johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
- Thread starter
-
- #41
Katika ulimwengu wa roho.Kama ni Imani ysko basi sina sababu ya kukubishia lakini Kwa Sisi Waislam tuna nguzo zetu za Imani.
Saudi Arabia hawakuanzisha dini yoyote. Saudi Arabia ni nchi iliyoanzishwa juzi juzi tu 1932, na wale wale walioianzisha Israel.
Kama vitu huvijuwi ni heri ukafanya japo utafiti kwa kutumia Google tu kabla hujakurupuka na ku "offend' dini zisizo kuhusu.
Mafundiaho hayo umeyatoa wapi? Wewe umesomea wapi Uislam? Tupe ushahidi wako. Isijekuwa umedanganywa au unajidanganya.Muhammad mtu aliyeanzisha uislamu na kumbuni allah ni mtu wa Saudi Arabia. Hata matambiko yote ya kiislamu yanafanyika Saudia.
Kiislam ibada ni popote na misikitini tunaifata jamaa (kujumuika pamoja) na Kwa ajilinya sala za Ijumaa ambazo ni maagizo ya Allah kutoka kwenye Qur'an kuwa inaponadiwa sala siku ya Ijumaa basi twende tukajumuike pamoja. Lakini kama kwenda huko msikitini kutaleta madhara kwako au kwa wengine basi sali hata peke yako nyumbani kwako.Katika ulimwengu wa roho.
Lakini mwilini hata msikiti uliojengwa na Paulo ni ruksa kufanyika ibada!
Rais hajalazimisha mtunkuendelea au kutokuendelea kwenda kanisani au msikitini. Kawaachia wenyewe mtumie akili zenu.
Ni huyu mmoja tuu @johnthebaptist,naona yeye usukule umemuanza kumuisha taratibu.Mataga mmeanza kujitambua sahivi mnaandika Fact
Jombaa acha tamaa ya sadaka. Jombaa huu ulio andika ni usenge. Acha kupoteza watu.Unajua ukishakiri kua yesu ni bwana na mwokozi wa maisha yako unakua umetangaza vita na shetani, na shetani atajaribu kufanya kila njama za kukuporomosha hapo juu ulipo
Unajua kwamba shetani kapewa mamlaka ya kumjaribu binadamu na katika hili shetani kaamua kutumia huu ugonjwa kama jaribio ili kuwateka watu?
Unajua kukubali kusalia nyumbani kwa kuogopa maambukizi ambayo yamepangwa na shetani ni ishara kwamba shetani amekushinda nguvu na umekosa imani ya kupambana naye?
Unaelewa kwamba namna pekee ya kumshinda huyu shetani ilitakiwa yeyote yule ambaye amemkiri yesu kua bwana na mwokozi wa maisha yake ajitokeze katika wodi za wagonjwa wa corona kwa lengo la kuwafanyia sala ya toba kwa kuwashika vichwani?
Mnakumbuka kua ukiwa na yesu hakuna lishindikanalo maana amewaahidi kutengeneza njia mahala pasipo na njia?
Viongozi wa dini hawawezi kupinga wao wanachojali ni sadaka tu, kuna msikiti wilayani Kondoa wamefunga hadi hii sekeseke iishe, viongozi wa huo msikiti wanajitambua, kwao afya za waumini wao ni Bora kuliko tamaa ya sadaka
Sent using Jamii Forums mobile app
Umepokelewa kutoka wapi? tupe elimu maana kuishi ni kujifunza.Hata kupokea, hatukupokea dini yoyote nkutoka Saudi Arabia.
Saudi Arabia imeanza 1932. Dini zote zilizopo Tanzania zipo kwa miaka mingi sana kabla ya Saudi Arabia.a
Sifahamu Ukristo ulipokelewa kutoka wapi lakini Uislam hapa kwetu haukupokelewa kutoka Saudi Arabia.
Jana nilimsikia Prof Lipumba akisema yeye ameanza kuswalia nyumbani ili kuepuka misongamano inayoweza kusababisha maambukizi ya Covid 19.
Binafsi nikawa nimemwelewa vilivyo.
Ndipo nikaanza kutafakari, kama Waislamu kule Saudia wanaswalia nyumbani Bakwata wanashindwa nini?
Kama Wakristo kule Vatican, UK na Germany wanasalia majumbani hawa Katoliki, Anglican na KKKT wanafeli wapi?
Kama Walokole huko USA wanasalia majumbani hawa kina Kakobe, Gamanywa, Gwajima, Mwingira wanashindwa nini?
Kuna wakati yatupasa kutumia busara hata kama mamlaka za juu zimewaachia hiyo fursa bado mnatakiwa kutumia hekima ya Mungu kutenda jambo sahihi.
Serikali haiwezi kuwakataza directly lakini nyie mmebarikiwa macho ya rohoni na mwilini na hata hao wagonjwa 88 waliotangazwa hadi sasa ni waumini wenu.
Hekima ya Mungu wa mbinguni na iwe juu yenu!
Unajua ukishakiri kua yesu ni bwana na mwokozi wa maisha yako unakua umetangaza vita na shetani, na shetani atajaribu kufanya kila njama za kukuporomosha hapo juu ulipo
Unajua kwamba shetani kapewa mamlaka ya kumjaribu binadamu na katika hili shetani kaamua kutumia huu ugonjwa kama jaribio ili kuwateka watu?
Unajua kukubali kusalia nyumbani kwa kuogopa maambukizi ambayo yamepangwa na shetani ni ishara kwamba shetani amekushinda nguvu na umekosa imani ya kupambana naye?
Unaelewa kwamba namna pekee ya kumshinda huyu shetani ilitakiwa yeyote yule ambaye amemkiri yesu kua bwana na mwokozi wa maisha yake ajitokeze katika wodi za wagonjwa wa corona kwa lengo la kuwafanyia sala ya toba kwa kuwashika vichwani?
Mnakumbuka kua ukiwa na yesu hakuna lishindikanalo maana amewaahidi kutengeneza njia mahala pasipo na njia?
Ninachokijua tu ni kwamba ukiwa na Imani ya kweli kwa Mwenyezi Mungu / Allah hata ukisalia Sebuleni au Chumbani Kwako au Bustanini Kwako au hata Stoo basi Dua yako inakubaliwa na unabarikiwa vizuri tu. Huko kwenda Makanisani na Misikitini mara nyingine huwa ni Mbwembwe tu zilizochanganyika na Unafiki mwingi ndani yake.
Kama kuna Jambo ninaloilaumu Serikali yetu na sipendezwi nalo hata kidogo ni Kitendo cha Kuruhusu Ibada za Misikitini na Makanisani iendelee. Nina uhakika kama wasipoliangalia hili kwa marefu na mapana yake Waumini wengi wanaojazana huko / humo wataanza Kufa Siku si nyingi. Yaani Serikali inashindwa Kuzuia Ibada huko katika Nyumba za Ibada kwa sasa kwasababu inahofia Kuchukiwa na Kupoteza kama pia si Kuyimwa Kura nao.
Siasa inaharibu utaratibu mzima wa Kiafya hasa mbele ya Janga hili baya na hatari la COVID-19. Asante sana Mdau kwa hili Bandiko lako kwani ni zuri, sahihi na uliyoyaanisha hapa yana ukweli mtupu. Hongera Umenena!
Acha upotoshaji wewe !!Saudi Arabia hawakuanzisha dini yoyote. Saudi Arabia ni nchi iliyoanzishwa juzi juzi tu 1932, na wale wale walioianzisha Israel.
Kama vitu huvijuwi ni heri ukafanya japo utafiti kwa kutumia Google tu kabla hujakurupuka na ku "offend' dini zisizo kuhusu.
Ninachokijua tu ni kwamba ukiwa na Imani ya kweli kwa Mwenyezi Mungu / Allah hata ukisalia Sebuleni au Chumbani Kwako au Bustanini Kwako au hata Stoo basi Dua yako inakubaliwa na unabarikiwa vizuri tu. Huko kwenda Makanisani na Misikitini mara nyingine huwa ni Mbwembwe tu zilizochanganyika na Unafiki mwingi ndani yake.
Kama kuna Jambo ninaloilaumu Serikali yetu na sipendezwi nalo hata kidogo ni Kitendo cha Kuruhusu Ibada za Misikitini na Makanisani iendelee. Nina uhakika kama wasipoliangalia hili kwa marefu na mapana yake Waumini wengi wanaojazana huko / humo wataanza Kufa Siku si nyingi. Yaani Serikali inashindwa Kuzuia Ibada huko katika Nyumba za Ibada kwa sasa kwasababu inahofia Kuchukiwa na Kupoteza kama pia si Kuyimwa Kura nao.
Siasa inaharibu utaratibu mzima wa Kiafya hasa mbele ya Janga hili baya na hatari la COVID-19. Asante sana Mdau kwa hili Bandiko lako kwani ni zuri, sahihi na uliyoyaanisha hapa yana ukweli mtupu. Hongera Umenena!
Huna akili, umeacha msingi wa hoja yake na kurukia kwenye kadosari kadogo pasipo kujua unadhihirisha ujinga wako! Ukiwa CCM halafu ukawa mfia dini unakuwa umefuzu viwango vya juu kabisa vya umaamuma!Saudi Arabia hawakuanzisha dini yoyote. Saudi Arabia ni nchi iliyoanzishwa juzi juzi tu 1932, na wale wale walioianzisha Israel.
Kama vitu huvijuwi ni heri ukafanya japo utafiti kwa kutumia Google tu kabla hujakurupuka na ku "offend' dini zisizo kuhusu.
Rais hajalazimisha mtunkuendelea au kutokuendelea kwenda kanisani au msikitini. Kawaachia wenyewe mtumie akili zenu.