johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
- Thread starter
- #21
Kuanzia 22/10/2020 hadi 27/10/2020 Polepole atayataja maovu yote ya Chadema moja baada ya jingine so kaa tayari kuwatetea viongozi wako!Hebu waambie hao WAPUUZI wenzio Bashiru na Pole pole watuwekee majina ya majizi ndani ya ccm waambie waanze na huyo anayejiita MWENDAWAZIMU kubwa la majizi.
Katibu mkuu wa CCM Dr. Bashiru: CCM kuna majizi nikiyataja hapa mtashangaa. Sasa wezi wako CCM na ndio wenye serikali