Waterloo JF-Expert Member Joined Nov 30, 2010 Posts 25,356 Reaction score 38,922 Jun 27, 2022 #21 Mnaleta utani nyie .hatutaki kusikia mambo ya mkuu wa majeshi amnunia Mh.rais
britanicca JF-Expert Member Joined May 20, 2015 Posts 16,295 Reaction score 33,994 Jun 27, 2022 #22 Jakaya alisema kuna mambo ya 50 Kwa 50 ila kuhusu CDF Hapana ilikuwa anahutubia Bunge mwaka 2008
NAMBA MOJA AJAYE NCHINI JF-Expert Member Joined Oct 29, 2019 Posts 9,863 Reaction score 20,806 Jun 27, 2022 #23 Ni muislamu!atatokea kanda ya ziwa!!kwa kuwa waislamu hawanaga UJINGA wa kutawaliwa na ke! Basi tabiri kitachotokea!!
Ni muislamu!atatokea kanda ya ziwa!!kwa kuwa waislamu hawanaga UJINGA wa kutawaliwa na ke! Basi tabiri kitachotokea!!
Waminyato JF-Expert Member Joined Jun 22, 2022 Posts 2,197 Reaction score 4,525 Jun 27, 2022 #24 Bi Chau.
K kotapini Member Joined Feb 15, 2015 Posts 92 Reaction score 158 Jun 27, 2022 #25 Aiseee, hii dunia siyo yetu
Elpaul JF-Expert Member Joined Jan 19, 2018 Posts 922 Reaction score 692 Jun 27, 2022 #26 Poppy Hatonn said: Inawezekana Rais kumchagua CDF mwanamke? Nani anafaa? Wapo wanawake gani kule ambao sasa hivi wana cheo? Ngome inaweza kumruhusu Rais amchague CDF mwanamke? Click to expand... Siyo lazima kila mmoja kwenda Google kirefu cha cdf ni Nini??
Poppy Hatonn said: Inawezekana Rais kumchagua CDF mwanamke? Nani anafaa? Wapo wanawake gani kule ambao sasa hivi wana cheo? Ngome inaweza kumruhusu Rais amchague CDF mwanamke? Click to expand... Siyo lazima kila mmoja kwenda Google kirefu cha cdf ni Nini??
Greatest Of All Time JF-Expert Member Joined Jan 1, 2017 Posts 23,620 Reaction score 52,790 Jun 27, 2022 #27 Meja Jenerali Zawadi ameshastaafu vinginevyo angelamba teuzi mapema sana
DENG XIAOPING JF-Expert Member Joined Mar 6, 2022 Posts 2,396 Reaction score 2,598 Jun 27, 2022 #28 Poppy Hatonn said: Inawezekana Rais kumchagua CDF mwanamke? Nani anafaa? Wapo wanawake gani kule ambao sasa hivi wana cheo? Ngome inaweza kumruhusu Rais amchague CDF mwanamke? Click to expand... Wewe hapo unafaa
Poppy Hatonn said: Inawezekana Rais kumchagua CDF mwanamke? Nani anafaa? Wapo wanawake gani kule ambao sasa hivi wana cheo? Ngome inaweza kumruhusu Rais amchague CDF mwanamke? Click to expand... Wewe hapo unafaa
kimeloki JF-Expert Member Joined Jul 9, 2012 Posts 2,730 Reaction score 2,836 Jun 27, 2022 #29 Ifike wakati tuache utani CDF mwanamama duniani hakuna...Lt Gen Mkingule muda wowote anapandishwa cheo na kuwa CDF.
Ifike wakati tuache utani CDF mwanamama duniani hakuna...Lt Gen Mkingule muda wowote anapandishwa cheo na kuwa CDF.