje ya polisi nikamwambia bro tusipotezeane Muda chukua 10k nikafanye Kazi akasema poa poa nipe nikampa Sasa hapa Nina full voice ya kuomba Hela natamani nikareport TAKUKURU Ila namuonea huruma kijana mwenzangu.

Sasa kama Hela ndio wanazipata Kwa namna hii Kwa kupitia jasho la wengine Raha yake IPO wapi??

Ndio maana wengi wao wakistaafu wanahangaika na mgonjwa kwasababu ya dhurma walizofanya wakati wa kazi zao.

Polisi kama ndio mnaidshi Kwa namna hii badilikeni msitafute Hela Kwa watafutaji wengine
Hela ya kubrashia viatu wanaruhusiwa kuchukua maana kila mtu ale kwa urefu wa kamba yake.
 
Mkuu, We anza hiyo biashara ya madawa uwe unatoa laki mbili uone itachukua muda gani kabla ya kukutana na nyapara.
Kuna jamaa namjua yeye anauza bagi anatoa mkuranga njiani anaacha 150k kila siku na anapiga Hela kila siku na kila siku anafata mzigo

Achana na huyo kuna mwingine anafata mirungi Kenya njiani full rushwa unasema Nini wewe
 
  • Thanks
Reactions: Tsh
Back
Top Bottom