Kama Saudi Arabia na Vatican wameweza kufanya ibada majumbani sisi tuliopokea dini toka kwao tunashindwa nini?


Muhammad mtu aliyeanzisha uislamu na kumbuni allah ni mtu wa Saudi Arabia. Hata matambiko yote ya kiislamu yanafanyika Saudia.
 
Muhammad mtu aliyeanzisha uislamu na kumbuni allah ni mtu wa Saudi Arabia. Hata matambiko yote ya kiislamu yanafanyika Saudia.
Mafundiaho hayo umeyatoa wapi? Wewe umesomea wapi Uislam? Tupe ushahidi wako. Isijekuwa umedanganywa au unajidanganya.

Nakushauri waulize Waislam upate uhakika zaidi na uelewe Imani yao. Usikurupuke.
 
Katika ulimwengu wa roho.

Lakini mwilini hata msikiti uliojengwa na Paulo ni ruksa kufanyika ibada!
Kiislam ibada ni popote na misikitini tunaifata jamaa (kujumuika pamoja) na Kwa ajilinya sala za Ijumaa ambazo ni maagizo ya Allah kutoka kwenye Qur'an kuwa inaponadiwa sala siku ya Ijumaa basi twende tukajumuike pamoja. Lakini kama kwenda huko msikitini kutaleta madhara kwako au kwa wengine basi sali hata peke yako nyumbani kwako.
 
Jombaa acha tamaa ya sadaka. Jombaa huu ulio andika ni usenge. Acha kupoteza watu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mbona kwenye Mitandao ninaona kusitisha Shughuli za Ibada tu lakini sijaona Mukizungumzia kufungwa kwa Mabaa?
Au Bia inauwa Virusi vya Corona ndiyomana mikusanyiko ya Baa hamuizungumzii?
 
Umepokelewa kutoka wapi? tupe elimu maana kuishi ni kujifunza.
 
Aaaaaah hapana.... Wewe huwezi kuandika hivi... Nasema tena haiwezekani.... Maana Mataga akili zenu tunazijua... Ni kama za yule aliyesema wagonjwa wa korona wasitangazwe....

Ila MATAGA mna vichwa vizito sana. Ni lini watu wameanza kupiga kelele kwamba ibada zifungwe?

Yaani mpo kama kenge... hasikii mpaka damu zimtoke...
 
Dini zinawafanya wengi kuwa mbumbumbu.... Fine Mungu yupo... Ila ni baada ya kuwa umechukua tahadhari ndio ukae umuombe Mungu.

Mungu amekupa akili za nini sasa?
 

Kanisani wanataka sadaka ili waishi na hawa nao wanataka kura zao ili waweze kuishi " Symbiotic relationship"
 
Acha upotoshaji wewe !!

Aliyekwambia waanzilishi wa Saudia ndio waanzilishi wa Israel nani?

Ibn Al Saud alianzisha ufalme wa Saudia wakati David Ben Gurion alianzisha dola ya Israel huko Mashariki ya Kati mwaka 1948.

Unataka kusema Ibn Al Saud alikuwa myahudi?
 

Dini sio hizia au mawazo yako ujue, katika hali isiyo ya dharura katika mafundisho sahihi ya uislam mwanaume anawajibu wa kuswali jamaa msikitini na waumini wenzako, sio kwamba ukiswalia nyumbani hupati thawabu la zinakuwa ndogo na kama umefanya makusudi swala inaadhiniwa msikiti wewe unasali kwenye store yako ya mkaa unapata dhambi unless kuwe na dharura yoyote ile. Katika kipindi kama hichi mafundisho sasa ya Mtume wetu rehma na amani ilipaswa misikiti ifungwe watu wasalie nyumbani kutokana na hali iliyopo hadi hapo itakapokaa sawa. Lakini ni makosa na kama wewe muislam unasema kwenda kuswali jamaa msikitini ni unafiki nasi unapata madhambi na utubie kwa mola wako toba iliyo ya kweli. Inna Allah Ghafur-rRahiim.
 
Huna akili, umeacha msingi wa hoja yake na kurukia kwenye kadosari kadogo pasipo kujua unadhihirisha ujinga wako! Ukiwa CCM halafu ukawa mfia dini unakuwa umefuzu viwango vya juu kabisa vya umaamuma!
 
Nani kakuzuia kufanyia ibada nyumbani kwako? Rais na viongozi wamekwisha kueleza hili la kuzingatia maelekezo ya kujikinga dhidi ya maambukizi na moja wapo ni kuepuka mikisanyiko na kutokusogeleana, umeenda kanisani ukaona msongamano na huwezi kaa mita moja hadi mbili dhidi ya mwenzako UKALAZIMISHWA kuingia kusali? hii kitu inahitaji self awareness, jikinge ikinge na familia yako.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…