Kama Saudi Arabia wanasherehekea Eid Ijumaa inakuwaje BAKWATA wadai mwezi haujaonekana?

Kama Saudi Arabia wanasherehekea Eid Ijumaa inakuwaje BAKWATA wadai mwezi haujaonekana?

Mbona kama mmevalia njuga sana mwandamo wa mwaka huu?? Au njaa ya kipindi hiki ni kali mno
 
Imekatazwa KUSWALISHA. Mwanamke hawezi kuswalisha sio kuhutubia, anaenda kama kiongozi sio SHEKHE. Tumieni akili sawasawa.
Hapo ndio umetumia akili kisawasawa?

Mimi nimesema itakuwa mara ya kwanza mwanamke kuhutubia baraza la Iddi hapa Bongo. Wapi nimezungumzia kuswalisha, au niliposema hairuhusiwi mwanamke kuhutubia?
 
Nani kasema kuswalisha? Basi niambie ni mwanamke gani alishawahi kuhutubia baraza la Iddi hapa Bongo?
HAKUNA

Kwanza katika Uislam hasa si sahihi Mwanamke kusimama mbele ya Wanaume na makende yao kuhutubia.

Maneno mengine hapa ni Unafiki tu na kutetea uongo, unajua njaa mbaya sanaa
 
Kufunga wafunge waislam ila muandamo wa mwezi wanaulizia wasio waislam.....
Unateseka wakiulizia? Kama mnafanya mambo yasiyo na logic je?

Nguruwe ale Mkristo lakini wanaowashwa washwa na kulalamika huwa ni Waislam

Inawahusu?
 
Answar sunnah si dhehebu wala pote bali ni taasisi ya kiislamu kama IPC, ISC, IF n.k yenyewe huitwa answaar muslim youth center au AMYC makao makuu yake ni tanga, tanzania.

Wanaowahi kufungua ni watu wenye msimamo wa mwezi wa kimataifa na wanaochelewa ni watu wa mwezi wa kitaifa ikiwa hawakuuona kwao, na wote wako sahihi hapana vibaya.
Answaar Muslim si ndio wale jamaa wa Karate na Judo misikitini?
 
Tuna majira tofauti, mwezi ni huuhuu mmoja, wanaweza kuuona sisi tusiuone.
Ni elimu ya aina yake kama huijiu utabakia kusema unavyosema.
Ndio maana kuna mahali saa moja giza na pengine saa moja hiyohiyo bado mwanga mkubwa...
Wrong geographical knowledge....!

Tanga ina majira gani tofauti na Mombasa, Dsm ina majira tofauti na Nairobi na Kampala?

TZ ina majira gani ya tofauti na Kenya?

Mwezi ukionekana Mombasa na Tanga unaonekana

Tafuta sababu zenye mantiki ila usitudanganye Sheikh
 
Back
Top Bottom