myoyambendi
JF-Expert Member
- Sep 13, 2013
- 166,767
- 705,461
Hujui lolote...dunia moja kuna mchana mmoja dunia nzima..Dini ni moja na dunia ni moja. Toa porojo zako huko, peleka kwenye vilabu vya pombe za kienyeji huko kijijini kwenu
Elimu ndogo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hujui lolote...dunia moja kuna mchana mmoja dunia nzima..Dini ni moja na dunia ni moja. Toa porojo zako huko, peleka kwenye vilabu vya pombe za kienyeji huko kijijini kwenu
Kwa majibu yako, wewe ni hewa tu.Dini ni moja na dunia ni moja. Toa porojo zako huko, peleka kwenye vilabu vya pombe za kienyeji huko kijijini kwenu
Yaani una Kiranga Kama jina lako..Si uanzishe Uzi wako.Dini ni siasa za kale zilizovikwa joho la utakatifu wa Mungu asiyethibitishika.
Siongelei mchana mjinga wewe. Naongelea mwezi. Dunia nzima Ina mwezi mmoja tu. Idiot!Hujui lolote...dunia moja kuna mchana mmoja dunia nzima..
Elimu ndogo
Elimu ya madrasa peleka huko kwenuKwa majibu yako, wewe ni hewa tu.
Na dunia nzima inauona muda mmoja....Siongelei mchana mjinga wewe. Naongelea mwezi. Dunia nzima Ina mwezi mmoja tu. Idiot!
Ni elimu ya kutosha sana...kotekote.Elimu ya madrasa peleka huko kwenu
Kama una elimu, jana mwezi uliandama dunia nzima?Elimu ya madrasa peleka huko kwenu
Njaa inawasumbua...Mbona kama mmevalia njuga sana mwandamo wa mwaka huu?? Au njaa ya kipindi hiki ni kali mno
Njaa inawasumbua...Mbona kama mmevalia njuga sana mwandamo wa mwaka huu?? Au njaa ya kipindi hiki ni kali mno
Njaa inawasumbua...Mbona kama mmevalia njuga sana mwandamo wa mwaka huu?? Au njaa ya kipindi hiki ni kali mno
تقبل الله منا ومنكم akhy.Aaamyn
'Iyd Mubaarak
Maajabu haya mkuu.Kufunga wafunge waislam ila muandamo wa mwezi wanaulizia wasio waislam.....
Hapo ndio umetumia akili kisawasawa?Imekatazwa KUSWALISHA. Mwanamke hawezi kuswalisha sio kuhutubia, anaenda kama kiongozi sio SHEKHE. Tumieni akili sawasawa.
Nani kasema kuswalisha? Basi niambie ni mwanamke gani alishawahi kuhutubia baraza la Iddi hapa Bongo?Kuhutubia na Kuswalisha ni SAWA?
HAKUNANani kasema kuswalisha? Basi niambie ni mwanamke gani alishawahi kuhutubia baraza la Iddi hapa Bongo?
Unateseka wakiulizia? Kama mnafanya mambo yasiyo na logic je?Kufunga wafunge waislam ila muandamo wa mwezi wanaulizia wasio waislam.....
Answaar Muslim si ndio wale jamaa wa Karate na Judo misikitini?Answar sunnah si dhehebu wala pote bali ni taasisi ya kiislamu kama IPC, ISC, IF n.k yenyewe huitwa answaar muslim youth center au AMYC makao makuu yake ni tanga, tanzania.
Wanaowahi kufungua ni watu wenye msimamo wa mwezi wa kimataifa na wanaochelewa ni watu wa mwezi wa kitaifa ikiwa hawakuuona kwao, na wote wako sahihi hapana vibaya.
Wrong geographical knowledge....!Tuna majira tofauti, mwezi ni huuhuu mmoja, wanaweza kuuona sisi tusiuone.
Ni elimu ya aina yake kama huijiu utabakia kusema unavyosema.
Ndio maana kuna mahali saa moja giza na pengine saa moja hiyohiyo bado mwanga mkubwa...