Kama Rais Samia akiamua kumchagua CDF mwanamke, nani anafaa?

Kama Rais Samia akiamua kumchagua CDF mwanamke, nani anafaa?

Mnaleta utani nyie .hatutaki kusikia mambo ya mkuu wa majeshi amnunia Mh.rais
 
Ni muislamu!atatokea kanda ya ziwa!!kwa kuwa waislamu hawanaga UJINGA wa kutawaliwa na ke! Basi tabiri kitachotokea!!
 
Inawezekana Rais kumchagua CDF mwanamke? Nani anafaa? Wapo wanawake gani kule ambao sasa hivi wana cheo?

Ngome inaweza kumruhusu Rais amchague CDF mwanamke?
Siyo lazima kila mmoja kwenda Google kirefu cha cdf ni Nini??
 
Ifike wakati tuache utani CDF mwanamama duniani hakuna...Lt Gen Mkingule muda wowote anapandishwa cheo na kuwa CDF.
 
Back
Top Bottom