WrestlerRSF254
JF-Expert Member
- Jan 30, 2023
- 1,196
- 2,012
Kwani Kimsboy anasherekea lini? Au kakimbilia Iran na Urusi kwa Washia wenzake???Uganda ni majirani zetu na wametangaza Eid ni kesho; lakini pia Uarabuni napo Eid ni kesho.
Kwanini Tanzania wamepanga iwe Jumamosi?
... kama umeuona Tanzania toa ushuhuda. Suala ni uonekane mahali husika na sio kuonekana kwingine.Kuna miezi mingapi? Dunia ina mwezi mmoja, sasa kwavipi uonekane Uganda hapa usionekane?
Sio kweli, huenda unachangia usichokijua..Waumini wengi wa Tanzania ni mazezeta
Kuna madhehebu mawili kwenye Uislam na miaka yote huwa na tarehe tofauti za kufungua .. Answar Suna always ndio huwahi na hii ni miaka yoteUganda ni majirani zetu na wametangaza Eid ni kesho; lakini pia Uarabuni napo Eid ni kesho.
Kwanini Tanzania wamepanga iwe Jumamosi?
Tanzania kila kitu siasa tu.Watu wanalazimishwa sio ijumaa ni Jumamosi.Uganda ni majirani zetu na wametangaza Eid ni kesho; lakini pia Uarabuni napo Eid ni kesho.
Kwanini Tanzania wamepanga iwe Jumamosi?
Bakwata hawapo serious na kuuona., maana leo Ijumaa Uganda, Kenya, Rwanda ni sikukuuu lakin Tz hawajauona, na leo utaonekana waziwaziUganda ni majirani zetu na wametangaza Eid ni kesho; lakini pia Uarabuni napo Eid ni kesho.
Kwanini Tanzania wamepanga iwe Jumamosi?
Elewa kwanza maana ya Eid al-Fitr, Pasaka na xmas ndo uje ukomentKuna Eid ya 2019 watu walichanganyana hivyo hivyo.... Basi me nilikuwa sehemu moja hivi dukani nikasikia Shekh asema '' Yan waislam wazima tunazidiwa akili na wakristu, wewe ushawahi ona Pasaka mbili au Christmas mbili"
Tatizo kufunga wanaanza pamoja issue kufungua sasa ndy mtiti....
Ya Bakwata ni kesho. !!Uganda ni majirani zetu na wametangaza Eid ni kesho; lakini pia Uarabuni napo Eid ni kesho.
Kwanini Tanzania wamepanga iwe Jumamosi?
Bila shaka hoja yako inatosha kabisa kuhitimisha uzi huu.Saafi kaaabisa.Hakuna njia ya mkato, watu wa mnyaaz itawapasa nao wamalizie vyungu vyao 30. Huko kwingine kote wao ni Suni, na msimamo wao taarifa za mwezi kuandama hupatikana sehemu yoyote ile duniani, kuuona kwa macho ya kibinadamu siyo kizingiti.
Hapa Bongo, BAKWATA ni zao la Shia. Ni lazima auone ama kupata taarifa za muandamo wa mwezi hapa nchini. Hapa ni sawa na kutaka kuwaeka pamoja Wakatoliki na Wasabato.
Ni kama inapangwa na si kuandama kwa mwezi.Uganda ni majirani zetu na wametangaza Eid ni kesho; lakini pia Uarabuni napo Eid ni kesho.
Kwanini Tanzania wamepanga iwe Jumamosi?
Hakuna nchi iliyoona mwezi.Uganda ni majirani zetu na wametangaza Eid ni kesho; lakini pia Uarabuni napo Eid ni kesho.
Kwanini Tanzania wamepanga iwe Jumamosi?
Hii tabia ya kujifanya mnaujuwa uislam kuliko waislam wenyewe ikome..upungufu wa akili
Sa mbona waislam wengi ndio wanalalamika kwamba Mufti kawaingiza chaka?!.
Kuwa na heshima kidogoMwezi mmekuwa wanawake na hedhi
USSR