Pre GE2025 Kama Rais Samia anaingia jikoni kupika basi hapa kuna la kujifunza

Pre GE2025 Kama Rais Samia anaingia jikoni kupika basi hapa kuna la kujifunza

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Kwa hiyo siku 300 kwenye 365 anazokua amesafiri pia anajipikia chakula huko huko? Na akipika anatakiwa aji-record!!! Basi sawa
Wewe ndo umeua kabisa. Yaani siku 300 kwa mwaka anakuwa anambwela mbwela huko duniani, hapo kweli amekuwa Global Trotter. Na kwa taarifa zaidi huyo Chura Kiziwi tangu aingie madarakani kwa wastani anafanya ziara moja kila Mwezi na unavyo soma hili bandiko yuko Beijing.
 
Kupika nayo habari??
Msitufokee na wadada wetu wa kazi, kila mtu na life style yake….
Btw… nimetoka wali samaki dada anapika km chef wa Kalambezi 😜
 
Ni mke wa mtu kupika apike ni wajibu wake kwa mumewe na kunaniiiiwa anananiliwa sana ni mama wa mtu huyo ni maajabu ni gani hapo sjayaona mimi bwana kwanza hapo ni ile ya leo napika nirecord😖😖
 
Wale ambao tukiajiriwa au kupata hela kidogo tu tunatafuta wadada wa kazi.

Wale tusiojua kupika, kuna la kujifunza hapa.

Pia soma: Uzi Maalum wa Vibweka na Hekaheka za wanasiasa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

Hongera kiongozi kuna maisha nje ya kazi na kuna majukumu nje ya kazi

hiki chakula tukipige mnada, yaani mtu anaetaka kula chakula cha mama aje na 10m, naimani dinner moja hatukosi 1bn, tukinunua majiko ya gas tutayagawaa nchi nchi nzima na misitu yetu itakuwa salama
 
hiki chakula tukipige mnada, yaani mtu anaetaka kula chakula cha mama aje na 10m, naimani dinner moja hatukosi 1bn, tukinunua majiko ya gas tutayagawaa nchi nchi nzima na misitu yetu itakuwa salama
Wazo zuri
 
Back
Top Bottom