Kama Rais ni mtetezi wa wanyonge na mtumbuaji majipu maarufu, kwanini hajamtumbua Said Lugumi?

Kama Rais ni mtetezi wa wanyonge na mtumbuaji majipu maarufu, kwanini hajamtumbua Said Lugumi?

Baada ya kuwasilishwa Hotuba ya Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, ndani ya Bunge la Jamuhuri wa Muungano wa Tanzania, ilitakiwa kuwasilishwa Hotuba ya Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni katika Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, ikitakiwa kuwasilishwa na Msemaji Mkuu wa Kambi Rasmi ya Upinzani katika Wizara hiyo, Mhe. Godbless Jonathan Lema (MB) Kuhusu makadirio ya Mapato na matumizi ya fedha ya Wizara hiyo.

Katika hali isiyo ya kawaida Hotuba hiyo ya Kambi Rasmi ya Rasmi ya Upinzani Bungeni katika Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi iliyokuwa iwasilishwe leo Jumatatu 16/5/2016 Bungeni mjini Dodoma iliahirishwa kwa kile kilichosemekana Hotuba hiyo inatakiwa ikapitiwe upya na Kamati ya Maadili ya Bunge.

Katika hali ya kawaida, inaonyesha kuna mam bo ambayo wasingependa viwemo kwenye Hotuba hiyo hili hali mambo hayo yana tija kwa mustakabali wa Taifa letu.

Hapo ndipo unapogundua ya kuwa Serikali hii ya awamu ya 5 imejawa hofu na inataka kuficha madhambi mengi huku ikiwaadaa wananchi na mambo mbalimbali kama wanavyoita utumbuaji majipu, huku majipu ambayo ni hatari zaidi yakiendelea kuachwa na kutakwa kufichwa na kuumiza Taifa.

Serikali ya awamu 5 imeshaonyesha viashiria vya wazi wazi ya kuwa ni Serikali yenye hofu na ya Kidikteta na isiyopenda kukoselewa katika hali yeyote mfano, kukataza kuonyeshwa moja kwa moja kwa vikao vya Bunge ili waweze kuficha mambo yao machafu, kuchukua mambo ya msingi ambayo wananchi wangependa kuyajua na kuwapa uelewa na kujua ni kipi wawakilishi wao wanakifanya ndani ya Bunge, hali yao ya Kikatiba imeminywa wazi wazi(In a daylight).

Sheria kandamizi kwa vyombo vya habari, kufungia vyombo mbalimbali vya habari, hivi ni viashiria tosha ya kuwa Serikali hii haitaki kukosolewa na kutaka kuendesha nchi inavyotaka huku Katiba, Sheria,Taratibu mbalimbali za nchi.

Katika hili la kutowasilishwa kwa Hotuba ya Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni katika Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi inaonekana kuna mkono mrefu wa Rais mstaafu wa awamu ya 4 Mhe. Jakaya Kikwete akizuia na kutaka hotuba hiyo is iwasilishwe Bungeni kwani inamgusa kwa hali moja ama nyingine, Hotuba hiyo imetakiwa kupitia na na Kamati ya Maadili ya Bunge ili waweze kuondoa mambo mambo mbalimbali ambayo wasingependa yawasilishwe mbele ya Bunge letu tukufu la Jamuhuri wa Muungano wa Tanzania, katika Hotuba hiyo anaingizwa IGP Mstaafu Saidi Mwema ambaye ni ndugu yake.

Said Mwema ndiye aliyekuwa IGP na kuingia mikataba na Lugumi Enterprises ambaye amemuoa mtoto wa Said Mwema IGP huyo mstaafu.

Kikubwa ambacho kinatakiwa kufichwa kuacha mengine mengi ni Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali iliyohoji utekelezaji wa mkataba wenye utata wa vifaa vya mfumo wa alama za vidole (AFIS) ulioingiwa Kati ya Jeshi la Polisi Tanzania na Kampuni ya Lugumi Enterprises.

Kuna malumbano yaliyojaa sintofahamu na inatakiwa sintofahamu hii imalizike bila shaka, Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni imeitaka Serikali kutoa majibu kwa maswali yafuatayo:

1. Kwa kuwa mikataba ya Serikali kwa mujibu wa Sheria lazima ufuate Sheria za manunuzi na kuthibitishwa na Mwanasheria Mkuu wa Serikali (AG),Je utaratibu huu ulifuatwa?

Kingine cha muhimu kujua ni kwamba, Je Mkataba wa Lugumi Enterprises na Jeshi la Polisi umetekelezwa ama haukutekelezwa na kama ulitekelezwa ni kwa kiwango gani, na ikiwa kulikuwa na tatizo la utekelezaji, Jeshi la Polisi lilichukua hatua zipi?

Yote kwa yote, swali la msingi, Kampuni ngapi ambazo zinahusika na hatua za utekelezaji wa Mkataba kati ya Lugumi Enterprises na Jeshi la Polisi, kwa kuwa Kampuni ya INFOSYS inatajwa kufunga vifaa hivyo (AFIS), kwanini C.A.G katika ukaguzi alioufanya hakuhoji suala la uhalali na kulinganisha thamani ya pesa ya manunuzi na faida ya vifaa vile?


Akiwa ni Rais mtetezi wa wawanyonge kama anavyojinadi na mtumbuaji majibu maarufu, kwanini hajatumbua jipu la Said Lugumi na aliyekuwa IGP Said Mwema na Emmanuel Nchimbi aliyekuwa Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi na kuwasimamisha kazi wote wanaondelea na kazi lakini kwa hali moja au nyingine wamehusika na mkataba tata wa Lugumi?
mgema akisifiwa ..........................
 
Kuna kada moja wa Chama Tawala alisema JPM anabinya chunusi tu na Sio majipu. Sasa naanza kuamini kauli yake ni ukweli mtupu.
 
Huna tofauti na jirani anyeshangilia jirani kuunguliwa nyumba moto ilihali nyumba zao zimeshikana! Cha kukufanya ufikiri ni kelele za upande wa pili ni nini? Kamati iliyoibua uozo inaongozwa na ccm, cag ni ccm na serikali ni ya ccm. Aibu hii kwa wanaccm mnaificha kupitia tv live siyo? Ingeibuliwa na kina Zitto mngekuwa na majibu rahisi kama haya. Mwambieni cag awe anafichia siri.
Tulia bhasi....halafu ujue jeshi Ni tofauti na taasisi za mkonge....jeshi kutumbukiwa Ni ndoto.
 
Suala LA mfumo wa vidole so kiki tena kwa upinzani hapo hollaa.....maana kila kituo kina hizo mashineeeee

Ccm oyeeeeeeeee
we kouko ni mpumb..........vu
tunajadili mustakabali wa nchi we unaleta uchama......
 
Ccm Oyeeeee imenifikisha hapa nilipo aiseeee....

Kidumu chama cha mapinduzi
ndugu zako wanashindia mihogo vijijin huku we unashangilia mjini uko,.........
zinduka kijana,.hii tz ukiendekeza siasa utakuwa huendelei
maswala ya nchi,na maendeleo yake usilete uccm wako
 
Lugumi lugumi ina maana wewe ni mpiga ngumi kuliko Mohamed Ali mpaka jamaa anakuogopa?
 
Baada ya kuwasilishwa Hotuba ya Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, ndani ya Bunge la Jamuhuri wa Muungano wa Tanzania, ilitakiwa kuwasilishwa Hotuba ya Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni katika Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, ikitakiwa kuwasilishwa na Msemaji Mkuu wa Kambi Rasmi ya Upinzani katika Wizara hiyo, Mhe. Godbless Jonathan Lema (MB) Kuhusu makadirio ya Mapato na matumizi ya fedha ya Wizara hiyo.

Katika hali isiyo ya kawaida Hotuba hiyo ya Kambi Rasmi ya Rasmi ya Upinzani Bungeni katika Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi iliyokuwa iwasilishwe leo Jumatatu 16/5/2016 Bungeni mjini Dodoma iliahirishwa kwa kile kilichosemekana Hotuba hiyo inatakiwa ikapitiwe upya na Kamati ya Maadili ya Bunge.

Katika hali ya kawaida, inaonyesha kuna mam bo ambayo wasingependa viwemo kwenye Hotuba hiyo hili hali mambo hayo yana tija kwa mustakabali wa Taifa letu.

Hapo ndipo unapogundua ya kuwa Serikali hii ya awamu ya 5 imejawa hofu na inataka kuficha madhambi mengi huku ikiwaadaa wananchi na mambo mbalimbali kama wanavyoita utumbuaji majipu, huku majipu ambayo ni hatari zaidi yakiendelea kuachwa na kutakwa kufichwa na kuumiza Taifa.

Serikali ya awamu 5 imeshaonyesha viashiria vya wazi wazi ya kuwa ni Serikali yenye hofu na ya Kidikteta na isiyopenda kukoselewa katika hali yeyote mfano, kukataza kuonyeshwa moja kwa moja kwa vikao vya Bunge ili waweze kuficha mambo yao machafu, kuchukua mambo ya msingi ambayo wananchi wangependa kuyajua na kuwapa uelewa na kujua ni kipi wawakilishi wao wanakifanya ndani ya Bunge, hali yao ya Kikatiba imeminywa wazi wazi(In a daylight).

Sheria kandamizi kwa vyombo vya habari, kufungia vyombo mbalimbali vya habari, hivi ni viashiria tosha ya kuwa Serikali hii haitaki kukosolewa na kutaka kuendesha nchi inavyotaka huku Katiba, Sheria,Taratibu mbalimbali za nchi.

Katika hili la kutowasilishwa kwa Hotuba ya Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni katika Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi inaonekana kuna mkono mrefu wa Rais mstaafu wa awamu ya 4 Mhe. Jakaya Kikwete akizuia na kutaka hotuba hiyo is iwasilishwe Bungeni kwani inamgusa kwa hali moja ama nyingine, Hotuba hiyo imetakiwa kupitia na na Kamati ya Maadili ya Bunge ili waweze kuondoa mambo mambo mbalimbali ambayo wasingependa yawasilishwe mbele ya Bunge letu tukufu la Jamuhuri wa Muungano wa Tanzania, katika Hotuba hiyo anaingizwa IGP Mstaafu Saidi Mwema ambaye ni ndugu yake.

Said Mwema ndiye aliyekuwa IGP na kuingia mikataba na Lugumi Enterprises ambaye amemuoa mtoto wa Said Mwema IGP huyo mstaafu.

Kikubwa ambacho kinatakiwa kufichwa kuacha mengine mengi ni Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali iliyohoji utekelezaji wa mkataba wenye utata wa vifaa vya mfumo wa alama za vidole (AFIS) ulioingiwa Kati ya Jeshi la Polisi Tanzania na Kampuni ya Lugumi Enterprises.

Kuna malumbano yaliyojaa sintofahamu na inatakiwa sintofahamu hii imalizike bila shaka, Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni imeitaka Serikali kutoa majibu kwa maswali yafuatayo:

1. Kwa kuwa mikataba ya Serikali kwa mujibu wa Sheria lazima ufuate Sheria za manunuzi na kuthibitishwa na Mwanasheria Mkuu wa Serikali (AG),Je utaratibu huu ulifuatwa?

Kingine cha muhimu kujua ni kwamba, Je Mkataba wa Lugumi Enterprises na Jeshi la Polisi umetekelezwa ama haukutekelezwa na kama ulitekelezwa ni kwa kiwango gani, na ikiwa kulikuwa na tatizo la utekelezaji, Jeshi la Polisi lilichukua hatua zipi?

Yote kwa yote, swali la msingi, Kampuni ngapi ambazo zinahusika na hatua za utekelezaji wa Mkataba kati ya Lugumi Enterprises na Jeshi la Polisi, kwa kuwa Kampuni ya INFOSYS inatajwa kufunga vifaa hivyo (AFIS), kwanini C.A.G katika ukaguzi alioufanya hakuhoji suala la uhalali na kulinganisha thamani ya pesa ya manunuzi na faida ya vifaa vile?


Akiwa ni Rais mtetezi wa wawanyonge kama anavyojinadi na mtumbuaji majibu maarufu, kwanini hajatumbua jipu la Said Lugumi na aliyekuwa IGP Said Mwema na Emmanuel Nchimbi aliyekuwa Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi na kuwasimamisha kazi wote wanaondelea na kazi lakini kwa hali moja au nyingine wamehusika na mkataba tata wa Lugumi?
jibu la swali lako ni rahisi sana mkuu:
"this is africa, and tanzania in particular"
 
Mimi nitakua wa mwisho kuliamini bunge hili.Tuendelee tu kupiga mayowe lakini wakubwa wameshaamua ndio itakavyokua.
 
CCM ndiyo chama dume,na Magufuri ndiye rais wa Tanzania.Ndugai ni mbunge wa Kongwa na ni mwana CCM na ndiye spika wa Bunge la Tanzania a.k.a bosi wa Mbowe,Lema,Lissu na Miungu wako wote waliopo Bungeni unaowafahamu ww.Km hutaki,fanya hayo yanaweza kukusaidia-ama jinyonge,hama nchi,jitupe bahari na mengine mengi fanani na hayo.Na yakupasa utambuye,CCM ndiyo chama TAWALA hadi mwisho wa kinyongo chako.
Tuachee uchama, tunataka lugumi na kitwanga watumbuliwe
 
Pamoja na mbwembwe zooote, yani fupa la lugumi linamshinda Magufuli.

kweli ccm ni ile ile CHAMA CHA MAJIZI
 
Hapo kuna watu wazito wanalindana! JPM hapo ndio anaona kweli kazi itaelekea kumshinda!! Kama akiweza kutumia usemi w Baba Askofu aliompa basi nchi haitamshinda!! Bora mmoja afe kwa manufaa ya nchi....ili nchi isonge mbele!!
Ndugu majipu yapo ya Aina mingi mengine hayatumbuliki mengine yanasogezwa aka ntakupangiakaz ingine na mengi ni vijipu uchungu
1463421109153.jpg

Aka wakurugenzi
 
images
tz ya viwanda yaja,.wakati maji2 mbilinge
hawa walinzi wa fisiemu,..
images
images
huwez kutenga lugu&polisi,.ten rais yupo kimya2
tumuombee huyu bwana,.....aje kutukomboa kutoka kwa ccm
images
 
Back
Top Bottom